Kigoma sio ndondocha

Kigoma sio ndondocha

Ulichokiandika kinadhihirisha pasipo shaka uwezo wa ubongo wako jinsi ulivyo.Si sahihi na haitakuwa hivyo hata siku moja kuchukua kosa la mtu mmoja na kuliwianisha na jamii nzima atokopo mtu huyo.Makosa ya Zitto yanawezakuwa ni yake yeye kama Zitto na si makosa ya wanakigoma wote kwa ujumla.Unavyowatukana hivyo at the same time unataka uungwaji mkono wao nini kitatokea? Jamani siasa si vita wala ubaguzi kiasi hiki,na pia tujifunze kutoa maoni yanayojenga na si kubomoa.Kumbuka katika siasa chochote kinaweza tokea wakati wowote,acheni dharau zenu.

soma tena maandiko mbalimbali harafu useme kama ni zitto pekee au wako kibao, pili ukweli wa leo unabaki kuwa ukweli wa leo japo kesho inaweza ikawa na ukweli wake pia, wajinga hata kama unataka kura haimanishi wanakoma kuwa wajinga kwa uroho wako wa kura, nyerere walimsumbua akasema watu wa kigoma, mkigoma kila mara mnamgomea nani, wako hivyo na tutasema ukweli. Sorry niseme pia mzaliwa wa kigoma na kukulia huko wakati mzee anafanyakazi najua nachosema pia
 
Kila mtu atawashangaa watu wa Kigoma akisikia kuwa watu wa Kigoma wamejiunga kwa wingi na chama kipya cha siasa cha ACT. Ingawa kila mtu anayo haki ya kujiunga na chama chochote cha siasa katika mfumo wa vyama vingi lakini haki hiyo lazime iwe na uhalisia ndani yake. Zitto alipata umaarufu kupitia chadema chama ambacho sasa kimekuwa hadi kufikia kuwa chama kikuu cha upinzani nchini ambacho kinaogopwa sana na chama cha CCM pamoja na watu wengine ambao wanadhani kuwa kama CCM kitashindwa na maslahi yao nayo yatakuwa yako hatarini.

Chadema pamoja na Zitto ndani ya chadema na mikakati yao walikuwa wanakaribia sana kulishika makalio dume la nyati. Juhudi hizi za kulipapasa dume makalio zinadhoofishwa na akina Zitto na washirika wake kwa kuanzisha tuhuma nzito kwamba chama ambacho alijiunga nacho akiwa na umri wa miaka 16 tu eti hakina demokrasia. Hii sio kweli hizo ni juhudi mahususi za kulikwepesha dume na aibu ya kushikwa makalio yake kirahisi japo kwa kuondoa angalau hata kura 100 tu kutoka kwa wapinzani.

Wananchi wa Kigoma kujiunga na chama kinda cha ACT kwa kumfuata Zitto watakuwa wanaingia kwenye historia ya watanzania waliopinga na kuchelewesha kuondoa dhuluma nchini sawa na akina Zuberi Mtemviu enzi za TANU na Nyerere. Zitto anatumia ukabila (U-Kigoma) na uelewa mdogo wa wananchi katika kufanya biashara ya kuchelewesha kuing'oa CCM madarakani.

Hakuna mtu mwenye akili lazini ambaye ataamini kuwa Zitto amefanya yale aliyoyafanya ya kudai uongozi ndani ya chadema kwa njia za pembeni na kukipeleka chama mahakamani kwasababu ndani ya chadema hakukuwa na demokrasia ya kutosha, hii sio bahati mbaya tu, bali kuna jambo.

Kigoma kuweni macho na wanasiasa hawa wanaowarudisha nyuma juhudi zenu za kutafuta nafuu za kisiasa kwa kuanzisha vyama vipya vitakavyowachelewesha kuwafikisha nchi ya ahadi. Kataeni kuwa ma-ndondocha. Binafsi ninawasikitikia wananchi watakaonaswa na mtego wa kitoto kama huu kwa kujiunga na ACT.

sisi ni ZITO tu wanakigoma chadema bai
 
Off course, ZZK is gone, he is no longer an issue in Chadema. Zitto knows exactly what is doing, getting and aiming at. The issue here is those poor people who are following his steps to ACT unknowingly and unconsciously. These people are just forgetting that they have invested a lot of their resources (money, time, energy, blood, sweat) to bring up chadema to that level it is now. From no where a single person who has been evicted from the party for personal mistakes is convincing others to follow him to a new party and leave and foregone their capital behind with Chadema. This is my great worry nothing else!. I think Zitto had only one fruitful choice to make which was to say "I am very sorry" to his group members (chadema) for what happened instead of starting a new political party at this time of the day towards the general election. I am very sure that he is going to extinct politically as the today's Tanzanians a quit different, they know what they want and what they don't.

hebu subir kidogo, zzk co muha wa kwanza kufukuzwa chadema kwa style hii. the very first opposition MP in Tanzania history alifukuzwa cdm kwa tuhuma ambazo zzk amepewa pia.
David kafulila alifukuzwa cdm kwa the same style. now is zzk
unategemea wanakigoma waendelee kukiamini chama ambacho kinaonesha ubaguzi wa dhahiri??
give the a break!!
hawa waha wote watatu n wasaliti??
acheni ubaguzi, kila mnaetofautiana mtazamo mkimuita msaliti chama kitakufa
 
Wabishi kweli, wanafuata upepo na wanamfuata mtu, eti watu wenye akili wanaweza kuandika bango hawakuchagua chama, mburula hizo walichagua mtu bila kujali sera za chama chake hao wanaakili kweli???
 
