PostGE2025 Kihongosi: Jaji Warioba asiwe na chuki kwa viongozi waliopo, tunakuheshimu, staafu vizuri

PostGE2025 Kihongosi: Jaji Warioba asiwe na chuki kwa viongozi waliopo, tunakuheshimu, staafu vizuri

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections
Katibu Mwenezi wa CCM, Kenani Kihongosi amemwomba Jaji Mstaafu, Joseph Warioba asiwe na chuki kwa viongozi waliopo bali awashauri kwa hekima badala ya kulalamika mtandaoni.

Akizungumza na wanahabari jijini Dodoma siku ya Jumamosi, Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa, Kenani Kihongosi ameeleza kusikitishwa na hatua ya Jaji Warioba kutoa kauli ambazo chama hicho kinaziona kama zenye chuki na ulalamishi, siku chache tu baada ya kukutana na Rais Samia Suluhu Hassan ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM Taifa.

“Warioba amekutana na Rais siku nne hazijapita yupo tena mtandaoni. Sasa inasikitisha kidogo lakini tunachomuomba kwamba astaafu vizuri aendelee kupumzika lakini asiwe na chuki kwa viongozi waliopo kwa sababu ana uwezo wa kushauri na kufika katika mamlaka husika na kuweza kuishauri kwa hekima kuliko kwenda kulalamika kwenye mitandao”, amesema Kihongosi.

Personally namnjua Warioba, siyo mtu mwongo, mnaogopa wanaosema ukweli. Hao waongo kama JK ndiyo mnawapenda.

Huyu kijana kwa sababu ya tumbo anakosa utashi kabisa, Warioba ndiyo alivyo huwezi kumdanganya na yeye wala hana ya kukudanganya.

CCM mko low sana, huyu mbuzi hata jina lake nashindwa kulikumbuka mmemtoa wapi? Wekeni watu wenye stahaa hata akienda kwa wazungu akiwasafisha msafishike. Sura kama huyu mchafu mchafu mnaangusha nchi yetu.
 
Katibu Mwenezi wa CCM, Kenani Kihongosi amemwomba Jaji Mstaafu, Joseph Warioba asiwe na chuki kwa viongozi waliopo bali awashauri kwa hekima badala ya kulalamika mtandaoni.

Akizungumza na wanahabari jijini Dodoma siku ya Jumamosi, Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa, Kenani Kihongosi ameeleza kusikitishwa na hatua ya Jaji Warioba kutoa kauli ambazo chama hicho kinaziona kama zenye chuki na ulalamishi, siku chache tu baada ya kukutana na Rais Samia Suluhu Hassan ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM Taifa.

“Warioba amekutana na Rais siku nne hazijapita yupo tena mtandaoni. Sasa inasikitisha kidogo lakini tunachomuomba kwamba astaafu vizuri aendelee kupumzika lakini asiwe na chuki kwa viongozi waliopo kwa sababu ana uwezo wa kushauri na kufika katika mamlaka husika na kuweza kuishauri kwa hekima kuliko kwenda kulalamika kwenye mitandao”, amesema Kihongosi.

Huyu naye mufilisi jmmmyue zake
 
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimemtaka Waziri Mkuu Mstaafu, Jaji Joseph Sinde Warioba, "kustaafu vizuri" na kuacha kutoa malalamiko dhidi ya serikali kwenye vyombo vya habari, badala yake atumie busara na hekima kuishauri mamlaka husika faragha.

Soma pia:



Akizungumza na wanahabari jijini Dodoma siku ya Jumamosi, Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa, Kenani Kihongosi ameeleza kusikitishwa na hatua ya Jaji Warioba kutoa kauli ambazo chama hicho kinaziona kama zenye chuki na ulalamishi, siku chache tu baada ya kukutana na Rais Samia Suluhu Hassan ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM Taifa.

