tpaul
Platinum Member
- Feb 3, 2008
- 27,180
- 27,780
🤣 😅 😂Humu JF raha sana aisee..........stress-free zone 🤣 😅 😂 🤣 😅 😂We jamaa kwa kuutetea ubachela upo makini.
🤣 😅 😂Humu JF raha sana aisee..........stress-free zone 🤣 😅 😂 🤣 😅 😂We jamaa kwa kuutetea ubachela upo makini.
Code hiyo mzee, sio WanyaturuKwani Wanyaturu wana shida gani mbona unawakandia hivi mkuu? Jamaa yangu kaoa Mnyaturu na wanaishi vizuri tu, hakuna shida.
Hapo sioni shida, ni wao kukaa na kupanga utaratibu wao.Kuna mshkaji tangu anunue gari kabanwa hana hata hamu ya gari lenyewe....kila kazi anatumwa: kupeleka watoto shule na kuwafuata, kupeleka chaga girl kazin na kumfuata, kupeleka watoto sunday school na mafundisho kanisani, kupeleka chaga girl kwenye vikoba vyote na sokoni na kuratibu mapokez ya ndugu wa mke ambao nao wanaingia na kutoka pale karibu kila siku....kijana kabanwa!!
Sometimes tunakutana na jamaa tupate mbili tatu moja moto moja baridi ile anagusa bia tu unashangaa anachomoka kwa kasi ya ajabu kumbr kaitwa na wife amkimbize mahali flani...heheh
Sijasema hivyo.Kwahiyo wao wawe ni viwanja vya mazoezi tu?
Huu ni UTUMWA MAMBOLEO. Ni lini sasa jamaa ataanza kufaidi bata za mjini? Na umri ndio hivyo unaenda? Mungu amhurumie.Kuna mshkaji tangu anunue gari kabanwa hana hata hamu ya gari lenyewe....kila kazi anatumwa: kupeleka watoto shule na kuwafuata, kupeleka chaga girl kazin na kumfuata, kupeleka watoto sunday school na mafundisho kanisani, kupeleka chaga girl kwenye vikoba vyote na sokoni na kuratibu mapokez ya ndugu wa mke ambao nao wanaingia na kutoka pale karibu kila siku....kijana kabanwa!!
Sometimes tunakutana na jamaa tupate mbili tatu moja moto moja baridi ile anagusa bia tu unashangaa anachomoka kwa kasi ya ajabu kumbr kaitwa na wife amkimbize mahali flani...heheh
Heee!!! Mkuu hebu fafanua zaidi. Kwani wakilelewa na mama inakuwaje? Mbona hatari hii???Kuoa ni vile tu mmependana kwa dhati, WAMACHAME (WAPALESTINA) wanaolewa ila kwa sharti kuu moja, iwe amefiwa na mama yake au amelelewa na BABA YAKE.
Samahani mkuu.....Tusubiri wachaga wanasemaje kuhusu hii mada maana sio kwa tamaa zile, sasa wameanza kuua na mama zao baada ya kuona waume zao inatosha.
Unachosema chaweza kuwa kweli. Mana wako waerevu Sana Kama nyoka kumnasa mwanaume. Wakiwa hawajaolewa wanajua mwanaume anavutiwa na Nini so anategwa kinyama mpaka anaingia king mkuu Ila sasa subiria uone Kama watazeekeana pamoja.Asee cha ajabu ndio wanaoongozwa kuolewa kila kukicha.
Tembelea kumbi za sherehe utakubaliana na mimi
Sasa mwamba asubuhi yotee ile yaani alfajiri Anatoa povuuu🤣 😅 😂Humu JF raha sana aisee..........stress-free zone 🤣 😅 😂 🤣 😅 😂
Mara nyingi WACHAGA WAKO INFLUENCED na mama zao, wakienda kwao mama zao huwashika masikio na kuwalaumu kwann hawajajenga kwao, hawana mali, angalia majirani zako wana mali wewe umekaa kaa tu nk nk. Na mara nyingi hawa huwa single mothers yaan waume zao walishafariki hivyo kupelekea hata watoto wao kuona kuishi bila mume ni kitu cha kawaida hivyo kukuua ni kawaida tu.Heee!!! Mkuu hebu fafanua zaidi. Kwani wakilelewa na mama inakuwaje? Mbona hatari hii???
Inasikitisha sana.Huu ni UTUMWA MAMBOLEO. Ni lini sasa jamaa ataanza kufaidi bata za mjini? Na umri ndio hivyo unaenda? Mungu amhurumie.
Kama wewe una miaka chini ya 70,basi Mawazo yako ni ya kizamani sana,na hufai kwenye jamii.Ni alfajiri chungu mno, nawakumbusha nyie vijana ambao bado hamjaoa, mkitaka kuoa oeni kwenu, nyie mnaosoma vyuo mkitaka kuoa oeni mikoa ya kwenu.
Note: TAFADHALI USIOE BINTI WA KIPALESTINA(Copper toothed) hata kama anajifanya ni mlokole kiasi gani, utakuja kunishukuru. Yaani hata akiwa anafunga mara kumi kwa mwezi usioe. Pleaseeeeee, tafadhaliii ewe kijana wangu!
Utachekewa mno kwa Mara ya kwanza, utasema mke si ndo huyu? Itakuwa ni uzushi tu, mbona huyu ameokoka? Anakusubiri mpate Mali baada ya kuona una uelekeo au dalili za kufanikiwa mbeleni, mkishazipata tu kwa heri. Narudia, hata akiwa shemasi usioe.