Wabishi kweli, wanafuata upepo na wanamfuata mtu, eti watu wenye akili wanaweza kuandika bango hawakuchagua chama, mburula hizo walichagua mtu bila kujali sera za chama chake hao wanaakili kweli???

hao unaowaita mburula ndio wa kwanza kupeleka mbunge wa upinzani bungeni nchi hii. na ninyi mkaiga kutoka kwao
hebu wapeni muda mtaona kazi yao!!
 
hao unaowaita mburula ndio wa kwanza kupeleka mbunge wa upinzani bungeni nchi hii. na ninyi mkaiga kutoka kwao
hebu wapeni muda mtaona kazi yao!!

Unaabudu kuwa wa kwanza, basi rais wako hawawahi kuwa wa kwanza popote isipokuwa kwenye uchaguzi
 
Asante kwa kutuona sisi ni MATAAHIRA, mungu akubariki na kukuongezea maarifa

Ona zitto alivyosema mwaka 2012, harafu unilaumi mimi: Kaluvata pia
"katika katiba ya chadema kuna misingi 12 ambayo chama kimejengwa juu yake.Iwapo wanachadema wataisimamia kwa dhati misingi hiyo badala ya kusimamia watu, kamwe hapawezi kutokea malumbano yasiyo na msingi yanayopoteza malengo ya ukombozi mpya wa mtanzania. Inasikitisha kwa sasa hivi kwenye siasa za Tanzania katika vyama vyote kumekuwa na ufuasi wa watu badala ya ufuasi wa misingi.

Watu sio mawe hugeuka, misingi inabaki misingi. Ama unafuata misingi hiyo, au unajiunga na chama kinachofuata misingi unayoitaka au unaanzisha misingi mingine katika chama kipya" (ZITTO KABWE, 12/12/2012)


Kama uliandika na kubeba bango eti tulikuchagua wewe zitto sio chama, je unafuata mtu au msingi ndani ya CHAMA??? kg hao
 
Ona zitto alivyosema mwaka 2012, harafu unilaumi mimi: Kaluvata pia
"katika katiba ya chadema kuna misingi 12 ambayo chama kimejengwa juu yake.Iwapo wanachadema wataisimamia kwa dhati misingi hiyo badala ya kusimamia watu, kamwe hapawezi kutokea malumbano yasiyo na msingi yanayopoteza malengo ya ukombozi mpya wa mtanzania. Inasikitisha kwa sasa hivi kwenye siasa za Tanzania katika vyama vyote kumekuwa na ufuasi wa watu badala ya ufuasi wa misingi.

Watu sio mawe hugeuka, misingi inabaki misingi. Ama unafuata misingi hiyo, au unajiunga na chama kinachofuata misingi unayoitaka au unaanzisha misingi mingine katika chama kipya" (ZITTO KABWE, 12/12/2012)


Kama uliandika na kubeba bango eti tulikuchagua wewe zitto sio chama, je unafuata mtu au msingi ndani ya CHAMA??? kg hao

Zitto sio mjinga, Sio kama Zitto hajui kwamba umoja ni nguvu na nguvu ni umoja, bali ana kila dalili za kutumiwa vibaya kudhoofisha nguvu za upinzani nchini, na inawezekana anaifanya kazi hiyo kwa bei na faida kubwa sana. Inasemekana ACT imeazimwa (bosheni) wanachama kutoka vyama vingine kwanza ili ionekane kina wafuasi pia. Ila hali ilipofikia sasa sio kama ile ya miaka ya 1995, 2000, 2005 na 2010, wapiga kura wa leo 2015 ni vijana wasiodanganyika kirahisi wakisaidiwa na elimu yao ya shule za kata zilizosambaa kila kona nchini. Wazee wanaendelea kwisha na kubaki bongo fleva tu ambao wanataka mabadiliko, Zitto anweza kubaki na hela lakini sio umaarufu wa kisiasa tena, maana 'Nguvu ya mamba (Zitto) mumaji (chadema)'
 
Inaonesha ni rahisi sana kuwafinyangafinyanga wana kigoma ukiwa umepata elimu kidogo. Yaani wapo km bendera

Acha akili finyu ya kutoona beyond the horizon.

Kigoma kuna wabunge 4 wa NCCR, 3 wa CCM na huyo mmoja aliyeutema wa chadema.

Nionyeshe influence ya Zitto hapo kwa wana Kigoma, au ulimaanisha wanajimbo wake.
 
