Kubeti Kulivyoharibu Maisha yangu/ how betting has ruined my life

2018

JF-Expert Member
Jan 1, 2018
546
778
Heshima kwenu
Ni kijana wa miaka 25+ ,nilifundishwa kubeti mwishoni mwa mwaka 2014 Kama Sio mwanzoni mwa mwaka 2015 nikiwa mwaka wa kwanza chuo kikuu Cha dar es salaam ( mlimani).

Kabla sijajifunza kubeti nilikua kijana mwenye akili iliyotulia,mipango inayotekelezeka na mwenye future nzuri na yenye tumaini.

Lakini kadri niliyokua nikipata experience katika kubeti ndivyo nilivyoanza kupoteza uelekeo kwa kureplace akili niliyobarikiwa na Mungu with akili ya kamari ( kufanikiwa within a night)

Sitoelezea Sana Ila ieleweke tuu kwamba kubeti kumeniharibia,kutokana na kubeti mfululizo ndani ya miaka 5-4, kukiambatana na stress za Hali ya juu huku timu moja ikichana mkeka na kupoteza fedha nyingi ambazo Kama ningezikusanya ningefanya mtaji wa shughuli nyinginezo Mimi nilibetia.
Leo hii tarehe 28/12/2019 nimeamua kuachana rasmi na masuala ya kubeti.

Lengo la kuandika huu Uzi ni kuwafikishia ujumbe vijana wenzangu kua wanapoteza muda katika kubeti unless wawe wanafanya Kama starehe tuu Ila Kama wanamalengo ya kutoboa kupitia betting Basi wajue wanapoteza muda

Najua wengi watabeza hatua hii lakini in the long run of successive betting watakuja kukubali kua wanapoteza pesa na muda,ni Bora huo muda wangetumia kufanya shughuli zingine za kimaendeleo kuliko kubeti


Sent using tecno pop 2 plus

Aloo addiction haikimbiwiii,ngoja nijaribu kubet kistaarabu tuu,maana kuacha betting nmeshindwa.

Nimefanikiwa kuacha kabisa.Namshukuru Jah amenisaidia
 
Heshima kwenu
Ni kijana wa miaka 25+ ,nilifundishwa kubeti mwishoni mwa mwaka 2014 Kama Sio mwanzoni mwa mwaka 2015 nikiwa mwaka wa kwanza chuo kikuu Cha dar es salaam ( mlimani).

Kabla sijajifunza kubeti nilikua kijana mwenye akili iliyotulia,mipango inayotekelezeka na mwenye future nzuri na yenye tumaini.

Lakini kadri niliyokua nikipata experience katika kubeti ndivyo nilivyoanza kupoteza uelekeo kwa kureplace akili niliyobarikiwa na Mungu with akili ya kamari ( kufanikiwa within a night)

Sitoelezea Sana Ila ieleweke tuu kwamba kubeti kumeniharibia,kutokana na kubeti mfululizo ndani ya miaka 5-4, kukiambatana na stress za Hali ya juu huku timu moja ikichana mkeka na kupoteza fedha nyingi ambazo Kama ningezikusanya ningefanya mtaji wa shughuli nyinginezo Mimi nilibetia.
Leo hii tarehe 28/12/2019 nimeamua kuachana rasmi na masuala ya kubeti.

Lengo la kuandika huu Uzi ni kuwafikishia ujumbe vijana wenzangu kua wanapoteza muda katika kubeti unless wawe wanafanya Kama starehe tuu Ila Kama wanamalengo ya kutoboa kupitia betting Basi wajue wanapoteza muda

Najua wengi watabeza hatua hii lakini in the long run of successive betting watakuja kukubali kua wanapoteza pesa na muda,ni Bora huo muda wangetumia kufanya shughuli zingine za kimaendeleo kuliko kubeti


Sent using Jamii Forums mobile app
Heshima kwenu
Ni kijana wa miaka 25+ ,nilifundishwa kubeti mwishoni mwa mwaka 2014 Kama Sio mwanzoni mwa mwaka 2015 nikiwa mwaka wa kwanza chuo kikuu Cha dar es salaam ( mlimani).

