Melki the Storyteller
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 5,701
- 9,779
Hii nchi mpaka tufikie mwaka 2030, tutakuwa tumeona mengi kwa kweli. Kijana mmoja ameipamia bodaboda kwa mbele alipokuwa kwenye harakati ya kumkimbiza mdudu wake aliyemponyoka kwa bahati mbaya. Bodaboda hakuwa na hili wala lile mpaka pale aliposhangaa kijana kaingia kwenye njia yake huku akitanguliza bega mbele
Sometimes, tunawaonea bodaboda bure. Mambo mengine tunayasababisha sisi isipokuwa suala la bodaboda kututangizia binadamu kwa mbele tukiwa barabarani wakidhani kuwa kila aliyevalia tai anahitaji usafiri. Hapo watakutangiza mbele na nyuma, almanusra wakukanyage miguu
Cha ziada, nimenunua bodaboda
Sometimes, tunawaonea bodaboda bure. Mambo mengine tunayasababisha sisi isipokuwa suala la bodaboda kututangizia binadamu kwa mbele tukiwa barabarani wakidhani kuwa kila aliyevalia tai anahitaji usafiri. Hapo watakutangiza mbele na nyuma, almanusra wakukanyage miguu
Cha ziada, nimenunua bodaboda