Nisaidieni kupaza hii sauti iwafikie Wakuu wa Nchi, Sakata la bodaboda Dodoma ni zaidi ya mateso kwa vijana wetu

incredible terminator

JF-Expert Member
Aug 1, 2016
2,229
3,525
Habari wakuu, Naandika huu ujumbe kwa maumivu makali sana, kilio simanzi na maumivu yasiyoelezeka,
Nilishawahi kuleta mada hii hapa jukwaani bahati mbaya sana haikupata wadau wengi, haikupata wachangiaji na mwisho wa siku uzi wangu ulifunikwa na nyuzi za vichekesho, vibonzo na stori za kuchekesha hii inaonesha ni kiasi gani Watanzania tusivyochukulia sereous mambo mhimu.

Leo naandika hapa nikiamini hapa jukwaani wapo viongozi mbalimbali au watu mbalimbali ambao wanaweza kuucopy huu ujumbe wangu kisha kumtumia waziri mwenye dhamana ya kulitatua hili au kwa mkuu wa Polisi Tanzania, au hata kuniwekea hapa namba ambayo anapatikana whatsup au email ili nimtumie mimi mwenyewe kero hii pengine hapo anaweza kuitatua.

Ninaamini nchi yangu na viongozi wetu hawana lengo baya kwa vijana na wanainchi wake ila kuna baadhi ya watu wanafanya haya kwa masrahi yao binafsi na chuki zao binafsi kutufanya vijana tuichukie serikali na kuona kama tunaserikali kandamizi na isiyo na huruma kwa wanainchi wake.

Mara nyingi nilishaleta malalamiko ya Polisi Kituo kikuu Dodoma (Dodoma centro police) kuwatesa na kuwanyanyasa madereva bodaboda na hata kuwapiga vijana makofi kwa makosa yasiyokuwa na sababu, na ikiwa bodaboda anakamatwa kwa kosa la trafic case kuna haja gani ya kumpiga kumdhalilisha na hata kutumia lugha za kashfa na matusi kwa kijana ambae anatafta riziki?

Kumekuwa na tabia ya Polisi kukamata bodaboda na kumtaftia makosa mengi kisha kumtoza shilingi elfu kumi kwa kila kosa 10,000/=, hapa utakuta Bodaboda amejumlishiwa makosa 10 na anatakiwa kulipa laki moja,

Sasa hapo kijana wawatu anadaiwa rejesho na boss pikipiki ya mkataba kila siku rejesho, na ikikamatwa kama hana hela hapo pikipiki inaenda kupakiwa kituoni na hapo kijana wawatu haingizi chochote na pikipiki inasoma rejesho zikipita siku5 maboss wanachukua pikipiki yao hapo kijana wawatu kala hasara maana pikipiki za mikataba huwa kuna kiasi wanatanguliza ko ikichukulia hapo kijana kala hasara.

Maana kwa sasa Kituo cha police Dodoma wanategemea mapato kutoka kwa bodaboda, vijana ambao kwa changamoto za kazi zao hata shilingi elfu 10 kwa siku wanaingiza kwa mbinde.

Nizaidieni kusambaza huu ujumbe huu.
 

Attachments

  • Screenshot_20230920_155922_Lite.jpg
    Screenshot_20230920_155922_Lite.jpg
    71.2 KB · Views: 8
Habari wakuu, Naandika huu ujumbe kwa maumivu makali sana, kilio simanzi na maumivu yasiyoelezeka,
Nilishawahi kuleta mada hii hapa jukwaani bahati mbaya sana haikupata wadau wengi, haikupata wachangiaji na mwisho wa siku uzi wangu ulifunikwa na nyuzi za vichekesho, vibonzo na stori za kuchekesha hii inaonesha ni kiasi gani Watanzania tusivyochukulia sereous mambo mhimu.

Leo naandika hapa nikiamini hapa jukwaani wapo viongozi mbalimbali au watu mbalimbali ambao wanaweza kuucopy huu ujumbe wangu kisha kumtumia waziri mwenye dhamana ya kulitatua hili au kwa mkuu wa Polisi Tanzania, au hata kuniwekea hapa namba ambayo anapatikana whatsup au email ili nimtumie mimi mwenyewe kero hii pengine hapo anaweza kuitatua.

