Mkandara,
Sasa RA na Sophia Simba wanaunguza na kuropoka kile ambacho si Uzushi bali mambo ya unyumba ndnai yao.
Tatizo ni kuwa kina Sitta na Mwakyembe, waliona haya na kuamua kuinusuru Serikali na Chama AIBU na sasa kinawalipukia!
They are practically done unless wanaondoka CCM!
-------------------------------
Narudia tena, UPUUZI wa wapiganaji wa CCM ni kuangalia maslahi yao na si Maslahi ya Taifa na jinsi watakavyoangamia, hakuna atakayeamini kuwa walikuwa wakipigania maslahi ya Taifa.
Mchungaji hivi leo umesali sala ya hasubuhi? naona unachanganya!!