Ndiho
JF-Expert Member
- Feb 23, 2013
- 2,306
- 1,535
Zitto ni zaidi ya waha wote
Acha ujinga na dharau, kama unamwona mali nenda akuoe!!!!!
Zitto ni zaidi ya waha wote
Kweli si ndondocha hata kidogo, maana ndondocha huwa ni mtu mwenye akili safi hapo awali ambaye ameathiriwa na uchawi na hivyo akili yake kuwa zezeta. KIGOMA wao sio ndondocha ila ni taahira, yaani watu ambao wamezaliwa na ubongo mbovu kwa mapenzi ya mungu sio wachawi. Asanteni
kigoma ndio mkoa wa kwanza kupeleka mbunge wa upinzani bungeni wakati wa uchaguzi mdogo mwaka 1994(baada ya mbano kufariki)
leo unawaita watu wa kigoma kuwa wanapinga kuondoa dhuluma??
dhuluma ipi unayoizungumzia??
zzk ameshaondoka cdm kama mlivyotaka kwa maslahi ya mwenyekiti.
sasa mbna povu linawatoka???
kama ni mpango wa Mungu zzk atang'ara na kama co atakuwa kama mrema
me nadhani umefika wakati mfanye kazi muache majungu
zzk is gone!!
Wanakigoma ni wakabila sana na wanasiasa za ukabila ,hawafuati sera wanafuata mtu alikuwepo Dr Kaboul naye walimoenda akawatema ,sasa huyu ndumilakuili Mungu atusaidie amtoe kwenye siasa hili tupate ukombozi tulio wanyonge.
Natafuta kiwanja Kilimanjaro naweza pata?Wanakigoma ni wakabila sana na wanasiasa za ukabila ,hawafuati sera wanafuata mtu alikuwepo Dr Kaboul naye walimoenda akawatema ,sasa huyu ndumilakuili Mungu atusaidie amtoe kwenye siasa hili tupate ukombozi tulio wanyonge.
Huo ni umasikini wa fikra kuamini kuwa kuna mwanasiasa atakutoa kwenye unyonge ulionao, fanya kazi kwa bidii acha kushabikia siasa kwa kufuata upepo bila kuwa critical.
Hao CHADEMA unaowashabikia so far wamesaidia nini katika kuboresha maisha yako? Bunge litakapo vunjwa wabunge watavuna kiinua mgongo zaidi ya milioni 40, wewe na familia yako mtavuna nini?
wakati zzk anakipeleka chama mahakamani mlisema atoke na aanzishe cha kwake sasa kaanzisha mnaanza kuwashwa makalio, kwa akili zenu mlitegemea zzk aungwe mkono na wachaga? mna akili ndogo sana ni lazma aungwe mkono na watu wa kwao hata chadema ndivyo ilivyo kwahiyo ondoeni matapishi yenu hapa.Na bado itawauma sana.
bavicha poleni sana naona mnameza dawa taratibu lakini sioni mkipata nafuu
Sio kweli kwamba watu wa Kigoma wote wana akili hizo za kukaririshwa na akina Kasisiko na Zitto.Wengi wanajitambua na ndio maana wengi bado wapo chadema nikiwa mmoja wao
Baada ya kusambarika kwa chama cha Nccr Mageuzi,baada ya kufa chama UDP kwa siasa za ukabila na ukanda.Baada kukijenga chama chao chadema kwa muda mtefu na baada ya kujua kuwa,Ccm imemhonga Zitto na kumtumia kwa staili ya aina yake,haikuwa shida kwa Viongozi wakuu wa chama na serikali walipotangaza kuwa Chadema itasambaratika ndani ya 2014.
Mpango uliosukwa wa kuwapa fedha wanachama wa chadema( baadhi kuasi,kuvuruga chama,wakaanzisha Act kisiri.
Ndio maana Mh.Wassira,Mh.Waziri Mwigullu Nchemba,na Nnape Nnauye nae alisimama Singida kwa Tundu Lissu,Tandahimba,Mbozi kwa, shinyanga kwa madiwani wetu waliojitoa kuwa Chadema itakufa karibuni. Tuwakumbushe tu kuwa " watu wajinga hufanya mambo kuwafurahisha watu,bali wenye hekima hutenda mambo wayatakayo wenyewe"
Wanaohadaika/ watakaohadaika na zitto itakuwa biashara kichaa,Muda wa kujisimamia umefika,watanzania tusimame upande wetu!!!
