Kigoma sio ndondocha

Kigoma sio ndondocha

Hujui usemalo, nyamaza milele. kama huelewi usije na hoja kuwa kitu hiki ni kibaya kisa huelewi, nyamaza, hujui kwa nini niliandika vile. waliosoma na kuelewa hajauliza upuuzi kama wako huu

f.o.o.l.
 
Wale wote wanaotoa maoni kwa kudhihaki watu wa Kigoma mkome kabisa. Hivi mnajua upinzani wa kweli uko Kigoma? Hivi leo ni mkoa gani wenye wabunge wengi wa upinzani kama siyo Kigoma?
Usaliti wa ZZK na wasaliti wengine toka Kigoma msiutumie kuhukumu watu wote wa Kigoma.
Acheni propaganda za kijinga

cc fikirikwanza
 
Last edited by a moderator:
kama wananchi wa kigoma hawajakuelewa kwa nasaha hizi nitawashangaa sana !
 
wewe ndo unawasemea wanakigoma??? ivi ww u.awafaham au unawaskia..... xaxa tumeshaamua kuingia ACT kutokana na ubaguz unaoendelea ndan ya CDM

Inawezekana maana Kigoma inapakana na Burundi, Rwanda na Zaire. Kule Zaire wakati wageni wanachimba madini na kukata mbao zao vijana wao wako bize na kucheza ndomboro na kiwazenza. Kigoma wanataka kuelekea hukohuko kwa Zaire, wakati wapinzani wanahangaika kuungana ili kuondokana na ufisadi na umaskini kgm wao Zitto anatosha tu.
 
Kila mtu anakushangaa wewe mleta mada kwani ACT si chama? .Vyama vyote vilianza vikiwa vichanga vikakua. Kwa taarifa yako niko maeneo ya Musoma na Tarime kikazi ACT kinapokea wanachama kwa kasi ya ajabu na walio wengi wanalipia kadi zao kwa miaka 10. sijawahi ona chama kinachokwenda kwa spidi ya namna hii labda TANU ya Uhuru. Ama kweli wananchi wamemkumbuka Baba wa Taifa mwl. J.K. Nyerere
ACT CHAPA MWENDO IKIWEZEKANA CCM IONDOKE MWAKA HUUHUU

Wacha utani wako hao wanachama wanaojiunga ACT ni bosheni tu, ni wanachama wa chama fulani ili kuhadaa watu wajiunge nacho lakini wakati wa uchaguzi watakipigia chama chao mama.
 
Act watafanya kampeni kwenye majimbo ya ukawa ya akina mkosamali kafulila na moses machali?na kama watafanya kampeni watatumia hoja zipi za kuwaondoa kwenye majimbo yao?
Je kina moses machali na kina kafulila je sio wana kigoma?
 
Act watafanya kampeni kwenye majimbo ya ukawa ya akina mkosamali kafulila na moses machali?na kama watafanya kampeni watatumia hoja zipi za kuwaondoa kwenye majimbo yao?
Je kina moses machali na kina kafulila je sio wana kigoma?

Si ajabu ukasikia akina mkosamali kafulila na moses machali wameenda ACT au hata kurudi CCM kabisa. Kama Warid Kabour karudi CCM wao watashindwaje? ni dau tu likiongezwa yote yanawezekana
 
Ndio Rais wa mkoa wa kigoma. Km unabisha kutana na Muha yeyote barabarani muulize habari za ZZK atakwambia ndio wanamtegemea.

Ndugu yangu usifanye kila jambo ni siasa kwa kila mtu. Zitto Kasulu hana maana na wala hakuna anayemjua, na hata yeye hana habari napo. Kibondo kadhalika. Mkoa wa Kigoma siyo mjini na jimbo la kaskazini.Watu wanajifanya kuujua mkoa kwa kuwa tu wamefika na pengine kuishi Kigoma mjini.Mgawanyo wa mkoa wetu tunaujua wenyewe. Zito mnamtukuza na kumpa thamani ninyi wasio waha. Mtapiga kelele sana,mtatudharau sana, mtatukejeli sana, lakini mkoa utaendelea kuwa chachu ya Demokrasia Tanzania, negatively or positively.
 
