Kigoma Great University (KGU)

Kigoma Great University (KGU)

Priority itakuwa WAHA na WAMANYEMA wengine ni nyongeza tu. Lengo ni zuri hasa kuwanyanyua wanakigoma waliosahaulika kwa miaka zaidi ya 50 sasa.
 
Wa Kigoma wako mbioni kuanzisha chuo bila kwa juhudi binafsi nina uhakika wataajiri Wahaya kama lecturers huku wakingoja serikali iwajengee!
CC: britanicca, Pasco
Geza umenikumbusha jokes za hawa jamaa!, "Nshomile ing'ambo miaka ishatu!, halafu wewe unigambire fulishi infront of my shoga wife"
Na kuna moja ya mteja mzungu, jama akavua viatu
"unavura na viratu kwani unarara hapa hapa?!.
Mzungu hajui, hili wala lile, kamaliza, kanagowa akaamua kuunganisha!, ikabidi mwenzage umuulize mwingine ambaye angalau anajua kizungu
"nina mujungu, nimugambire ke?", akajibiwa "mugambire inafu"

Dada anasema kwa sauti kubwa " mujungu inafu!, inafu", mzungu ndio kwanza akazidisha akijua ni mizuka!.
Wenzetu msikasirike hizo ni jokes tuu, hata sisi tunataniwa sana kwa ushamba!, yule dada aliyekuwa hata keki, anataka boga, hakai kwenye kochi, anakaa chini, na anamwamkia kila mtu wa kwenye tv, ni dada yetu!.
P.
 
Tayari Tuna eneo maeneo ya ujiji, tutaanza na Bsc. African Medicine, Bsc. Electronics, Bsc. Marine Engineering na BA conflicts resolution
Msisahau kuweka BSc Witch craft Science and Technology mtapata wateja wengi sana.
 
pia tuna mpango wa kuanzisha MSc. Superstitious & Aeronatics Engineering Management kwa ushirikiano na vyuo vikuu vya Nigeria.
 
Kuna mtu anaitwa Yared Fubusa amesoma kiganza shule ya msingi sekondari amesoma mwandiga na kidato cha tano na sita amesoma tabora boys huyu jamaa alipata ufadhiri kupitia watu wa marekani akaenda kusoma marekani miaka kumi na nne na sasa amerudi Tanzania tayari ni Doctor sasa pale kijijini kwao Kiganza amejenga shule pia anamiliki hifadhi ya msitu Anampango pia wa kuanzisha chuo kikuu palepale Kiganza na tayari amehodhi eneo kibwa kwa ajili ya mpango wake huo sasa Kigoma kutakuwa na university mbili?
 
iwe uchawi au juju nyinyi watu wa DAR mnaogopa nini? si ndio tunataka tufanye kitaalamu zaidi ili Badala ya DODOMA muhamie KIGOMA?
cc. Adventure Express
 
Sisi wanakigoma tunaoishi Dar, DODOMA na ughaibuni tunayo furaha kuufahamisha umma tuna mpango wa kuanzisha Chuo Kikuu mkoani kwetu ili Kutoa elimu kwa watanzania na raia wa nchi jirani. Tutazidi kutaarifiana muda wa usajili ukianza asanteni.
Toa neno Great,linasound kama utoto flan au majina ya saloon au ya wasanii,call it Kigoma University...msipelekwe pelekwe na maneno ya kizungu kuongeza swaga
 
Toa neno Great,linasound kama utoto flan au majina ya saloon au ya wasanii,call it Kigoma University...msipelekwe pelekwe na maneno ya kizungu kuongeza swaga
sioni ubaya kutumia great tena wangeweza kusema Kigoma African Great Lakes University will be more catchy
 
Jina la chuo likiwa refu linaboa ile mbayaaa,eti kisa nchi fulani wameita hivyo
Lazima mjue kwamba kuna majina ya enzi hizoooo na majina ya sasa ambapo watu wanataka majina mafupi sana
 
Back
Top Bottom