WANASHANGAZA SANA HAWA JAMAA,LAKINI NENO LITATIMIA.kuwa act ipo kigoma tuKila mtu atawashangaa watu wa Kigoma akisikia kuwa watu wa Kigoma wamejiunga kwa wingi na chama kipya cha siasa cha ACT. Ingawa kila mtu anayo haki ya kujiunga na chama chochote cha siasa katika mfumo wa vyama vingi lakini haki hiyo lazime iwe na uhalisia ndani yake. Zitto alipata umaarufu kupitia chadema chama ambacho sasa kimekuwa hadi kufikia kuwa chama kikuu cha upinzani nchini ambacho kinaogopwa sana na chama cha CCM pamoja na watu wengine ambao wanadhani kuwa kama CCM kitashindwa na maslahi yao nayo yatakuwa yako hatarini.
Chadema pamoja na Zitto ndani ya chadema na mikakati yao walikuwa wanakaribia sana kulishika makalio dume la nyati. Juhudi hizi za kulipapasa dume makalio zinadhoofishwa na akina Zitto na washirika wake kwa kuanzisha tuhuma nzito kwamba chama ambacho alijiunga nacho akiwa na umri wa miaka 16 tu eti hakina demokrasia. Hii sio kweli hizo ni juhudi mahususi za kulikwepesha dume na aibu ya kushikwa makalio yake kirahisi japo kwa kuondoa angalau hata kura 100 tu kutoka kwa wapinzani.
Wananchi wa Kigoma kujiunga na chama kinda cha ACT kwa kumfuata Zitto watakuwa wanaingia kwenye historia ya watanzania waliopinga na kuchelewesha kuondoa dhuluma nchini sawa na akina Zuberi Mtemviu enzi za TANU na Nyerere. Zitto anatumia ukabila (U-Kigoma) na uelewa mdogo wa wananchi katika kufanya biashara ya kuchelewesha kuing'oa CCM madarakani.
Hakuna mtu mwenye akili lazini ambaye ataamini kuwa Zitto amefanya yale aliyoyafanya ya kudai uongozi ndani ya chadema kwa njia za pembeni na kukipeleka chama mahakamani kwasababu ndani ya chadema hakukuwa na demokrasia ya kutosha, hii sio bahati mbaya tu, bali kuna jambo.
Kigoma kuweni macho na wanasiasa hawa wanaowarudisha nyuma juhudi zenu za kutafuta nafuu za kisiasa kwa kuanzisha vyama vipya vitakavyowachelewesha kuwafikisha nchi ya ahadi. Kataeni kuwa ma-ndondocha. Binafsi ninawasikitikia wananchi watakaonaswa na mtego wa kitoto kama huu kwa kujiunga na ACT.
kavulata mbona unatumia nguvu nyingi kukitolea maelezo kwa kurudia rudia(redundany) kitu umechokitoa.....upotevu wa muda huu....napata wasi wasi kuwa hujiamini,umetumwa tena kwa kuhongwa pesa ya pipi,we ni mferej wa kupitishia hoja yoyote hata kama ya kipuuzi.
