MURUSI
JF-Expert Member
- Jun 25, 2013
- 4,496
- 8,731
Serikali inajua jinsi ya kucheza na akili za mazezeta wa Kitanzania na inajua inatawala aina gani ya Raia, kwa sasa mjadala usha hama watu wana jadili kijana kupewa kazi, yaani isha toka kwenye kulaumu na kwa sasa watu wanaipongeza Serikali kwa kumpatia kazi, huo ndio mjadala kwa sasa, wale walio fariki imetoka hivyo kazi ya Mola haina makosa.
Serikali ni wajanja sana na wanajua fika asilimia 90 ya raia wake ni wajinga tupu, wapuuzi, akili fupi hivyo kuwa badilishia mtazamo ni swala la dakika tu, Watu wamefariki kwa uzembe na watawala wakaona ili ku divert tuje na kutoa ajira kwa Dogo na kweli wamefanikiwa.
Kutoa kazi ni sawa ila ilipaswa kuwa ni swala la baadae sana kwa sasa ni kijadili nani alikuwa mzembe.
Uzembe umetokea wazi wazi na hakua mtu anawajibishwa na badala yake wanakuja na swagwa za kutoa ajira, hapo isha toka tungoje majanga mengine nako swagwa zitakuwa hizi hizi.
Narudia kusema tatizo la nchi hii ni Raia wapumbavu na wala sio viongozi.
Serikali ni wajanja sana na wanajua fika asilimia 90 ya raia wake ni wajinga tupu, wapuuzi, akili fupi hivyo kuwa badilishia mtazamo ni swala la dakika tu, Watu wamefariki kwa uzembe na watawala wakaona ili ku divert tuje na kutoa ajira kwa Dogo na kweli wamefanikiwa.
Kutoa kazi ni sawa ila ilipaswa kuwa ni swala la baadae sana kwa sasa ni kijadili nani alikuwa mzembe.
Uzembe umetokea wazi wazi na hakua mtu anawajibishwa na badala yake wanakuja na swagwa za kutoa ajira, hapo isha toka tungoje majanga mengine nako swagwa zitakuwa hizi hizi.
Narudia kusema tatizo la nchi hii ni Raia wapumbavu na wala sio viongozi.