Kijana kubali ndoa, Wanaokataa ndoa wengi ni loosers na kuna walakini katika Uanaume wao

Ni hivi mkuu hatujuani ila nakueleza Kwa kifupi tu Nina watoto 2 Kwa mama 2 tofauti mmoja wa kike anaitwa brightness mwingine wa kiume anaitwa Brighton.
Nina wahudumia watoto wangu vizuri na hao Baby mummy wameolewa na watu wengine
Brightness naishi naye kwani mama yake kaolewa na mwanaume nje ya nchi huyo mwingine yupo na mama yake na huyo mume wake.
Kuhusu mshua wangu anasumbuliwa na ndugu eti Kwa kuwa sijaoa na ni over 30 na Nina Kipato kikubwa sio cha wastani eti anitafutie mke . Mshua wangu kawakatalia kawaambia suala la kuoa ni langu binafsi hawezi kunitafutia wala kunilazimisha kuoa yeye anachotaka ni wajukuu tu .
Ikitokea bahati mbaya brightness wangu let apewe mimba akiwa mwanafunzi au under18 na kijana kwamba wanapendana Nina hapa sintokuwa upande wa serikali kumshtaki na kumfunga aliyempa binti wangu mimba Kwa mapenzi yao wenyewe sio Kwa kumbaka sanasana nitawapa support waweze kuishi vizuri . hata kama huyo kijana amekimbia au amekataa kumuoa binti yangu sinto weza kumtosa binti yangu kamwe hata azalishwe sijui mara ngapi na wanaume wamkimbie .
Kwa hiyo wewe ikitokea kwamba binti yako kapewa mimba na amekimbiwa na mwanaume utamtosa huyo binti yako? acha kuwa na mitazamo ya hovyo
Umeongea mengi lakini swali umeshindwa kulijibu.

Baba brightness upo tayari kuona mtoto wako akazalishwa halafu akatupwa au kutelekezwa na mwanaume huyo na mzigo kutupiwa wewe bila kuzingatia mtoto huyo atafanya tofauti na wewe?

Embu jibu sasa naona swali umelielewa.
 
Ni hivi mkuu hatujuani ila nakueleza Kwa kifupi tu Nina watoto 2 Kwa mama 2 tofauti mmoja wa kike anaitwa brightness mwingine wa kiume anaitwa Brighton.
Nina wahudumia watoto wangu vizuri na hao Baby mummy wameolewa na watu wengine
Brightness naishi naye kwani mama yake kaolewa na mwanaume nje ya nchi huyo mwingine yupo na mama yake na huyo mume wake.
Kuhusu mshua wangu anasumbuliwa na ndugu eti Kwa kuwa sijaoa na ni over 30 na Nina Kipato kikubwa sio cha wastani eti anitafutie mke . Mshua wangu kawakatalia kawaambia suala la kuoa ni langu binafsi hawezi kunitafutia wala kunilazimisha kuoa yeye anachotaka ni wajukuu tu .
Ikitokea bahati mbaya brightness wangu let apewe mimba akiwa mwanafunzi au under18 na kijana kwamba wanapendana Nina hapa sintokuwa upande wa serikali kumshtaki na kumfunga aliyempa binti wangu mimba Kwa mapenzi yao wenyewe sio Kwa kumbaka sanasana nitawapa support waweze kuishi vizuri . hata kama huyo kijana amekimbia au amekataa kumuoa binti yangu sinto weza kumtosa binti yangu kamwe hata azalishwe sijui mara ngapi na wanaume wamkimbie .
Kwa hiyo wewe ikitokea kwamba binti yako kapewa mimba na amekimbiwa na mwanaume utamtosa huyo binti yako? acha kuwa na mitazamo ya hovyo
Nawaonea huruma sana wanao kwa Kupata baba mwenye mindset za hv,sizani kama baba yako.angekuwa kama Wewe ungefika ulipofika
 
Mtoa mada umeumbuliwa na takwimu sahihi za Mama Samia
66%vijana wa Dar hawataki kuoa.
55% vijana wa vijijini hawataki kuoa.
Kuna tatizo mahala na imawezekana kwa sababu ya ujinga ama upumbavu wako hulioni.
 
Nawaonea huruma sana wanao kwa Kupata baba mwenye mindset za hv,sizani kama baba yako.angekuwa kama Wewe ungefika ulipofika
Acha kuwa conservative ndugu yangu Life is full of Dynamics
How comes.niwe na mind set kama.za msure wangu.
Kwa hiyo wewe jamaa una mind set kama za msure wako?
Acheni kuukimbia ukweli maisha tunayoishi sasahivi masuala ya ndoa wala hayana msisitizo.
Ndio maana siku hizi hata wazazi wanawaambia watoto wao waliopo Kwenye ndoa kama wakishindwana waachane kulipo wazuriane kama matukio mengi . ile dhana ya ndoa ndoano haipo tena.
Halafu wewe fala unaweza kuta watoto wako wanaishi maisha ya hovyo na kimaskini kulipo my kids wewe endelea na mitazamo yako ya kizamani , nimesoma na nimetembea nchi mbalimbali nimejifunza mila na tamaduni kibao TZ na Nje ya TZ siwezi kuwa na mitazamo kama msure wangu hata Mzee wangu anakiri hivyo siwezi kuwa kama yeye na ananikubali ninafanya mambo kibao mwenyewe ananikubali vibaya sana manake mwenyewe alisoma na kuelimika kitambo sana mwaka 1967 msure wangu alikuwa Toronto University anafanya Bachelor 1982 alikuwa Sheffield University anapiga Master
 
Wanakataa ndoa Ila wanapiga Kama kawaida Tena viwango vya juu
Sio kweli walio kwenye ndoa ndio wachakataji wa Ile kitu. Sio kweli

Kukataa ndoa haihusiani na kutochakata ule mpasuo

Unaweza usiwe kwenye ndoa na ukawa na watoto wengi tu

Kama yote (ule mpasuo na watoto) anayaweza kuyapata ata pasipo kuingia kwenye ndoa. Ndoa ni ya nini Sasa?

