Sakasaka Mao
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 10,151
- 12,194
"...Naelewa venye wanaume..." kwanini unaongea kiswahili cha Kenya wakati unaishi Dodoma?
hahahaha kongole kwa dogoMichongo gani tena hiyo?
Dogo anaonekana kuwa ni fighter .
usnich una faniUenda kawazidi fani
Basi kulikua hakuna sababu za kuja kuomba ushauri humu maana kwanza, unajichoresha tu maana nyinyi ndio mnajuana huko so kwaiyo usitegemee kila mtu atakupa ushauri utakaoupenda au utegemeaafu meku kwa umri nilioko sio wa kuwa na ushamba wa wanawake na pia level ya uchumi nilioko nikiwaendekeza hakuna mahali nitafika so na kingine huku changombe niliko huwezi sema huyu ni demu wako ukimkazia mshikaji ataenda gongwa na wengine. Ishu ya dogo ni kupatania kazi kwenye ofisi ya mtu na kuingia mitini na pesa yote bila aibu huku hata dawa ya mswaki hanunui kila kitu unamfanyia kama mwanao tena boom likimuisha na msosi na maji ya kunywa tunamsapport kiaina afu ukipatania kitu anakuzunguka tushamwambia mara kibao haelewi
Huyo dogo asije akawa ni jamaa niliwahi ishi nae anaswaga hizo, nilikuwa namchukulia kama ndugu namnunulia hadi vocha, msosi kwangu kila kitu anapata utafikiri mtoto wangu, akanitongozea dem wangu bahati nzuri dem wangu akaniambia nikampotezea jamaa.afu meku kwa umri nilioko sio wa kuwa na ushamba wa wanawake na pia level ya uchumi nilioko nikiwaendekeza hakuna mahali nitafika so na kingine huku changombe niliko huwezi sema huyu ni demu wako ukimkazia mshikaji ataenda gongwa na wengine. Ishu ya dogo ni kupatania kazi kwenye ofisi ya mtu na kuingia mitini na pesa yote bila aibu huku hata dawa ya mswaki hanunui kila kitu unamfanyia kama mwanao tena boom likimuisha na msosi na maji ya kunywa tunamsapport kiaina afu ukipatania kitu anakuzunguka tushamwambia mara kibao haelewi