Kigoma Great University (KGU)

Kigoma Great University (KGU)

Huyo mtani wa waha akumbushwe tu makamo wa Rais muha, katibu mkuu kiongozi muha, waziri wa elimu muha, katibu mkuu fedha muha wao pia sio wanyonge wana wasomi, naunga hoja mkono mambo ya kuona kabila fulani au letu ni bora kuliko wengine yalishapitwa na wakati muda mrefu vipi wenye kabila la Baba wa Taifa nao waseme nini sasa
Mullah ZZQ awe Chancellor muanzilishi (Founding Chancellor).
 
Naona mmeiba wazo la WAHAYA kujenga BUKOBA UNIVERSITY OF TECHNOLOGY jiving Bukoba, Lakini hamtuwezi hate kidogo WAHAYA sisi in next level.
Wahaya tangu mvumbue kuyeyusha chuma karne ya 11 ndio ilikuwa mwisho wenu
Sijui mlikwama wapi maana mlivumbua halafu wazungu baada ya miaka 1200 ndio wakaja gundua au nasema uongo
 
Back
Top Bottom