mikila miwili
JF-Expert Member
- Dec 14, 2021
- 563
- 562
- Thread starter
- #41
Unaulizwa unaleta jokes, you might be sickWafipa.[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
Unaulizwa unaleta jokes, you might be sickWafipa.[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
Yaani kabila zima muwe na mapungufu ya aina moja?Mimi naona kuoana watu wa eneo moja ni kuendeleza kizazi kilekile tu.Namaanisha kama kizazi chenu kina mapungufu,changamoto au hata matatizo ndiyo kusema mtaendelea kuwa hivyohivyo.Mengine nayaacha kipolo.
Umenichekesha,Ila kuoa MTU halafu anaongea kiluga kama anakuteta flani hiviLabda kwa ajili ya kuongea kilugha chenu pamoja lakin kama ni matatizo ni yaleyale mbona
Umenichekesha,Ila kuoa MTU halafu anaongea kiluga kama anakuteta flani hivi
Kuna wapalestina nchi hii Zaidi ya chagga...Ila hakuna aliyewataja Wachagga hapa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
We mpalestina haujambo..?Safi sana
Ni humu JF tu, ila mtaani wanaongoza hata kwenye maharusi ndio wanaolewa sana, nenda kaangalie page za Instagram uone mambo, humu watu wawaponda ila wamewaoa, humu jf usianini kila kitu, pia huyu mleta mada kaketa one sided story hajaelezea mapungufu yakeSema wachaga wanapigwa sana vita nchi hii....sijui wanajisikiaje.
Anyway labda wajaribu kubadilika kama jamii
Duuuuuh aisee[emoji23][emoji23][emoji23]Kuna wapalestina nchi hii Zaidi ya chagga...
Ndo wanawake wao Wana ujasiri wa kuua sijawahi ona
Si kaskazini pekee kuna hao weupe[emoji23]Msukuma utamwambia nini juu ya kuoa watoto weupe wa kaskazini.
HataaaHuyu jamaa sijui kaamka asubuhi kakuta ameachiwa kitanda tuu alicholalia mbona maumivu makali
Sijaoa Mchagga! Kuhusu u-smart ni kweli mimi ni smart na michepuko kama yote.Utakuwa umefanya ujinga akakunyoosha Sasa unalia lia humu jf. Wewe mwanaume ka ni mzembe na dhaifu hafu hauko smart usiwaoe na ukioa kweli huwa makini usijifamye mjanja na una mchepuko maana lazima ushushiwe kitu kizito kichwani
Okay, wasiseme hawakuambiwa. Watu hatutaki lawama.Vijana wengi huu ushauri hawatauelewa watataka kuoa uchagany ili wajionea wenyewe ... acha wajaribu!
Alimradi umeshatoa angalizo thawabu yako utaikuta mbinguni.
Kwani Wanyaturu wana shida gani mbona unawakandia hivi mkuu? Jamaa yangu kaoa Mnyaturu na wanaishi vizuri tu, hakuna shida.Note: TAFADHALI USIOE BINTI WA KIPALESTINA(Copper toothed) hata kama anajifanya ni mlokole kiasi gani, utakuja kunishukuru.