“Warioba amekutana na Rais siku nne hazijapita yupo tena mtandaoni. Sasa inasikitisha kidogo lakini tunachomuomba kwamba astaafu vizuri aendelee kupumzika lakini asiwe na chuki kwa viongozi waliopo kwa sababu ana uwezo wa kushauri na kufika katika mamlaka husika na kuweza kuishauri kwa hekima kuliko kwenda kulalamika kwenye mitandao”, amesema Kihongosi.
 
Katibu Mwenezi wa CCM, Kenani Kihongosi amemwomba Jaji Mstaafu, Joseph Warioba asiwe na chuki kwa viongozi waliopo bali awashauri kwa hekima badala ya kulalamika mtandaoni.

Akizungumza na wanahabari jijini Dodoma siku ya Jumamosi, Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa, Kenani Kihongosi ameeleza kusikitishwa na hatua ya Jaji Warioba kutoa kauli ambazo chama hicho kinaziona kama zenye chuki na ulalamishi, siku chache tu baada ya kukutana na Rais Samia Suluhu Hassan ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM Taifa.

“Warioba amekutana na Rais siku nne hazijapita yupo tena mtandaoni. Sasa inasikitisha kidogo lakini tunachomuomba kwamba astaafu vizuri aendelee kupumzika lakini asiwe na chuki kwa viongozi waliopo kwa sababu ana uwezo wa kushauri na kufika katika mamlaka husika na kuweza kuishauri kwa hekima kuliko kwenda kulalamika kwenye mitandao”, amesema Kihongosi.

CCM boasts a big number of sons of bitches!
 
Katibu Mwenezi wa CCM, Kenani Kihongosi amemwomba Jaji Mstaafu, Joseph Warioba asiwe na chuki kwa viongozi waliopo bali awashauri kwa hekima badala ya kulalamika mtandaoni.

Akizungumza na wanahabari jijini Dodoma siku ya Jumamosi, Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa, Kenani Kihongosi ameeleza kusikitishwa na hatua ya Jaji Warioba kutoa kauli ambazo chama hicho kinaziona kama zenye chuki na ulalamishi, siku chache tu baada ya kukutana na Rais Samia Suluhu Hassan ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM Taifa.

“Warioba amekutana na Rais siku nne hazijapita yupo tena mtandaoni. Sasa inasikitisha kidogo lakini tunachomuomba kwamba astaafu vizuri aendelee kupumzika lakini asiwe na chuki kwa viongozi waliopo kwa sababu ana uwezo wa kushauri na kufika katika mamlaka husika na kuweza kuishauri kwa hekima kuliko kwenda kulalamika kwenye mitandao”, amesema Kihongosi.

Green waste
 
Kwa Maana Hiyo,,,Hoja Zake Ndio Umezijibu Kwa Mzee Kutoteuliwa Katika Tume,,,Mzee Ana Uchu Na Hela Na Pia Mzee Anavuta Sana Sigara....!!!Una Hoja Za Mashiko Mnoo...Unajitahidi Pia...Una Kitu Endelea Vivyo Hivyo komredi.....
mzee warioba amekasirishwa mno kutokuteuliwa kua mjumbe wa tume ya kimahakama ya uchunguzi.

ana hasira mno kwenye hilo,
mzee na uchu na hela balaa, halafu anavuta sana sigara
 
Kenani anaongea hivyo km nanii? Ana mamlaka yapi ya kumsema mzee Warioba?
Ajitathimini. Lol
 
Huenda alikataa kuwa Mwenyekiti wa Tume feki ya Maridhiano itakayoundwa na Mama Abdul.
 
Kama ninyi mnawavunjia heshima wananchi waliowaweka madarakani sisi ni akina nani hasa tushindwe kuwavunjia heshima ninyi!, dawa ya moto ni moto tu, mkimwaga ugali sisi tunamwaga mboga.
Wamewekwa madarakani na wananchi wapi mkuu?
 