Kweli si ndondocha hata kidogo, maana ndondocha huwa ni mtu mwenye akili safi hapo awali ambaye ameathiriwa na uchawi na hivyo akili yake kuwa zezeta. KIGOMA wao sio ndondocha ila ni taahira, yaani watu ambao wamezaliwa na ubongo mbovu kwa mapenzi ya mungu sio wachawi. Asanteni
Nashukuru kwa busara yako ingawa nilitumia maneno makali kiasi....ila mkuu kavulata tambua kuwa watanzania walio wengi hawana uelewa ulio nao wewe kitu amabacho kinaenda kutokea kigoma hata sehemu nyingine kingetokea nionavyo mimi.....me nachofikiria mkuu vijana mwenye uelewa kama wewe mngetuelimisha ambao hatuna uelewa ili kuhakikisha bila kupigia debe chama chochote tuhakikishe bungeni uwakilishi ubalance hilo likifanikiwa mkuu hakuna mswada mbovu,Bacheti ya kimagumashi itakayopita bungeni kama itakuwa haina maslahi ya umma.Mimi chakula ninacho niko vizuri kiasi mkuu, nina exposure kubwa kuhusu uchumi, siasa, demokrasia na maendeleo. Nafahamu sehemu yenye harufu ya rushwa na usaliti. Nafahamu kuwa maslahi na maendeleo yangu hayatawezekana kamwe bila ya kuwepo kwa chama kingine kinacholingana na CCM, hata ulaya na Marekani wanalifahamu hilo ispokuwa wewe tu ama kwa bahati mbaya au kwa makusudi. Siichukii CCM hata kidogo kwakuwa nina historia nayo ndefu na nzuri ila nafahamu pia pia uzuri wa kuwepo chama mbadala chenye nguvu nchini. Mimi sikuhongwa na mtu kaka unanihukumu bure, hata wewe najua ni kwaajili ya kazi na maslahi tu lakini kuna mambo unayafahamu kuwa hayaindi vizuri nchini ambayo ni hatari kwa taifa.
Wewe ni msomi unafahamu kuwa kama Professor darasani analirudiarudia jambo ujue kuwa hilo jambo ni muhimu sana (take home)
Kila mtu atawashangaa watu wa Kigoma akisikia kuwa watu wa Kigoma wamejiunga kwa wingi na chama kipya cha siasa cha ACT. Ingawa kila mtu anayo haki ya kujiunga na chama chochote cha siasa katika mfumo wa vyama vingi lakini haki hiyo lazime iwe na uhalisia ndani yake. Zitto alipata umaarufu kupitia chadema chama ambacho sasa kimekuwa hadi kufikia kuwa chama kikuu cha upinzani nchini ambacho kinaogopwa sana na chama cha CCM pamoja na watu wengine ambao wanadhani kuwa kama CCM kitashindwa na maslahi yao nayo yatakuwa yako hatarini.
Chadema pamoja na Zitto ndani ya chadema na mikakati yao walikuwa wanakaribia sana kulishika makalio dume la nyati. Juhudi hizi za kulipapasa dume makalio zinadhoofishwa na akina Zitto na washirika wake kwa kuanzisha tuhuma nzito kwamba chama ambacho alijiunga nacho akiwa na umri wa miaka 16 tu eti hakina demokrasia. Hii sio kweli hizo ni juhudi mahususi za kulikwepesha dume na aibu ya kushikwa makalio yake kirahisi japo kwa kuondoa angalau hata kura 100 tu kutoka kwa wapinzani.
Wananchi wa Kigoma kujiunga na chama kinda cha ACT kwa kumfuata Zitto watakuwa wanaingia kwenye historia ya watanzania waliopinga na kuchelewesha kuondoa dhuluma nchini sawa na akina Zuberi Mtemviu enzi za TANU na Nyerere. Zitto anatumia ukabila (U-Kigoma) na uelewa mdogo wa wananchi katika kufanya biashara ya kuchelewesha kuing'oa CCM madarakani.
Hakuna mtu mwenye akili lazini ambaye ataamini kuwa Zitto amefanya yale aliyoyafanya ya kudai uongozi ndani ya chadema kwa njia za pembeni na kukipeleka chama mahakamani kwasababu ndani ya chadema hakukuwa na demokrasia ya kutosha, hii sio bahati mbaya tu, bali kuna jambo.
Kigoma kuweni macho na wanasiasa hawa wanaowarudisha nyuma juhudi zenu za kutafuta nafuu za kisiasa kwa kuanzisha vyama vipya vitakavyowachelewesha kuwafikisha nchi ya ahadi. Kataeni kuwa ma-ndondocha. Binafsi ninawasikitikia wananchi watakaonaswa na mtego wa kitoto kama huu kwa kujiunga na ACT.
bavicha poleni sana naona mnameza dawa taratibu lakini sioni mkipata nafuu