Tindo
Platinum Member
- Sep 28, 2011
- 69,486
- 122,820
Duuh uko karibu nae Nini?.
Maaana inaonyesha unamfahanu sana
Unauliza vumbi darini?
Duuh uko karibu nae Nini?.
Maaana inaonyesha unamfahanu sana
Na anapambana kweliNi mpambanaji kisha anashinda kwenye ushirikina ili awe Mbunge na Waziri? Kwanini asibaki kwenye huo upambanaji wake?
Masimba ya upande wa Mo pia yanafurahia....Machadema ndiyo yamefurahia, yana roho ya korosho sana.
Jamaa hapendwi aiseeKila kona ya Tanzania naona watu wengi sana wamefurahia Dkt. Kigwangalla kuachwa katika Baraza la Mawaziri. Walioko kwenye sekta ya utalii wamefurahi sana. Cha ajabu hata ambao hawako kwenye sekta ya utalii wamefurahi pia.
Ndugu yangu Khamisi una suala la kujiuliza ni kwanini watu wengi wamefurahia wewe kuachwa na JPM.
Ofcoz kuna vitu vilikuwa vinaniboa hata mimi kama zile tabia zako za kutweet tweet! Hivi Waziri wa Wizara kubwa kama ya Utalii unatoa wapi muda kwa kubishana mitandaoni?
Pole sana ila bado kijana mdogo unao muda wa kujifunza.
No za simu zinaonekana hlf eti mtu kaamua kuzifutaJamaa hapendwi aiseeView attachment 1644589