Ninaamini nchi yangu na viongozi wetu hawana lengo baya kwa vijana na wanainchi wake ila kuna baadhi ya watu wanafanya haya kwa masrahi yao binafsi na chuki zao binafsi kutufanya vijana tuichukie serikali na kuona kama tunaserikali kandamizi na isiyo na huruma kwa wanainchi wake.

Mara nyingi nilishaleta malalamiko ya Polisi Kituo kikuu Dodoma (Dodoma centro police) kuwatesa na kuwanyanyasa madereva bodaboda na hata kuwapiga vijana makofi kwa makosa yasiyokuwa na sababu, na ikiwa bodaboda anakamatwa kwa kosa la trafic case kuna haja gani ya kumpiga kumdhalilisha na hata kutumia lugha za kashfa na matusi kwa kijana ambae anatafta riziki?

Kumekuwa na tabia ya Polisi kukamata bodaboda na kumtaftia makosa mengi kisha kumtoza shilingi elfu kumi kwa kila kosa 10,000/=, hapa utakuta Bodaboda amejumlishiwa makosa 10 na anatakiwa kulipa laki moja,

Sasa hapo kijana wawatu anadaiwa rejesho na boss pikipiki ya mkataba kila siku rejesho, na ikikamatwa kama hana hela hapo pikipiki inaenda kupakiwa kituoni na hapo kijana wawatu haingizi chochote na pikipiki inasoma rejesho zikipita siku5 maboss wanachukua pikipiki yao hapo kijana wawatu kala hasara maana pikipiki za mikataba huwa kuna kiasi wanatanguliza ko ikichukulia hapo kijana kala hasara.

Na hii imetokea mdogo wetu alikuwa anakimbizwa na Askari amepata ajali na amefariki na kwa hali hii tutegemee kuwapoteza vijana wengi kwa njia hii.

Maana kwa sasa Kituo cha police Dodoma wanategemea mapato kutoka kwa bodaboda, vijana ambao kwa changamoto za kazi zao hata shilingi elfu 10 kwa siku wanaingiza kwa mbinde.

Nizaidieni kusambaza huu ujumbe hadi uwafikie wahusika wasaidie hili

View attachment 2755990
Sawa ila hiyo nyingine mbona yaKiteto?
 
TanPol ni taasisi ya hovyo kuliko uhovyo wenyewe.
Mwaka jana nilisimamishwa na traffic mitaa ya Vyeyula, nikakuta kijana wa bodaboda kasimamishwa na bodaboda yake mpya kabisa, akiwa na risiti zote halali na leseni,tatizo tu ni kutokuwa na "number plates".
Aliwaelewesha kuwa ametoka mjini kununua hiyo pikipiki na ameshalipia kwa ajili ya plate namba lakini hakuwa na uwezo wa kuipakiza kwenye gari afike nayo kwake,ndio akaamua aiendeshe.
Wale traffic walimkomalie alipe faini mpaka nilipofika na kuisikia hiyo kesi,nikawaambia wale traffic, mbona gari zinatembea bila plate namba za kuonyesha usajili wa bongo!!?
Ikabidi wamuachie kwa aibu,na yule kijana mpaka kesho tunawasiliana maana aliniomba namba zangu nikampatia.

Tatizo kubwa sana na la msingi ni TanPol kuwabeba viongozi kipindi cha uchaguzi, na ndio maana viongozi hao wanaona aibu kuwaambia ukweli ili wabadilike au kufanya reform kwa jeshi lote la polisi.

Bila reform kubwa kuanzia kwa recruitment, mafunzo na kujenga nidhamu, TanPol itaendelea kuwa mateso kwa raia.
 
Hiyo caption nimekosea kuiweka ila ninachokizungumzia kina ushabiriano na hiki japokuwa hapo ni kwa dodoma chemba ila kwa dodoma mjini ni maisha yamezoeleka polisi kuwafukuzia bodaboda tena maeneo yenye msongamano
 
TanPol ni taasisi ya hovyo kuliko uhovyo wenyewe.
Mwaka jana nilisimamishwa na traffic mitaa ya Vyeyula, nikakuta kijana wa bodaboda kasimamishwa na bodaboda yake mpya kabisa, akiwa na risiti zote halali na leseni,tatizo tu ni kutokuwa na "number plates".
Aliwaelewesha kuwa ametoka mjini kununua hiyo pikipiki na ameshalipia kwa ajili ya plate namba lakini hakuwa na uwezo wa kuipakiza kwenye gari afike nayo kwake,ndio akaamua aiendeshe.
Wale traffic walimkomalie alipe faini mpaka nilipofika na kuisikia hiyo kesi,nikawaambia wale traffic, mbona gari zinatembea bila plate namba za kuonyesha usajili wa bongo!!?
Ikabidi wamuachie kwa aibu,na yule kijana mpaka kesho tunawasiliana maana aliniomba namba zangu nikampatia.

