imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 46,674
- 71,039
Amaa kweli Nyani huwa haoni kundule hivi anakuzidi wewe kweli?unafiki
Amaa kweli Nyani huwa haoni kundule hivi anakuzidi wewe kweli?unafiki
Hata huyo unaemjibu ni CCM ila alikuwa hampendi JPMCCM ni genge la wahuni tupu
Hahahaaaa......Hamis ametisha!Amaa kweli Nyani huwa haoni kundule hivi anakuzidi wewe kweli?
Hakuna amelikataa hilo usemalo!! Ila kuwatesa na kuwanyanyasa wengine hasa hao unaoita "wenye nazo" kwa kisingizio cha kutetea hao "walalahoi" haikubaliki!Kuna wajinga wametumwa kusema mchuano wa siasa ni kati ya washamba na masharobaro wa mjini. Yote kupotosha wanaharamu fisadi wapite...
Kuna yule Mzee aliongea hilo kwenye kokangamano la katiba mpya pale Ubungo Plaza 2014, alisema kabla hajafa CCM itakuwa imeshatoka madarakani, Kongamano lilipoisha akagongwa na gari Ubungo mataa akafa palepaleKabla sijastafu CCM itakuwa ishatoka madarakani
Mwache huyo sio kama wewe unaeambulia Buku saba, Hamisi ameponda raha wakati wa Awamu ya Wahutu, alikuwa anachukua Visichana anaenda kuvidinya huko kwenye Mbuga za Wanyamapori huku akimwambia Magufuli kuwa anawasaka Majangili.Hahahaaaa......Hamis ametisha!
Hamis mzee wa mbinu kitambo sana, anajua sana kuzisogelea fursa na kujipenyezaMwache huyo sio kama wewe unaeambulia Buku saba Hamisi ameponda raha wakati wa Awamu ya Wahutu alikuwa anachukua Visichana anaenda kuvidinya huko kwenye Mbuga za Wanyamapori huku akimwambia Magufuli kuwa anawasaka Majangili.
Ok mkuuHata huyo unaemjibu ni CCM ila alikuwa hampendi JPM
Kwa hiyo chama kikiwa mikononi mwa kanda za pwani kipo salama.Hakika Chama kimerudi kwa wenyewe
Nakuona chawa promax wa mama unapambanaHawa Sukuma gang ni wa kufyekelea mbali, wameambiwa waanzishe chama chao waingie frontline 2025 wana sitasita, sijui wanaogopa nini wakati wanasema ukanda wao ndio huamua Rais awe nani
Hahaha, wewe chawa wa nani Chief? Marehemu?Nakuona chawa promax wa mama unapambana
Kazana mkuu mama atakuonaHahaha, wewe chawa wa nani Chief? Marehemu?
kimerudi kwa wenyeweHuyu Kigwa mnafiki sana wakati wa Jiwe alisema chama kimerudi kwa wananchi. Sasa hivi je??
Mimi nishaonwa kitambo Chief, Sihitaji kuonwa na MamaKazana mkuu mama atakuona
Kigwangala mnafiki sana huyu mtu, kinyonga sana kwa tabia huyu, mnakumbuka wakati Mh. JPM akiwa hai, Kigwangala ndio alikuwa front line, akijifanya Sukuma gang haswa, alikuwa kumsifia JPM kila kukicha, na uwaziri juu alipewa, na hakuwahi hata kudhubutu kuonyesha dalili tu kuwa JPM aliteka Chama.
Leo hii, anaongea kuwa Chama kilitekwa, watu wa aina hii ni wa kuchunga sana, sbb wako ki maslahi zaidi na ni kuwa nao makini. Kauli kama hii angetoa Nape, bila shaka hakuna wa kupinga wala kusema ni kinyonga, ila sio Hamis, opportunist.