Tunakodisha Bunduki
JF-Expert Member
- Oct 16, 2016
- 822
- 1,279
Hapana Niko dar
Anha basi sawa mkuu
Hapana Niko dar
Ww utakuwa age mate si Kwa maeneo hayo magorofan Tanganyika beachEnzi hizo kujirusha ilikuwa ni kwa azim premji magorofani ,kwa wale wazee Wa wanzuki na kayoka wanakutana pale "mgatutu"
MWEMBETOGWA duh umeuwa stend ya mkoawe kama Mimi zile enzi hata ule mwembe toga haujakatwa bado
Enzi zile za mashineni kwa "bidyanguze". Pale sokoni mwanga
Shule ya msingi katubuka darasa la saba miaka ya 90's kweusiMmh! Mkuu basi tumekulia maeneo sawa kabisa.
Huko si ndo wanatokea Ali na Nasib?na mbona hawapikiki chungu kimojaKigoma niho iwachu mungu tubariki vizazi vya kigoma tusiwe na akili za mabashite
Inawezekana tulisoma pamoja hapo gungu shule ya msingi aiseeShule ya msingi gungu ndio nilisoma baadae nikahamia mlole nako sikukaa sana tukahamia dar
Kabisa, enzi za Teacher Big (Mwl mkuu) Marehemu Jonas a.k.a Savimbi.Shule ya msingi katubuka darasa la saba miaka ya 90's kweusi
Mh!ww lzm lazima tunafahamuanaKabisa, enzi za Teacher Big (Mwl mkuu) Marehemu Jonas a.k.a Savimbi.
We ulianza mwaka gn?
Are u husna mumba?We ulianza mwaka gn?
Hey guys mko poa nyie......
Naanzisha uzi huu kwa ajili ya watu wa Kigoma pekeee. Kama unaishi kigoma au kwenu Kigoma lakini ukatoka basi tukutane hapaaaa!!!!!!
Kwa nia njema kabisa taja maeneo unayotokea mambo yawe mukidee haijalishi ni Kigoma mjini, Kasulu, Kibondo au Kigoma Vijijini.
Mimi nianze, Napatikana juu ya stendi ya mkoa wa Kigoma al maarufu Masanga but now sipo Kg nipo kwenye mihangaiko ya maisha.
Ni muba sio mumbaAre u husna mumba?
PoleniKasulu Hii barabara ya mlimani kuanzia sokoni hadi njia panda ya kabanga,mbona mkandarasi anaboa?kaifunga njia na kusababisha jam ya hatari,ni wiki mbili haonekani na barabara imefungwa tu
2001 ww je?We ulianza mwaka gn?