Kigwangalla jiulize sana kwanini wewe

NOT ENOUGH

JF-Expert Member
Dec 8, 2010
596
307
Kila kona ya Tanzania naona watu wengi sana wamefurahia Dkt. Kigwangalla kuachwa katika Baraza la Mawaziri. Walioko kwenye sekta ya utalii wamefurahi sana. Cha ajabu hata ambao hawako kwenye sekta ya utalii wamefurahi pia.

Ndugu yangu Khamisi una suala la kujiuliza ni kwanini watu wengi wamefurahia wewe kuachwa na JPM.

Ofcoz kuna vitu vilikuwa vinaniboa hata mimi kama zile tabia zako za kutweet tweet! Hivi Waziri wa Wizara kubwa kama ya Utalii unatoa wapi muda kwa kubishana mitandaoni?

Pole sana ila bado kijana mdogo unao muda wa kujifunza.
 
Washabiki wa Simba, ambao wapo upande wa Dewji.

Hata hivyo uwaziri ni bonus tu, ubunge mbona unatosha sana , si anawawakilisha tu waliomchagua, halafu sio masikini Hamisi ni mpambanaji haswa hata hao walioteuliwa wengi tu hawatamaliza mitano
 
Washabiki wa simba,ambao wapo upande wa dewji.
Hata hivyo uwaziri ni bonus tu,ubunge mbona unatosha sana ,si anawawakilisha tu waliomchagua,halafu sio masikini hamisi.no mpambanaji haswa.hata hao walioteuliwa wengi tu hawatamaliza mitano.

Ni mpambanaji kisha anashinda kwenye ushirikina ili awe Mbunge na Waziri? Kwanini asibaki kwenye huo upambanaji wake?
 
Kutweet jambo la kawaida mbona Trump anashinda Twitter na ni Rais wa USA sembuse waziri wa sector.

Shida ya HK analewa madaraka ndo shida ila bado ni mbunge koo silingani nae uhakika wa B1 kwa miaka 5 ana uhakika yeye
 
Back
Top Bottom