Ndoa ni taasisi ya kitapeli
 
Umeongea mengi lakini swali umeshindwa kulijibu.

Baba brightness upo tayari kuona mtoto wako akazalishwa halafu akatupwa au kutelekezwa na mwanaume huyo na mzigo kutupiwa wewe bila kuzingatia mtoto huyo atafanya tofauti na wewe?

Embu jibu sasa naona swali umelielewa.
Sasa ndio swali gani la kipumbavu unaniuliza? Nakujibu Kwa kirefu hapo chini
Ikitokea my brightness kama ninavyomuita kapewa ujauzito na mwanaume .
Nitachomuuliza amepataje kabakwa au kama alipewa Kwa mapenzi yake?
Kama alibakwa huyo mhusika ata suffer consequence ila ni kama alipewa Kwa mapenzi yake nitamwambia amlete huyo muhusika nimuhoji vizuri kiurafiki kama ni muelewa na atanielewa huyo kijana kama ni choka mbaya atakuwa tayari kashatoka kimaisha . Ikitokea amekataa nitamlea mtoto wangu na mjukuu wangu kama kawaida Kwa mapenzi yote .
Yaani nimkatae brightness wangu kiša kapewa ujauzito dah wewe jamaa sijui una akili gani very Stupid question.
Nampongeza Mama Samia Kwa kukubali kuwarudisha shuleni mabinti waliobeneshwa ujauzito wakiwa wapo.masomoni ni uamuzi mzito ila wa busara sana.
Kwa hiyo binti akipewa ujauzito kama hajaolewa au yupo shule wewe jamaa inaonekana unamchukulia kama kafanya kosa kubwa sana na hatakiwi tena Kwenye jamii
My brightness amezaliwa 2011 hadi sasa anaakili anajua kuna mambo ya mimba ,magonjwa ya zinaa ,kubakwa wanafundishwa shuleni sitegemei awe na mindset kama yangu m
 
Malez
Acha kuwa conservative ndugu yangu Life is full of Dynamics
How comes.niwe na mind set kama.za msure wangu.
Kwa hiyo wewe jamaa una mind set kama za msure wako?
Acheni kuukimbia ukweli maisha tunayoishi sasahivi masuala ya ndoa wala hayana msisitizo.
Ndio maana siku hizi hata wazazi wanawaambia watoto wao waliopo Kwenye ndoa kama wakishindwana waachane kulipo wazuriane kama matukio mengi . ile dhana ya ndoa ndoano haipo tena.
Halafu wewe fala unaweza kuta watoto wako wanaishi maisha ya hovyo na kimaskini kulipo my kids wewe endelea na mitazamo yako ya kizamani , nimesoma na nimetembea nchi mbalimbali nimejifunza mila na tamaduni kibao TZ na Nje ya TZ siwezi kuwa na mitazamo kama msure wangu hata Mzee wangu anakiri hivyo siwezi kuwa kama yeye na ananikubali ninafanya mambo kibao mwenyewe ananikubali vibaya sana manake mwenyewe alisoma na kuelimika kitambo sana mwaka 1967 msure wangu alikuwa Toronto University anafanya Bachelor 1982 alikuwa Sheffield University anapiga Master
Malezi siyo degree ,master au doctorate, malezi ni mchakato unaratibiwa na watu wawili wenye jinsia tofauti kudeliver kila mtu kutokana jinsia yao kwenda kwa zao lao(watoto),

Malezi pesa,gari, nguo nzuri,chakula etc unajua why wazungu wanakila kitu lakini malezi ni zero,mtoto wa miaka 12 akakwambia yeye ni shoga na anawaambia wazazi wake,

Hatufungi maamuz ya mtu ya kutoka,
Ila msituletee kampeni za lucifer yule mpumbavu,zakataa Ndoa
Mungu aliweka ndoa ,huwez kuwa na akili kumzid na vi degree vyako
 
They have mission to do,kataa ndoa iende na kataa uzizi na kataa puchu,
Walikuwa na special mission ambayo muda na kazi vilikinzana,
Ndugu what is your mission,je hauzini!
Wapo matoashi ilà Wana special mission ,
Sasa hao hawakuwa kataa ndoa na hawakuendesh kampeni yoyote na ni negligible perc . Compare to other waliooa na wakafanya makubwa.
And why uongelee one side,ongelea na waliooa wakafanya makubwa
One side ni unafki wa wazi
My mission is none of your business
Kuwa na ndoa hakuna uhusiano na mission
Huwezi kujustify mtu awe na ndoa kwa kujudge mission
Who are you to judge someone's mission
By the way kila mtu ana choices zake katika maisha , individual liberty shouldn't be infringed
Huna mandate ya kuingilia choices na life style ya mtu .
So calm down
 
Back
Top Bottom