Wanakigoma huwa asili yetu hatuangalii chama bali mtu binafsi mwenye uwezo wakutuletea maendeleo.Kuhusu hiyo chadema yako wala hatuamini kabisa kama itakuwa ni muarobaini wa matizo yanayotukabili coz tunaona madudu wanayoyafanya haliyakuwa bado hawajashika dola.Tatizo hiki chama kinaendeshwa kama Saccoss ya watu wachache(Mbowe,Slaa na Mtei) wanaopiga dili kila kukicha.Wanakigoma huwa hatuyumbishwi kirahisi hivyo,sisi ni WABISHI SAANAA haswa kwa mambo tunayoyajua.
Kila mtu atawashangaa watu wa Kigoma akisikia kuwa watu wa Kigoma wamejiunga kwa wingi na chama kipya cha siasa cha ACT. Ingawa kila mtu anayo haki ya kujiunga na chama chochote cha siasa katika mfumo wa vyama vingi lakini haki hiyo lazime iwe na uhalisia ndani yake. Zitto alipata umaarufu kupitia chadema chama ambacho sasa kimekuwa hadi kufikia kuwa chama kikuu cha upinzani nchini ambacho kinaogopwa sana na chama cha CCM pamoja na watu wengine ambao wanadhani kuwa kama CCM kitashindwa na maslahi yao nayo yatakuwa yako hatarini.

Chadema pamoja na Zitto ndani ya chadema na mikakati yao walikuwa wanakaribia sana kulishika makalio dume la nyati. Juhudi hizi za kulipapasa dume makalio zinadhoofishwa na akina Zitto na washirika wake kwa kuanzisha tuhuma nzito kwamba chama ambacho alijiunga nacho akiwa na umri wa miaka 16 tu eti hakina demokrasia. Hii sio kweli hizo ni juhudi mahususi za kulikwepesha dume na aibu ya kushikwa makalio yake kirahisi japo kwa kuondoa angalau hata kura 100 tu kutoka kwa wapinzani.

Wananchi wa Kigoma kujiunga na chama kinda cha ACT kwa kumfuata Zitto watakuwa wanaingia kwenye historia ya watanzania waliopinga na kuchelewesha kuondoa dhuluma nchini sawa na akina Zuberi Mtemviu enzi za TANU na Nyerere. Zitto anatumia ukabila (U-Kigoma) na uelewa mdogo wa wananchi katika kufanya biashara ya kuchelewesha kuing'oa CCM madarakani.

Hakuna mtu mwenye akili lazini ambaye ataamini kuwa Zitto amefanya yale aliyoyafanya ya kudai uongozi ndani ya chadema kwa njia za pembeni na kukipeleka chama mahakamani kwasababu ndani ya chadema hakukuwa na demokrasia ya kutosha, hii sio bahati mbaya tu, bali kuna jambo.

Kigoma kuweni macho na wanasiasa hawa wanaowarudisha nyuma juhudi zenu za kutafuta nafuu za kisiasa kwa kuanzisha vyama vipya vitakavyowachelewesha kuwafikisha nchi ya ahadi. Kataeni kuwa ma-ndondocha. Binafsi ninawasikitikia wananchi watakaonaswa na mtego wa kitoto kama huu kwa kujiunga na ACT.
 
Si ajabu ukasikia akina mkosamali kafulila na moses machali wameenda ACT au hata kurudi CCM kabisa. Kama Warid Kabour karudi CCM wao watashindwaje? ni dau tu likiongezwa yote yanawezekana

Kigoma ni ukawa damu
 
Wadau amini usiamini ukawa ina nguvu kigoma kuliko act,ukitaka kugundua hilo fanya utafiti mwenyewe na utapata jibu zuri
Watu wengi wanazungumza ukawa bila kufanya tafiti wanashindwa kutambua kuwa ukawa ni muunganiko wa vyama vinne vyenye nguvu kigoma kuliko mkoa mwingine wowote ule ndani ya tanzania
 
Subirini october ndo mtaamini vizuri kuwa Kigoma ni mwisho wareli.Watu hatuangalii chama wala ukawa.
Wadau amini usiamini ukawa ina nguvu kigoma kuliko act,ukitaka kugundua hilo fanya utafiti mwenyewe na utapata jibu zuri
Watu wengi wanazungumza ukawa bila kufanya tafiti wanashindwa kutambua kuwa ukawa ni muunganiko wa vyama vinne vyenye nguvu kigoma kuliko mkoa mwingine wowote ule ndani ya tanzania
 
Subirini october ndo mtaamini vizuri kuwa Kigoma ni mwisho wareli.Watu hatuangalii chama wala ukawa.

Bombay unataka kuniaminisha kuwa.act watapata wagombea wazuri na machachari kuliko vijana wa ukawa?
Kafulila ukawa
Mosesi.machali ukawa
Mkosamali ukawA
 
Me mwenyewe sijawahi kuwaamini wachaga kwani niwazurumatii balaa, wakiona pesa wapo tayar kukutoa roho, je wakiingia ikulu c ndo wananchi watakula nyasiii

Unataka kutuambia chenge, tibaijuka, ngeleja,askofu kilaini ,kinana mzee wa tembo lazaro nyalandu na ma ccm wote wachaga?
 
