Kijarida cha "Cheche za Fikra" chatoka!

Nina hamu ya kusoma kijarida hiki ambacho kama sikosei hutolewa kila Jumanne. Kwa anayejua nitawezaje kupata toleo la wiki hii (kama lipo), please help!
 
Huyu Mwanakijiji sijamwona siku kadhaa sijui kakumbwa na dhoruba gani?
Mlio karibu nae tunaomba taarifa huyu ni kiungo mhimu hapa JF na kule kwake.
 
Nina hamu ya kusoma kijarida hiki ambacho kama sikosei hutolewa kila Jumanne. Kwa anayejua nitawezaje kupata toleo la wiki hii (kama lipo), please help!

Go to mwanakijiji,.com while in the site go to forums, then to file cabinet. That is the only way that I know.
 
Ni kweli,huyu muungwana amepotea kwa kitambo sasa.I just hope hajaachana nasi for good
 
Si just subscribe tuu? Ingia kwenye forum yake na forage humo ndani na jiandikishe na utakuwa unakipata automatiki kila wiki.
 
Nilivutiwa kuona ndugu yetu Mwanakijiji ameanzisha (kufufua?) jarida la CHECHE.Hii ikanikumbusha kwenda katika archives na kumbukumbu maana maandishi hayafutiki. Na hiki ndicho nilichokipata:-

CHECHE:-A journal published by University Students African Revolution Front (USARF) which had the reputation of for militant and committed scholarship. It was pubslihsed first in 1969 and its first editors were Karim Hirji a maths student at UDSM, Henry Mapolu sociology student and Zakia Meghji a histroy student. CHECHE was banned by UDSM authorities and later on re-emmerged with a new name MAJI MAJI. Among prominent contributors to CHECHE were the legendaryprof. Issa G. Shivji then a tutorial assistant at the Faculty of Law.

Karim Hirji was deported to Sumbawaga in 1970sfro writing a crtical analysis oon education for self reliance.

Henry Mapolu became an education officer with URAFIKI Textiles.

Zakia Meghji went on to become one of ministers in Tanzania Government only to be tragically and irrebarably disgraced in the infamous EPA scandal that rocked Tanzania in 2008.

Mwanakijiji CHECHE yako ni coincidence tu au ni muendelezo wa hiyo CHECHE ya UDSM enzi hizo?
 
Tanzania pia kumewahi kuwa na Gazeti linaitwa Cheche. Lilikuja kufa. Watu walikuwa wanasema mmiliki wake alikuwa Marehemu Kabila (aliyekuwa Rais wa DRC).
 
Mkuu ingekuwa vema kama tungeenada kweye broader issues kwa kuangalia freedom of press wa ujumla na serkali yetu. Maana mpaka leo naona kizunguzungu maana ni kama serikali imetuingiza kwenye mkenge mkubwa ambao kwa kiasi fulani inafanana na kupiga marufuku magazeti.
Sasa hivi ukiangalia kuna vijarida vingi sana uchwara ambavyo vinawafanya watu wasisome kazi za serious journalists. Yaani tumetoka kwenye ukandmizaji wa uhuru wa kujieleza na kuingia kwenye uholela w kujieleza, kiasi kwamba journalism sasa hivi inaelekea kwnye dead end.
 
....Mwanakijiji CHECHE yako ni coincidence tu au ni muendelezo wa hiyo CHECHE ya UDSM enzi hizo?[/B][/QUOTE]


1.Nijuavyo mimi (kijarida) gazeti lake linaitwa CHECHE ZA FIKRA na si CHECHE

2. Tatizo langu ninapata tabu ku download CHECHE ZA FIKRA, sijui ni lazima ujisajiri Mwananchi.com
 
Nilisoma bila tabu toleo Na. 17,18 na 19. Imekuwa tabu kupakua na kusoma Na.20 na 21Ni kijarida makeke na kinaelimisha. Kina habari hadimu kwenye magazeti/vijarida vilivyo vingi. Big Up Mzee Mwanakijiji.


Raihisisha upatikaji wake kwenye mtandao ili wengi wakisome!
 
Last edited:
Muuliza swali unachotakiwa ni kupata nakala ya cheche za fikra kila jumanne usome na uchangie kama kuna chochote cha kuchangia mengine sio mahala pake hapa , mengine ulizaneni chemba mtapata majibu muafaka au tembelea tovuti ya mwanakijiji MwanaKijiji.COM - Forums utaweza kuona mengi na kujifunza pia

watanzania jengine tabia ya kukubali vile vinavyoanzishwa na wengine au kuendelezwa huu ndio utamaduni wa kimaendeleo katika jamii yoyote ile
 
Mwanakijiji mimi ninabonyeza halahu napata message kuwa siruhusiwi kuaccess hiyo resource vipi? Nataka kuprint hicho kijarida nisaidie!!
 
Mwanakijiji mimi ninabonyeza halahu napata message kuwa siruhusiwi kuaccess hiyo resource vipi? Nataka kuprint hicho kijarida nisaidie!!

Mwenzako ameambiwa mengine sio mahala pake hapa, atembelee tovuti ya mwanakijiji MwanaKijiji.COM - Forums , lakini nawe unarudia jambo kama hilo hilo !! Unaweza pia ukamtumia PM mwanakijiji ili isiwe kama public wakati kumbe ni swali linaloenda kwa mtu mmoja.
 
Ningependa kujua kuwa kile kijarida alichokuwa anatoa Mwanakijiji mbona hakitoi tena?
 
Ningependa kujua kuwa kile kijarida alichokuwa anatoa Mwanakijiji mbona hakitoi tena?

Hata mimi mkuu nimeshawahi kukiulizia maana kilikuwa na uhondo maridawa wa taarifa muhimu za kisiasa. Mzee Mwanakijiji imekuwaje tena? Au umetishiwa nyau?. Tafadhali huu ni wakati muafaka wa kukiweka tena hewani kijarida chetu.

 
Back
Top Bottom