Kigoma sio ndondocha

Kigoma sio ndondocha

Sasa ndo mjue kgm ninyi ni watu wamageuzi lakini hamna misimamo,wepesi kurubuniwa,sasa mmeona njia rshisi ni kuanzisha genge la waha ACT na nawambieni wote mnaofuata upepo itakula kwenu tu hakiendi popote hicho kikundi cha waha wajinga ambacho kimekaa kidini zaidi mfalme wenu mwaka jana kaanza kueneza udini chinichini na kuwapeleka washehe maka then akatangaza nakuja kugombea mjini kgm na chama kipya cha waha,hongera CDM kwa kumgundua mapema msaliti huyu mpenda madaraka sasa afurahi amepata ufalme wa chama.

Tunakoelekea ni kubaya sana, nahisi harufu ya damu
 
Ulichokiandika kinadhihirisha pasipo shaka uwezo wa ubongo wako jinsi ulivyo.Si sahihi na haitakuwa hivyo hata siku moja kuchukua kosa la mtu mmoja na kuliwianisha na jamii nzima atokopo mtu huyo.Makosa ya Zitto yanawezakuwa ni yake yeye kama Zitto na si makosa ya wanakigoma wote kwa ujumla.Unavyowatukana hivyo at the same time unataka uungwaji mkono wao nini kitatokea? Jamani siasa si vita wala ubaguzi kiasi hiki,na pia tujifunze kutoa maoni yanayojenga na si kubomoa.Kumbuka katika siasa chochote kinaweza tokea wakati wowote,acheni dharau zenu.

Amejipa jina zuri eti fikirikwanza lakini maneno na mawazo yake hayaonyeshi kwamba ametumia hata 5% ya akili yake.

Acha ujinga kuna wanachadema wenzako kibao kigoma ambao unawakwaza. Sio kila mtu wa kigoma ana mshikamano na Zitto

FIKIRI KWANZA MWEHU WEWE (HUYO ANAYEJIITA fikiri kwanza) siyo mkuu wangu longobesi bombasi
 
Amejipa jina zuri eti fikirikwanza lakini maneno na mawazo yake hayaonyeshi kwamba ametumia hata 5% ya akili yake.

Acha ujinga kuna wanachadema wenzako kibao kigoma ambao unawakwaza. Sio kila mtu wa kigoma ana mshikamano na Zitto

FIKIRI KWANZA MWEHU WEWE (HUYO ANAYEJIITA fikiri kwanza) siyo mkuu wangu longobesi bombasi

Umekamatwa ukakamatika
 
Kila mtu anakushangaa wewe mleta mada kwani ACT si chama? .Vyama vyote vilianza vikiwa vichanga vikakua. Kwa taarifa yako niko maeneo ya Musoma na Tarime kikazi ACT kinapokea wanachama kwa kasi ya ajabu na walio wengi wanalipia kadi zao kwa miaka 10. sijawahi ona chama kinachokwenda kwa spidi ya namna hii labda TANU ya Uhuru. Ama kweli wananchi wamemkumbuka Baba wa Taifa mwl. J.K. Nyerere
ACT CHAPA MWENDO IKIWEZEKANA CCM IONDOKE MWAKA HUUHUU
 
Utafiti unaonyesha kuwa mkoa wa kigoma bado ni mali ya ukawa
Katika majimbo ya mkoa wa kigoma mpaka tunaenda mitamboni ukawa inashilikilia majimbo manne kwa hiyo chama chochote kitakachotaka kubomoa nguvu ya ukawa mkoani kigoma kitatumia rasilimali nyingi sana au kutumia ushawishi wa kuwashawishi baadhi ya wana ukawa kujiunga na act je itawezekana?
 
Me mwenyewe sijawahi kuwaamini wachaga kwani niwazurumatii balaa, wakiona pesa wapo tayar kukutoa roho, je wakiingia ikulu c ndo wananchi watakula nyasiii


ili tuweze kufika nchi ya ahadi lazma kuna type ya wa2 mungu hatusaidie kuwaondoa mana wanatuchelewesha kufika kwa tamaa za kishenzi na njaa zisizo na maana, nw watanzania wengi wanakula nyasi kwa uongoz huu wa mkwere,,,,:thinking::thinking:
 
Kila mtu anakushangaa wewe mleta mada kwani ACT si chama? .Vyama vyote vilianza vikiwa vichanga vikakua. Kwa taarifa yako niko maeneo ya Musoma na Tarime kikazi ACT kinapokea wanachama kwa kasi ya ajabu na walio wengi wanalipia kadi zao kwa miaka 10. sijawahi ona chama kinachokwenda kwa spidi ya namna hii labda TANU ya Uhuru. Ama kweli wananchi wamemkumbuka Baba wa Taifa mwl. J.K. Nyerere
ACT CHAPA MWENDO IKIWEZEKANA CCM IONDOKE MWAKA HUUHUU

Ninyi mjidanganye tu ACT ya juzi tu mnawaza kuwa ndo chama cha upinzani kwanza ninyi mmevamia bongi ambalo silo mfalme wenu anatumiwa na chama tawala kuwafanikisha waendelee kukaa madarakani ninyi mnawaza kuwa mtashika dora yaani hata mambo yanavyokwenda hamjui mnalishwa maneno poleni sana,mfalme wenu sasa hivi yuko kwenye system ninyi mtabakia ulamba miguu yake sindo mmeamua kumfuata.
 
hiko chama cha act ni zao la ccm, ukawa ni mvua ya mawe zuia kwa mkono uone chamtemakuni pambafuuuuuu
 
sisi ni zito tu wanakigoma chadema bai

huna lolote wewe bendera fuata upepo. Mlimshobokea warid kabour mmeona sasa ela za bure za kuwapa zimekata. Mmeamia kwa zitto. Na bado mtaama sana.