Kabla sijajifunza kubeti nilikua kijana mwenye akili iliyotulia,mipango inayotekelezeka na mwenye future nzuri na yenye tumaini.

Lakini kadri niliyokua nikipata experience katika kubeti ndivyo nilivyoanza kupoteza uelekeo kwa kureplace akili niliyobarikiwa na Mungu with akili ya kamari ( kufanikiwa within a night)

Sitoelezea Sana Ila ieleweke tuu kwamba kubeti kumeniharibia,kutokana na kubeti mfululizo ndani ya miaka 5-4, kukiambatana na stress za Hali ya juu huku timu moja ikichana mkeka na kupoteza fedha nyingi ambazo Kama ningezikusanya ningefanya mtaji wa shughuli nyinginezo Mimi nilibetia.
Leo hii tarehe 28/12/2019 nimeamua kuachana rasmi na masuala ya kubeti.

Lengo la kuandika huu Uzi ni kuwafikishia ujumbe vijana wenzangu kua wanapoteza muda katika kubeti unless wawe wanafanya Kama starehe tuu Ila Kama wanamalengo ya kutoboa kupitia betting Basi wajue wanapoteza muda

Najua wengi watabeza hatua hii lakini in the long run of successive betting watakuja kukubali kua wanapoteza pesa na muda,ni Bora huo muda wangetumia kufanya shughuli zingine za kimaendeleo kuliko kubeti


Sent using Jamii Forums mobile app
Serikali haiwezi kuzuia betting kwasababu inapata Kodi, wakuzuia betting no sisi wananchi hasa wa kipato Cha chini maana ndio wahanga wakubwa,boda boda wengi wanashindwa kupeleka matarajio ya siku kwasababu ya betting,wanafunzi wanapoteza ada na pocket money kwasababu ya betting,walimu pia wanabeti.

Kizazi gani tunatengeneza?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kufanikiwa within a night)
ulikosea sana kubet huku ukiwa na mihemko ya kutoboa.
Bora huo muda wangetumia kufanya shughuli zingine za kimaendeleo kuliko kubeti
Kwa hiyo wewe uliacha shughuli zingine ukawa unategemea betting? Inatakiwa tukucharaze na viboko.


Pesa ambayo ulitaka kumuhonga mwajuma igawe mara mbili kabetie nyingine fanya hivyo kwa ambayo ulitka ukanywee bia pia.

Kubeti si ajira fanya shughuli zako nyingine kwa bidii na weredi.
(Ukitaka kubet ajira inatakiwa akili kubwa mno,mnooo.)
 
Kuna jamaa nikinyozi nilikuwa nimeenda kunyoa rafiki yake akaja na bonge la mkeka ameweka jero ili ashinde milion 32

Kiasi kwamba hata ile jero ikienda muhindi hawezi pata faida yote atafidia ile karatasi iliyotandikiwa mkeka
Mkuu wewe ndio wale wanaotia JERO ili upate mamilion timu kibao tunaita behewa huwez fanikiwa mkuu tia laki chagua timu zako 3 upate walau odds 2 hapo betting utaifurahia mm nilianza na elfu 20 sasa naitafuta lak 6 sibeti kwa sifa siichukulii betting kama kaz

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Betting is a side business😎

vigezo na masharti vizingatiwe
Watu wameweka mtaji pembeni wanavuna faida kaisi wanahifadhi maisha yanaenda

unataka upate mamilioni yatoke wapi?.
Watu wanapambana kupata hizi laki 1 hadi 2.5m zinasogeza maisha..mtu anabet chini ya sh elf 10 mara kadhaa kwa wiki ova
 
Back
Top Bottom