Kijana atoa ushuhuda na kusema hatoikaribia Betting tena

Qur an ishakataza huu upuuzi vile watu wabishi tu...

يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا إِنَّمَا الْخَمْرُ وَالْمَيْسِرُ وَالْأَنصَابُ وَالْأَزْلَامُ رِجْسٌ مِّنْ عَمَلِ الشَّيْطَانِ فَاجْتَنِبُوهُ لَعَلَّكُمْ تُفْلِحُونَ

[ AL - MAIDA - 90 ]
Enyi mlio amini! Bila ya shaka ulevi, na kamari, na kuabudu masanamu, na kupiga ramli, ni uchafu katika kazi ya Shet'ani. Basi jiepusheni navyo, ili mpate kufanikiwa...p
 
Si rahisi kuelekeza ktk beating Kwa miaka 10 Kisha uache Kwa siku Moja.

Inahitaji msaada na Kupata company na watu wa kitofauti Ili kuacha TABIA huyo completely.

Njoo Kwa Yesu. Amen
 
Back
Top Bottom