Tatizo kubwa sana na la msingi ni TanPol kuwabeba viongozi kipindi cha uchaguzi, na ndio maana viongozi hao wanaona aibu kuwaambia ukweli ili wabadilike au kufanya reform kwa jeshi lote la polisi.

Bila reform kubwa kuanzia kwa recruitment, mafunzo na kujenga nidhamu, TanPol itaendelea kuwa mateso kwa raia.
Wanatia aibu sana sio wote baadhi ya wajinga tanpol.
 
Habari wakuu, Naandika huu ujumbe kwa maumivu makali sana, kilio simanzi na maumivu yasiyoelezeka,
Nilishawahi kuleta mada hii hapa jukwaani bahati mbaya sana haikupata wadau wengi, haikupata wachangiaji na mwisho wa siku uzi wangu ulifunikwa na nyuzi za vichekesho, vibonzo na stori za kuchekesha hii inaonesha ni kiasi gani Watanzania tusivyochukulia sereous mambo mhimu.

Leo naandika hapa nikiamini hapa jukwaani wapo viongozi mbalimbali au watu mbalimbali ambao wanaweza kuucopy huu ujumbe wangu kisha kumtumia waziri mwenye dhamana ya kulitatua hili au kwa mkuu wa Polisi Tanzania, au hata kuniwekea hapa namba ambayo anapatikana whatsup au email ili nimtumie mimi mwenyewe kero hii pengine hapo anaweza kuitatua.

Ninaamini nchi yangu na viongozi wetu hawana lengo baya kwa vijana na wanainchi wake ila kuna baadhi ya watu wanafanya haya kwa masrahi yao binafsi na chuki zao binafsi kutufanya vijana tuichukie serikali na kuona kama tunaserikali kandamizi na isiyo na huruma kwa wanainchi wake.

Mara nyingi nilishaleta malalamiko ya Polisi Kituo kikuu Dodoma (Dodoma centro police) kuwatesa na kuwanyanyasa madereva bodaboda na hata kuwapiga vijana makofi kwa makosa yasiyokuwa na sababu, na ikiwa bodaboda anakamatwa kwa kosa la trafic case kuna haja gani ya kumpiga kumdhalilisha na hata kutumia lugha za kashfa na matusi kwa kijana ambae anatafta riziki?

Kumekuwa na tabia ya Polisi kukamata bodaboda na kumtaftia makosa mengi kisha kumtoza shilingi elfu kumi kwa kila kosa 10,000/=, hapa utakuta Bodaboda amejumlishiwa makosa 10 na anatakiwa kulipa laki moja,

Sasa hapo kijana wawatu anadaiwa rejesho na boss pikipiki ya mkataba kila siku rejesho, na ikikamatwa kama hana hela hapo pikipiki inaenda kupakiwa kituoni na hapo kijana wawatu haingizi chochote na pikipiki inasoma rejesho zikipita siku5 maboss wanachukua pikipiki yao hapo kijana wawatu kala hasara maana pikipiki za mikataba huwa kuna kiasi wanatanguliza ko ikichukulia hapo kijana kala hasara.

Maana kwa sasa Kituo cha police Dodoma wanategemea mapato kutoka kwa bodaboda, vijana ambao kwa changamoto za kazi zao hata shilingi elfu 10 kwa siku wanaingiza kwa mbinde.

Nizaidieni kusambaza huu ujumbe huu.
Nikuambie? Wewe ndiye huchukulii serious hili jambo. Huchukulii serious kwa sababu unataka waliosababisha tatizo na wanaofaidika na tatizo ndiyo hao hao walitatue. Na zaidi unasema eti unaamini viongozi wetu wana nia nzuri na vijana! Bwana mdogo: jitoe kwenye hilo jungu ulilowekwa. Tatizo la nchi hii ni CCM. Bila CCM kuondoka haya mambo hayataondoka. Sana sana yatakuwa yanapoa kwa muda na kuibuka tena kwa ukali zaidi. Kama unabisha basi endelea kuwaamini hao viongozi wako wa CCM.
 
Back
Top Bottom