Kila mtu atawashangaa watu wa Kigoma akisikia kuwa watu wa Kigoma wamejiunga kwa wingi na chama kipya cha siasa cha ACT. Ingawa kila mtu anayo haki ya kujiunga na chama chochote cha siasa katika mfumo wa vyama vingi lakini haki hiyo lazime iwe na uhalisia ndani yake. Zitto alipata umaarufu kupitia chadema chama ambacho sasa kimekuwa hadi kufikia kuwa chama kikuu cha upinzani nchini ambacho kinaogopwa sana na chama cha CCM pamoja na watu wengine ambao wanadhani kuwa kama CCM kitashindwa na maslahi yao nayo yatakuwa yako hatarini.

Chadema pamoja na Zitto ndani ya chadema na mikakati yao walikuwa wanakaribia sana kulishika makalio dume la nyati. Juhudi hizi za kulipapasa dume makalio zinadhoofishwa na akina Zitto na washirika wake kwa kuanzisha tuhuma nzito kwamba chama ambacho alijiunga nacho akiwa na umri wa miaka 16 tu eti hakina demokrasia. Hii sio kweli hizo ni juhudi mahususi za kulikwepesha dume na aibu ya kushikwa makalio yake kirahisi japo kwa kuondoa angalau hata kura 100 tu kutoka kwa wapinzani.

Wananchi wa Kigoma kujiunga na chama kinda cha ACT kwa kumfuata Zitto watakuwa wanaingia kwenye historia ya watanzania waliopinga na kuchelewesha kuondoa dhuluma nchini sawa na akina Zuberi Mtemviu enzi za TANU na Nyerere. Zitto anatumia ukabila (U-Kigoma) na uelewa mdogo wa wananchi katika kufanya biashara ya kuchelewesha kuing'oa CCM madarakani.

Hakuna mtu mwenye akili lazini ambaye ataamini kuwa Zitto amefanya yale aliyoyafanya ya kudai uongozi ndani ya chadema kwa njia za pembeni na kukipeleka chama mahakamani kwasababu ndani ya chadema hakukuwa na demokrasia ya kutosha, hii sio bahati mbaya tu, bali kuna jambo.

Kigoma kuweni macho na wanasiasa hawa wanaowarudisha nyuma juhudi zenu za kutafuta nafuu za kisiasa kwa kuanzisha vyama vipya vitakavyowachelewesha kuwafikisha nchi ya ahadi. Kataeni kuwa ma-ndondocha. Binafsi ninawasikitikia wananchi watakaonaswa na mtego wa kitoto kama huu kwa kujiunga na ACT.

Yaani Uzi huu umekaa ki-propaganda ki-propagamda sana.

Unaanza kwa kutoa sifa kumbe unapiga propaganda na kuwalamba visogo wanakigoma juu ya misimamo na maamuzi yao smart ya kisiasa na hasa linapokuja swala la kuchagua viongozi wao na kwa hakika awa jamaa ni mfano wa kuigwa.

Sipati picha kama huu uwendawazimu unaojaribu kuupanda hapa kwa wanakigoma ungefanikiwa pale mwaka 2010 leo kigoma sijui ingekuwa wapi? Wabunge kama David kafulila, Felix mkosamali na wengineo sidhani kama leo hii tungewaona bungeni.

Nashukuru tu
Kwa bahati nzuri sana wanakigoma wanajielewa na hili jaribio lako litashindwa kama yalivyoshindwa yale mengine.

Hakuna asiejua namna ambavyo wanainchi wa kigoma wanavyokua makini katika kuchagua viongozi wao na principle kubwa inayowaongoza ni ile ile ya "mtu kwanza vyama vya siasa baadae".

Unatuletea habari za itikadi za vyama hapa kama ndio msingi wa upigaji wa kura, period! Nani tanzania analifanya hilo? Na kwa vyama gani? hivi vinavyoganyaga katiba na taratibu zake vyenyewe!? Kamanda Tafadhali eeeh waheshimu watu wa kigoma. This is a war.
 
Ukiwa na uwezo mdogo wa kufikiri, unaweza kusema lolote linalokuja kinywani mwako bila kulitafakari kwanza. Haya tuanzie kwenye familia yenu kuna wasomi wangapi?
 
utafiti unaonyesha kuwa mkoa wa kigoma bado ni mali ya ukawa
katika majimbo ya mkoa wa kigoma mpaka tunaenda mitamboni ukawa inashilikilia majimbo manne kwa hiyo chama chochote kitakachotaka kubomoa nguvu ya ukawa mkoani kigoma kitatumia rasilimali nyingi sana au kutumia ushawishi wa kuwashawishi baadhi ya wana ukawa kujiunga na act je itawezekana?

mkoa wa kigoma, chadema hawana tena chao...matokeo mtayapata kwenye uchaguzi.
 
Back
Top Bottom