Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,567
2001 ww je?
2001 ww je?
Karibu na ruhwanya,Mzee Genge,Mwalim ndahoze cyoMimi majengo maeneo ya maktano nyumba ya kulala wagen,ndo mitaa yangu enzi hizo
Ww nakujua unanijua ila hapa si mahali pa kufamianaMimi majengo maeneo ya maktano nyumba ya kulala wagen,ndo mitaa yangu enzi hizo
InawezekanaWw nakujua unanijua ila hapa si mahali pa kufamiana
Kuna mtu anatafutwa hapaHey guys mko poa nyie......
Naanzisha uzi huu kwa ajili ya watu wa Kigoma pekeee. Kama unaishi kigoma au kwenu Kigoma lakini ukatoka basi tukutane hapaaaa!!!!!!
Kwa nia njema kabisa taja maeneo unayotokea mambo yawe mukidee haijalishi ni Kigoma mjini, Kasulu, Kibondo au Kigoma Vijijini.
Mimi nianze, Napatikana juu ya stendi ya mkoa wa Kigoma al maarufu Masanga but now sipo Kg nipo kwenye mihangaiko ya maisha.
Tulipishana niliposoma mm nazani wewe ndio ulikuwa mimba I mean hukuzaliwa bAdo
Ulayaze iki?!Tulimooo..
Tulayazee..