Anaandika John Heche ..
Huyu kijana… Yaani nyie mlioua watu na watu wanasema uchafu wenu na mauaji yenu hadharani nani anachafua Nchi?

Kwanza nani amewambia ccm na serikali yenu dhalimu ndio Nchi? Serikali isiyo na ridhaa iko madarakani sio kwa kura bali kwa mtutu wa bunduki, hiyo serikali sio Nchi Bali inabaki kuwa serikali dhalimu..

Wewe una sifa gani za kutumwa kumsema Jaji Warioba? Wanaokutuma sasa kumtukana Mzee anaeheshimika kama Warioba wajue kuna wengine watakutuma wewe kuwawatukana wao pia.
1768667252366.jpg
 
Kwa Maana Hiyo,,,Hoja Zake Ndio Umezijibu Kwa Mzee Kutoteuliwa Katika Tume,,,Mzee Ana Uchu Na Hela Na Pia Mzee Anavuta Sana Sigara....!!!Una Hoja Za Mashiko Mnoo...Unajitahidi Pia...Una Kitu Endelea Vivyo Hivyo komredi.....
mzee warioba hajawahi kua na hoja gentleman,
daima huibua uzushi na porojo za kutafuta kiki na public sympathy nonsense kabisa

kana penda posho sana haka kazee halafu kana hasira kasipopewa nafasi :pedroP:
 
Katibu Mwenezi wa CCM, Kenani Kihongosi amemwomba Jaji Mstaafu, Joseph Warioba asiwe na chuki kwa viongozi waliopo bali awashauri kwa hekima badala ya kulalamika mtandaoni.

Akizungumza na wanahabari jijini Dodoma siku ya Jumamosi, Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa, Kenani Kihongosi ameeleza kusikitishwa na hatua ya Jaji Warioba kutoa kauli ambazo chama hicho kinaziona kama zenye chuki na ulalamishi, siku chache tu baada ya kukutana na Rais Samia Suluhu Hassan ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM Taifa.

“Warioba amekutana na Rais siku nne hazijapita yupo tena mtandaoni. Sasa inasikitisha kidogo lakini tunachomuomba kwamba astaafu vizuri aendelee kupumzika lakini asiwe na chuki kwa viongozi waliopo kwa sababu ana uwezo wa kushauri na kufika katika mamlaka husika na kuweza kuishauri kwa hekima kuliko kwenda kulalamika kwenye mitandao”, amesema Kihongosi.

Kihongosi acha use*nge, kusema ukweli si kuwa na chuki na watawala haramu hata kama hawampendi ukweli usemwe. Kutokutaka ukweli usisemwe haradhani maana yake wanataka raia wasifahamu jinsi nchi yao inavyoendeshwa, kwanini hawataki raia wawe wanaambiwa ukweli? Je ina maana kuna wizi, uharamia, ufisadi, uuaji, utekaji na kila aina ya maovu vinafanyika kwa kiwango kikubwa sana ambavyo hawataki kabisa wananchi wafahamu hali halisi ulivyo.
Wananchi wa kawaida tunataka ukweli uwe unazungumzwa hadharani muda wote na kila baya liwekwe hadharani kwani ndiyo njia ya kuwafanya wajirekebishe(if at least they still poses a little bit of humanity in them).
Mzee warioba endelea kuwa muwazi kwa wananchi kupitia aina zote za media ili wananchi wafahamu jinsi nchi yao inavyoendeshwa.
 
Hivi unajua mafao ya Waziri mkuu mstaafu kisheria??
Au unawaza buku saba ya uchawa
Usiwe mwehu
kwasababu ya sigara hako kazee hakatosheki na chochote,

kana tamaa ya hela mbaya sana halafu dishi ni kama limeyumba zaidi kwenye pesa :HAhaa:
 
Katibu Mwenezi wa CCM, Kenani Kihongosi amemwomba Jaji Mstaafu, Joseph Warioba asiwe na chuki kwa viongozi waliopo bali awashauri kwa hekima badala ya kulalamika mtandaoni.