Hata nzi mtawafuata siku moja mkizani kuna asali uko kumbe mtakutana na mavi tu
 
kila mtu anakushangaa wewe mleta mada kwani act si chama? .vyama vyote vilianza vikiwa vichanga vikakua. Kwa taarifa yako niko maeneo ya musoma na tarime kikazi act kinapokea wanachama kwa kasi ya ajabu na walio wengi wanalipia kadi zao kwa miaka 10. Sijawahi ona chama kinachokwenda kwa spidi ya namna hii labda tanu ya uhuru. Ama kweli wananchi wamemkumbuka baba wa taifa mwl. J.k. Nyerere
act chapa mwendo ikiwezekana ccm iondoke mwaka huuhuu

act ni genge la wasaliti kuanzia mfalme wenu hadi wanachama wa chini.eti mnatuletea unyerere yaani mmeona watanzania wajinga sana.nchi yetu ilipofikia haihitaji huo ujamaa aliokuwa anasema mwlm nyerere.
 
Pole kwa mawazo yako japo hiyo ni propaganda ndogo sana
 
Hapo kuhusu elimu umepiga penyewe. Mwenye ufahamu atakuelewa. Hili jambo ndilo lililo chelewesha sana maendeleo ya Kigoma mpaka wakalalama kuwa wao wanaonekana kama sio Watanzania bali watu wa Burundi, kumbe sababu ni wao wenyewe.

Jiheshim,
 
Kila mtu anakushangaa wewe mleta mada kwani ACT si chama? .Vyama vyote vilianza vikiwa vichanga vikakua. Kwa taarifa yako niko maeneo ya Musoma na Tarime kikazi ACT kinapokea wanachama kwa kasi ya ajabu na walio wengi wanalipia kadi zao kwa miaka 10. sijawahi ona chama kinachokwenda kwa spidi ya namna hii labda TANU ya Uhuru. Ama kweli wananchi wamemkumbuka Baba wa Taifa mwl. J.K. Nyerere
ACT CHAPA MWENDO IKIWEZEKANA CCM IONDOKE MWAKA HUUHUU

Mmebadili hata katiba ili kumpa mfalme wenu hiyo nafasi ninyi mazuzu kweli mlikosea masharti wakati mnasajili sasa mfalme kaja ndo katoa maelekezo hadi bendera wahuni tu ninyi.
 
Kila mtu anakushangaa wewe mleta mada kwani ACT si chama? .Vyama vyote vilianza vikiwa vichanga vikakua. Kwa taarifa yako niko maeneo ya Musoma na Tarime kikazi ACT kinapokea wanachama kwa kasi ya ajabu na walio wengi wanalipia kadi zao kwa miaka 10. sijawahi ona chama kinachokwenda kwa spidi ya namna hii labda TANU ya Uhuru. Ama kweli wananchi wamemkumbuka Baba wa Taifa mwl. J.K. Nyerere
ACT CHAPA MWENDO IKIWEZEKANA CCM IONDOKE MWAKA HUUHUU

Kwanza hili genge limekaa kiudini sana,mfalme wenu toka aanza harakati za kuanzisha chama ndani ya chama mwaka jana kaja kgm kueneza udini na kuwalagai mashehe wote wa mjini kgm kwa kuwapeleka maka kama fadhila ili wamkumbuke mwaka huu kwenye uchaguzi agombee kgm mjini,nayasema haya yanaukweli mm nipo kgm na mimi nilikuwa nashiriki kwenda airport kuwapokea mahujaji wakati wanarudi toka kuhiji,kazi iliyopo kgm kwasasa ni vijana wa kiislamu kuombwa kupiga kampeni na propaganda dhidi ya chadema.ili mfalme wao apite kiulahisi.
 
Jirekebishe jamaa yangu
Hujui usemalo, nyamaza milele. kama huelewi usije na hoja kuwa kitu hiki ni kibaya kisa huelewi, nyamaza, hujui kwa nini niliandika vile. waliosoma na kuelewa hajauliza upuuzi kama wako huu
 
Kila mtu anakushangaa wewe mleta mada kwani ACT si chama? .Vyama vyote vilianza vikiwa vichanga vikakua. Kwa taarifa yako niko maeneo ya Musoma na Tarime kikazi ACT kinapokea wanachama kwa kasi ya ajabu na walio wengi wanalipia kadi zao kwa miaka 10. sijawahi ona chama kinachokwenda kwa spidi ya namna hii labda TANU ya Uhuru. Ama kweli wananchi wamemkumbuka Baba wa Taifa mwl. J.K. Nyerere
ACT CHAPA MWENDO IKIWEZEKANA CCM IONDOKE MWAKA HUUHUU

Mmeingizwa choo cha kike subiri uonemwenendo wa mfalme baada ya miaka mitano mtaanza kukwaruzana wenyewe hapo ndo mtajua alikuwa anawauza au la.
 
Wale wote wanaotoa maoni kwa kudhihaki watu wa Kigoma mkome kabisa. Hivi mnajua upinzani wa kweli uko Kigoma? Hivi leo ni mkoa gani wenye wabunge wengi wa upinzani kama siyo Kigoma?
Usaliti wa ZZK na wasaliti wengine toka Kigoma msiutumie kuhukumu watu wote wa Kigoma.
Acheni propaganda za kijinga
 
Back
Top Bottom