Kigwangalla jiulize sana kwanini wewe

Kila kona ya Tanzania naona watu wengi sana wamefurahia Dkt. Kigwangalla kuachwa katika Baraza la Mawaziri. Walioko kwenye sekta ya utalii wamefurahi sana. Cha ajabu hata ambao hawako kwenye sekta ya utalii wamefurahi pia.

Ndugu yangu Khamisi una suala la kujiuliza ni kwanini watu wengi wamefurahia wewe kuachwa na JPM.

Ofcoz kuna vitu vilikuwa vinaniboa hata mimi kama zile tabia zako za kutweet tweet! Hivi Waziri wa Wizara kubwa kama ya Utalii unatoa wapi muda kwa kubishana mitandaoni?

Pole sana ila bado kijana mdogo unao muda wa kujifunza.
Namshauri asije kutoa kafara familia yake ili arejeshwe kwenye CABINET.
 
Kigwangawala bado anayo nafasi kubwa sana ni kijana mdogo. Muhimu ajikite sana jimboni kwake huo ndio mtaji wake was pekee. Jimboni kwake hakutegemei sana uoendeleo wa uteuzi.
Mtu mwenye 45 ni kijana mdogo?

Huu umri haajiriki tena katika system ya serikali in case ametolewa mazima. Labda apewe nafasi ya kisiasa kama ubunge. Mwenye Chance ni mtu kama Makonda.
 
Kigwangala alikuwa anajisahau sana, muda mwingi yupo mitandaoni kubishana; kukejeli na wakati huo huo yeye ni sehemu ya serikali, mbaya zaidi yupo illogical tena ni mzigo kufikiri. Huyo jamaa ashawahi wapigisha push ups maafisa wa jeshi na kuwarusha kichura hadharani. Kigwangala ana matakataka mengi sana wacha tumfichie tu.
 
Huo utafiti wa usema HK anachukiwa umeufanya lini na wapi,acheni unafiki,cheo ni dhamana hakuna atakaye kaa nacho milele. HK si wa kwanza na si wa mwisho.
Unahitaji utafiti kama unatembelea mitandao utaona dhahiri.
 
baadhi ya watanzania walio wengi tumekuwa na tabia mbaya ya Majungu na fitina, wengi walimpiga sana Majungu Hamisi Kigwangwala sio kwa jambo jingine bali kutokana na uhodari wake wa kuchapa kazi kwa weledi. sijui kwa nini watanzania huwa wanawachukui na kuwaundia zengwe viongozi mahirii??!
tutaishi kwa kupigana majungu na fitina mpaka lini?!?
haya kwa sasa Hamisi Kigwangwala hayupo sasa tafuteni mwengine muanze kumpiga majungu na fitina.
tuache tabia ya majungu na fitina, majungu na fitina havijengi bali hubomoa
 
baadhi ya watanzania walio wengi tumekuwa na tabia mbaya ya Majungu na fitina, wengi walimpiga sana Majungu Hamisi Kigwangwala sio kwa jambo jingine bali kutokana na uhodari wake wa kuchapa kazi kwa weledi. sijui kwa nini watanzania huwa wanawachukui na kuwaundia zengwe viongozi mahirii??!
tutaishi kwa kupigana majungu na fitina mpaka lini?!?
haya kwa sasa Hamisi Kigwangwala hayupo sasa tafuteni mwengine muanze kumpiga majungu na fitina.
tuache tabia ya majungu na fitina, majungu na fitina havijengi bali hubomoa

Acha kumtetea alikuwa hajui position yake
 
baadhi ya watanzania walio wengi tumekuwa na tabia mbaya ya Majungu na fitina, wengi walimpiga sana Majungu Hamisi Kigwangwala sio kwa jambo jingine bali kutokana na uhodari wake wa kuchapa kazi kwa weledi. sijui kwa nini watanzania huwa wanawachukui na kuwaundia zengwe viongozi mahirii??!
tutaishi kwa kupigana majungu na fitina mpaka lini?!?
haya kwa sasa Hamisi Kigwangwala hayupo sasa tafuteni mwengine muanze kumpiga majungu na fitina.
tuache tabia ya majungu na fitina, majungu na fitina havijengi bali hubomoa
Uhodari wa Twitter au uhodari gani?
 
Unaweza ukala bure chakula afu ukaenda kunya kwenye choo cha kulipia ndo maisha.
 
Kila kona ya Tanzania naona watu wengi sana wamefurahia Dkt. Kigwangalla kuachwa katika Baraza la Mawaziri. Walioko kwenye sekta ya utalii wamefurahi sana. Cha ajabu hata ambao hawako kwenye sekta ya utalii wamefurahi pia.

Ndugu yangu Khamisi una suala la kujiuliza ni kwanini watu wengi wamefurahia wewe kuachwa na JPM.

Ofcoz kuna vitu vilikuwa vinaniboa hata mimi kama zile tabia zako za kutweet tweet! Hivi Waziri wa Wizara kubwa kama ya Utalii unatoa wapi muda kwa kubishana mitandaoni?

Pole sana ila bado kijana mdogo unao muda wa kujifunza.
Publicity inaweza kukunyanyua sana lakini publicity inaweza kukuangusha chini haraka (Aliji expose sana).Kigwangwala ni kijana,msomi na bado ana future nzuri.Kwa usomi wake anachokosa ni madaraka ya kisasa,kuingia baraza la mawaziri lakini akitulia nanaweza kuendelea na amsiha tena mazuri tu.
 
Back
Top Bottom