mtamanyali
JF-Expert Member
- Dec 6, 2011
- 1,161
- 616
Kigwangwala usipojifunza kwenye hili basi hutofika mbali
Hivi hii ina ukweli ndani yake?Mkulungwa si ndio Yule anaroga hadharani na alimtoa mtoto wake kafara?
Kwani anakwenda wapi?Kigwangwala usipojifunza kwenye hili basi hutofika mbali
Trump kaajili watu wa kushinda tweeter sio kwamba ye ndo anatweetkutweet jambo la kawaida mbona Trump anashinda Twitter na ni raisi wa USA sembuse waziri wa sector.
Shida ya HK analewa madaraka ndo shida ila bado ni mbunge koo silingani nae uhakika wa B1 kwa miaka 5 ana uhakika yeye
mfano wangekataa angewafanya nini kwani? Ujinga mwignine wa kujitakia.Madaraka ulevya
View attachment 1643907
samahani wewe umejuaje kama anaenda na wewe ulikuwepo?Sio kwa Level ya Kigwangalla boss.
...Bwashee usihitimishe hivyo kumbuka bungeni kuna 'Askofu'.Hakuna mwanasiasa asiye mshirikina!
samahani wewe umejuaje kama anaenda na wewe ulikuwepo?
Ile kauli aliotoa eti akikamata jangili anammiminia risasi kama zote ndio aliharibu.Kila kona ya Tanzania naona watu wengi sana wamefurahia Dr Kigwangala kuachwa katika Baraza la Mawaziri. Walioko kwenye sekta ya utalii wamefurahi sana. Cha ajabu hata ambao hawako kwenye sekta ya utalii wamefurahi pia.
Ndugu yangu Khamisi una swala la kujiuliza nikwanini watu wengi wamefurahia wewe kuachwa na JPM.
Ofcoz kuna vitu vilikuwa vinaniboa hata mimi kama zile tabia zako za kutweet tweet! Hivi Waziri wa Wizara kubwa kama ya Utalii unatoa wapi muda kwa kubishana mitandaoni?
Pole sana ila bado kijana mdogo unao muda wa kujifunza.
Huo utafiti wa usema HK anachukiwa umeufanya lini na wapi,acheni unafiki,cheo ni dhamana hakuna atakaye kaa nacho milele. HK si wa kwanza na si wa mwisho.Kila kona ya Tanzania naona watu wengi sana wamefurahia Dr Kigwangala kuachwa katika Baraza la Mawaziri. Walioko kwenye sekta ya utalii wamefurahi sana. Cha ajabu hata ambao hawako kwenye sekta ya utalii wamefurahi pia.
Ndugu yangu Khamisi una swala la kujiuliza nikwanini watu wengi wamefurahia wewe kuachwa na JPM.
Ofcoz kuna vitu vilikuwa vinaniboa hata mimi kama zile tabia zako za kutweet tweet! Hivi Waziri wa Wizara kubwa kama ya Utalii unatoa wapi muda kwa kubishana mitandaoni?
Pole sana ila bado kijana mdogo unao muda wa kujifunza.
upo serious kabisaMwanga anaonekana tu hata kwa macho.
Binafsi nilimpenda sio kama waziri bali kwa swali kuntu juu ya janjajanja ya kanjibahi. 20 bn zikowapi wakati yeye anaendelea kujinufaisha na matangazo ya ya mo ndani na nje ya Africa. Kiungozi 45yrs ni miaka kuchache ni mbichi kabisaKigwangalla ni kijana mdogo wakati yupo above 45! Huenda wewe una miaka 70+ ndio maana unasema huyo muhuni ni kijana mdogo.
HUYU NI DOKTA WA MIFUGO AU ????Kila kona ya Tanzania naona watu wengi sana wamefurahia Dr Kigwangala kuachwa katika Baraza la Mawaziri. Walioko kwenye sekta ya utalii wamefurahi sana. Cha ajabu hata ambao hawako kwenye sekta ya utalii wamefurahi pia.
Ndugu yangu Khamisi una swala la kujiuliza nikwanini watu wengi wamefurahia wewe kuachwa na JPM.
Ofcoz kuna vitu vilikuwa vinaniboa hata mimi kama zile tabia zako za kutweet tweet! Hivi Waziri wa Wizara kubwa kama ya Utalii unatoa wapi muda kwa kubishana mitandaoni?
Pole sana ila bado kijana mdogo unao muda wa kujifunza.