Kila mtu atawashangaa watu wa Kigoma akisikia kuwa watu wa Kigoma wamejiunga kwa wingi na chama kipya cha siasa cha ACT. Ingawa kila mtu anayo haki ya kujiunga na chama chochote cha siasa katika mfumo wa vyama vingi lakini haki hiyo lazime iwe na uhalisia ndani yake. Zitto alipata umaarufu kupitia chadema chama ambacho sasa kimekuwa hadi kufikia kuwa chama kikuu cha upinzani nchini ambacho kinaogopwa sana na chama cha CCM pamoja na watu wengine ambao wanadhani kuwa kama CCM kitashindwa na maslahi yao nayo yatakuwa yako hatarini.

Chadema pamoja na Zitto ndani ya chadema na mikakati yao walikuwa wanakaribia sana kulishika makalio dume la nyati. Juhudi hizi za kulipapasa dume makalio zinadhoofishwa na akina Zitto na washirika wake kwa kuanzisha tuhuma nzito kwamba chama ambacho alijiunga nacho akiwa na umri wa miaka 16 tu eti hakina demokrasia. Hii sio kweli hizo ni juhudi mahususi za kulikwepesha dume na aibu ya kushikwa makalio yake kirahisi japo kwa kuondoa angalau hata kura 100 tu kutoka kwa wapinzani.

Wananchi wa Kigoma kujiunga na chama kinda cha ACT kwa kumfuata Zitto watakuwa wanaingia kwenye historia ya watanzania waliopinga na kuchelewesha kuondoa dhuluma nchini sawa na akina Zuberi Mtemviu enzi za TANU na Nyerere. Zitto anatumia ukabila (U-Kigoma) na uelewa mdogo wa wananchi katika kufanya biashara ya kuchelewesha kuing'oa CCM madarakani.

Hakuna mtu mwenye akili lazini ambaye ataamini kuwa Zitto amefanya yale aliyoyafanya ya kudai uongozi ndani ya chadema kwa njia za pembeni na kukipeleka chama mahakamani kwasababu ndani ya chadema hakukuwa na demokrasia ya kutosha, hii sio bahati mbaya tu, bali kuna jambo.

Kigoma kuweni macho na wanasiasa hawa wanaowarudisha nyuma juhudi zenu za kutafuta nafuu za kisiasa kwa kuanzisha vyama vipya vitakavyowachelewesha kuwafikisha nchi ya ahadi. Kataeni kuwa ma-ndondocha. Binafsi ninawasikitikia wananchi watakaonaswa na mtego wa kitoto kama huu kwa kujiunga na ACT.

Fikra fikirifu za kijuha
 
Wabishi kweli, wanafuata upepo na wanamfuata mtu, eti watu wenye akili wanaweza kuandika bango hawakuchagua chama, mburula hizo walichagua mtu bila kujali sera za chama chake hao wanaakili kweli???

Kwanza MFalme Ayatollah wa Act aligombea na Nani?. Eti democlasia.
 
Kigoma tulihipokea ACT kwa mikono miwili, maana ndio Chama cha ukombizi dhidi ya wafanyabiashara ( Mbowe... ) malaya ( Slaa ), udini ( Lissu ), ukabila ( Mtei ), ukanda ( Lema ). Hiki ndicho chama chenye demokrasia ya kweli. Zitto ooooooo!!!
 
Acha ujinga na dharau, kama unamwona mali nenda akuoe!!!!!

Ndio Rais wa mkoa wa kigoma. Km unabisha kutana na Muha yeyote barabarani muulize habari za ZZK atakwambia ndio wanamtegemea.
 
hebu subir kidogo, zzk co muha wa kwanza kufukuzwa chadema kwa style hii. the very first opposition MP in Tanzania history alifukuzwa cdm kwa tuhuma ambazo zzk amepewa pia.
David kafulila alifukuzwa cdm kwa the same style. now is zzk
unategemea wanakigoma waendelee kukiamini chama ambacho kinaonesha ubaguzi wa dhahiri??
give the a break!!
hawa waha wote watatu n wasaliti??
acheni ubaguzi, kila mnaetofautiana mtazamo mkimuita msaliti chama kitakufa

Sasa ndo mjue kgm ninyi ni watu wamageuzi lakini hamna misimamo,wepesi kurubuniwa,sasa mmeona njia rshisi ni kuanzisha genge la waha ACT na nawambieni wote mnaofuata upepo itakula kwenu tu hakiendi popote hicho kikundi cha waha wajinga ambacho kimekaa kidini zaidi mfalme wenu mwaka jana kaanza kueneza udini chinichini na kuwapeleka washehe maka then akatangaza nakuja kugombea mjini kgm na chama kipya cha waha,hongera CDM kwa kumgundua mapema msaliti huyu mpenda madaraka sasa afurahi amepata ufalme wa chama.
 
wewe ndo unawasemea wanakigoma??? ivi ww u.awafaham au unawaskia..... xaxa tumeshaamua kuingia ACT kutokana na ubaguz unaoendelea ndan ya CDM
 
Back
Top Bottom