Kijana ukitaka kuoa, kaoe kwenu

Kijana ukitaka kuoa, kaoe kwenu

Mimi sikuoa kwetu kwa sababu:
-nimewazoea mno watu wa kwetu hadi naona kama ndugu tu.
-nimeoa mbali ili kuleta mchanganyiko wa jamii na kubadili mazoea,kuleta umoja zaidi.
Mi ni muumini wa kuoa jamii ya kwenu,, napenda hivyo ila na waliooa mbali km wewe sina tatizo nao, hayana kanuni haya mambo
 
Mi ni muumini wa kuoa jamii ya kwenu,, napenda hivyo ila na waliooa mbali km wewe sina tatizo nao, hayana kanuni haya mambo
Mimi naona kuoana watu wa eneo moja ni kuendeleza kizazi kilekile tu.Namaanisha kama kizazi chenu kina mapungufu,changamoto au hata matatizo ndiyo kusema mtaendelea kuwa hivyohivyo.Mengine nayaacha kipolo.
 
Mimi naona kuoana watu wa eneo moja ni kuendeleza kizazi kilekile tu.Namaanisha kama kizazi chenu kina mapungufu,changamoto au hata matatizo ndiyo kusema mtaendelea kuwa hivyohivyo.Mengine nayaacha kipolo.
Sidhani km kweli labda km mnaoana humo humo kwenye ukoo ila km Ni kabila lako tu na sio ukoo mmoja Wala Haina shida hizo
 
Watu wa kabila langu nawafahamu.Ni watata sana kwa asili.Ile tabia siipendi.Ndiyo maana nikaamua familia yangu ipate damu mpya ili kuwa-netralise watoto.
Hapo sawa nimekuelewa, muhimu ni kuamua kile nafsi ina amani nacho, ila kwenye hili ni kwa upande wenu wanaume, maana ni waamuzi wa umuoe Nani ila sie wanawake atakaetangaza nia ndie anachukua Jimbo hata awe Ni mu-Afghanistan
 
Hapo sawa nimekuelewa, muhimu ni kuamua kile nafsi ina amani nacho, ila kwenye hili ni kwa upande wenu wanaume, maana ni waamuzi wa umuoe Nani ila sie wanawake atakaetangaza nia ndie anachukua Jimbo hata awe Ni mu-Afghanistan
Huwa nawaangalia watoto wangu hadi nacheka tu.Walipokuwa wadogo walikuwa wana hasira ile mbaya.Ukimkorofisha mmoja wao anaweza akakurukia mwilini hadi hata akakung'ata.Au analia kwa kisirani.Mola ashukuriwe.Mazingira yamewabadili ingawa asili bado wanayo kwa mbali.
 
Back
Top Bottom