Akizungumza na wanahabari jijini Dodoma siku ya Jumamosi, Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa, Kenani Kihongosi ameeleza kusikitishwa na hatua ya Jaji Warioba kutoa kauli ambazo chama hicho kinaziona kama zenye chuki na ulalamishi, siku chache tu baada ya kukutana na Rais Samia Suluhu Hassan ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM Taifa.

“Warioba amekutana na Rais siku nne hazijapita yupo tena mtandaoni. Sasa inasikitisha kidogo lakini tunachomuomba kwamba astaafu vizuri aendelee kupumzika lakini asiwe na chuki kwa viongozi waliopo kwa sababu ana uwezo wa kushauri na kufika katika mamlaka husika na kuweza kuishauri kwa hekima kuliko kwenda kulalamika kwenye mitandao”, amesema Kihongosi.

Kihongosi atakuwa aidha anakuwa kama roboti, au anaunga mkono Sera za ubakaji, kuwaingikia watu kinyume, na kutokutenda Haki. Warioba Hana chukua na MTU Bali kutotenda Haki.
 
kwasababu ya sigara hako kazee hakatosheki na chochote,

kana tamaa ya hela mbaya sana halafu dishi ni kama limeyumba zaidi kwenye pesa :HAhaa:
INaumiza sana kuwa na taifa lenye watu wajinga na wapumbavu kama wewe

Ccm imeharibu nchi Hadi akili za machawa wake kama wewe

Kwamba Pm na Jaji mstaafu ana njaa kama za kwako za uchawa ?
Mpuuzi wewe
 
Katibu Mwenezi wa CCM, Kenani Kihongosi amemwomba Jaji Mstaafu, Joseph Warioba asiwe na chuki kwa viongozi waliopo bali awashauri kwa hekima badala ya kulalamika mtandaoni.

Akizungumza na wanahabari jijini Dodoma siku ya Jumamosi, Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa, Kenani Kihongosi ameeleza kusikitishwa na hatua ya Jaji Warioba kutoa kauli ambazo chama hicho kinaziona kama zenye chuki na ulalamishi, siku chache tu baada ya kukutana na Rais Samia Suluhu Hassan ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM Taifa.

“Warioba amekutana na Rais siku nne hazijapita yupo tena mtandaoni. Sasa inasikitisha kidogo lakini tunachomuomba kwamba astaafu vizuri aendelee kupumzika lakini asiwe na chuki kwa viongozi waliopo kwa sababu ana uwezo wa kushauri na kufika katika mamlaka husika na kuweza kuishauri kwa hekima kuliko kwenda kulalamika kwenye mitandao”, amesema Kihongosi.

Tukisema kwenye Hilo genge hakuna mwenye akili sawa sawa muwe mnaelewa
 
Katibu Mwenezi wa CCM, Kenani Kihongosi amemwomba Jaji Mstaafu, Joseph Warioba asiwe na chuki kwa viongozi waliopo bali awashauri kwa hekima badala ya kulalamika mtandaoni.

Akizungumza na wanahabari jijini Dodoma siku ya Jumamosi, Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa, Kenani Kihongosi ameeleza kusikitishwa na hatua ya Jaji Warioba kutoa kauli ambazo chama hicho kinaziona kama zenye chuki na ulalamishi, siku chache tu baada ya kukutana na Rais Samia Suluhu Hassan ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM Taifa.

“Warioba amekutana na Rais siku nne hazijapita yupo tena mtandaoni. Sasa inasikitisha kidogo lakini tunachomuomba kwamba astaafu vizuri aendelee kupumzika lakini asiwe na chuki kwa viongozi waliopo kwa sababu ana uwezo wa kushauri na kufika katika mamlaka husika na kuweza kuishauri kwa hekima kuliko kwenda kulalamika kwenye mitandao”, amesema Kihongosi.

Anaongea upumbavu mtupu
 
Back
Top Bottom