Kigwangalla jiulize sana kwanini wewe

Kigwangalla jiulize sana kwanini wewe

Washabiki wa simba,ambao wapo upande wa dewji.
Hata hivyo uwaziri ni bonus tu,ubunge mbona unatosha sana ,si anawawakilisha tu waliomchagua,halafu sio masikini hamisi.no mpambanaji haswa.hata hao walioteuliwa wengi tu hawatamaliza mitano.
Baba ukiwa waziri unapewa Dereva, Katibu, walinzi, gari, mafuta, posho, nyumba na unakuwa mjumbe wa baraza la mawaziri.
 
Tamaa tu,mbona hamisi tajiri,anaweza kuajiri ,dereva, walinzi n.k.mtu ama miradi kibao,na ni mkulima wa nguvu,ana ng' ombe kama 5000 hivi .
Utajiri na kuwa na mamlaka ni vitu viwili tofauti kabisa, Donald Trump ni tajiri na hana dhiki lakini anaulilia uraisi wa US

Cheo/Mamlaka na mali ni vitu viwili tofauti kabisa.
 
Ukiangalia hii video ndo unaona huyu Waziri alikua mpumbavu kwa kiwango kikubwa japo kanizidi hela na vyeo alivyopata.

Mzaha si mzaha?

 
Kila kona ya Tanzania naona watu wengi sana wamefurahia Dr Kigwangala kuachwa katika Baraza la Mawaziri. Walioko kwenye sekta ya utalii wamefurahi sana. Cha ajabu hata ambao hawako kwenye sekta ya utalii wamefurahi pia.

Ndugu yangu Khamisi una swala la kujiuliza nikwanini watu wengi wamefurahia wewe kuachwa na JPM.

Ofcoz kuna vitu vilikuwa vinaniboa hata mimi kama zile tabia zako za kutweet tweet!! Hivi waziri wa wizara kubwa kama ya utalii unatoa wapi muda kwa kubishana mitandaoni???

Pole sana ila bado kijana mdogo unao muda wa kujifunza
Kafara ya kale katoto kake ndio ina mla, ushirikina wake umemgharimu
 
Kigwangawala bado anayo nafasi kubwa sana ni kijana mdogo. Muhimu ajikite sana jimboni kwake huo ndio mtaji wake was pekee. Jimboni kwake hakutegemei sana uoendeleo wa uteuzi.
 
More or less the same like Bashite ndio maana anachukiwa Sana
Kibao wametemwa kwenye baraza ila hawaongelewi vibaya kama yeye
Akae chini ajitafakari na ajirekebishe
 
Kila kona ya Tanzania naona watu wengi sana wamefurahia Dr Kigwangala kuachwa katika Baraza la Mawaziri. Walioko kwenye sekta ya utalii wamefurahi sana. Cha ajabu hata ambao hawako kwenye sekta ya utalii wamefurahi pia.

Ndugu yangu Khamisi una swala la kujiuliza nikwanini watu wengi wamefurahia wewe kuachwa na JPM.

Ofcoz kuna vitu vilikuwa vinaniboa hata mimi kama zile tabia zako za kutweet tweet! Hivi waziri wa wizara kubwa kama ya utalii unatoa wapi muda kwa kubishana mitandaoni?

Pole sana ila bado kijana mdogo unao muda wa kujifunza.
Watu wote wenye maneno ya shombo na ulimbukeni kama Kigwa na Nape haya ndiyo matunda yao!
 
Back
Top Bottom