Wacha1
JF-Expert Member
- Dec 21, 2009
- 16,676
- 8,246
- Thread starter
- #81
Nakubaliana na wewe lakini maji yamekwisha mwagika, makosa ni makosa tu.Hapana, namaanisha kwamba kwenda mbele au "going forward" hii akaunti yake ya sasa ya POTUS handle ambayo ni rasmi ambayo ndiyo imeanzia neno sahihi la "honored" itakuwa ikiingizwa maneno sahihi bila kuathiri ujumbe unaokusudiwa.