Kijana usikubali kuletewa mke

Kijana usikubali kuletewa mke

Yaani hata ule mlango hawatauona haki
Hahaha! Sasa ulale na mwanaume unategemea nini? Kitanda kimoja kila siku,asipokugusa utamuona anamatatizo huyo mwanaume! Maana lile tendo ni kwa ajili ya wote sio la mmoja tu
 
Sasa si ale mzigo tu wanaume wa siku izi mizinguo sana
 
Hatakiwi kumwekea vijiti anatakiwa asimguse kabisa....kama ana mpango wa kumrudisha na afanye hivyo sasa aache use.nge. Kabinti ka watu ukute kalikuwa ka bikra maskini
 
Kwakukushauri heri uendelee naye tu as long as umesema mke Hana mwili BC Wew tafuta hela mlishe vzuri usimpe stress hata Miaka 2 mingi Utaona mabadiliko ufurahi mwenyew na kingne huwezi jua Mungu kakupangia nn na Huyo na maybe amekuepusha na mapasua kichwa wa jijini DARISALAMA wenye ma Ex Kama 30 so Wew tulia naye Usioneshe kumchukia Huyo naye ni binaadam..
 
Ushauri mzuri amlishe tu nyama zitakuja
 
Back
Top Bottom