sayoo
JF-Expert Member
- Nov 19, 2014
- 5,271
- 7,873
Duuuh shikamoo dadaTulipishana niliposoma mm nazani wewe ndio ulikuwa mimba I mean hukuzaliwa bAdo
Duuuh shikamoo dadaTulipishana niliposoma mm nazani wewe ndio ulikuwa mimba I mean hukuzaliwa bAdo
Marhaba mdogo wanguDuuuh shikamoo dada
Mimi shirika mnarani /Lake TANGANYIKA StadiumHey guys mko poa nyie......
Naanzisha uzi huu kwa ajili ya watu wa Kigoma pekeee. Kama unaishi kigoma au kwenu Kigoma lakini ukatoka basi tukutane hapaaaa!!!!!!
Kwa nia njema kabisa taja maeneo unayotokea mambo yawe mukidee haijalishi ni Kigoma mjini, Kasulu, Kibondo au Kigoma Vijijini.
Mimi nianze, Napatikana juu ya stendi ya mkoa wa Kigoma al maarufu Masanga but now sipo Kg nipo kwenye mihangaiko ya maisha.
Ujiji na maweni zilikua sehemu zangu hizoMimi nimetembea sana maeneo ya.
Kagunga
Kiziba
Mwamgongo
Mtanga
Mwandiga
Bulombora
Muyobozi
Kaseke
Ujiji
Maweni
Nazatet
Mlole na sehemu nyingi sana ila majina nimesahau.
Kasudeco, FM, Rose matakoKasudeco ulipaonaje?