Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 7,682
- 9,522
Cha kushangaza maprofesa 90% wa hicho Chuo utakuta ni wahaya. Poor Kigomans.
Tofauti na Muziki? au kuwanga!Hicho chuo kitakuwepo Kigoma sehemu gani na kitatoa kozi zipi?
Hapo ndo mtakapotuletea matatizo chungu nzima .. Warundi na Wanyarwanda !!! Ni shida!Tuna uhakika wa kukamata soko lote wanafunzi toka BURUNDI, CONGO DR, RWANDA, na jamhuri ya Afrika ya Kati.
Wangekiita University of Kigoma au Kigoma UniversityKigoma Great University?!
What a poor choice of name...........
Tayari Tuna eneo maeneo ya ujiji, tutaanza na Bsc. African Medicine, Bsc. Electronics, Bsc. Marine Engineering na BA conflicts resolution
Urakodze mwanawachu.Sisi wanakigoma tunaoishi Dar, DODOMA na ughaibuni tunayo furaha kuufahamisha umma tuna mpango wa kuanzisha Chuo Kikuu mkoani kwetu ili Kutoa elimu kwa watanzania na raia wa nchi jirani. Tutazidi kutaarifiana muda wa usajili ukianza asanteni.
Hahahahah,aiseeeMIGEBUKA UNIVERSITY, All the best wakuu
.... tutaanza na Bsc. African Medicine
Sure,hili nalikubali piaUniversity of Kigoma (UK) is better
Ni kweli. Ndio maana mkoa wenu ni miongoni mwa mikoa mitano MASIKINI ZAIDI TanzaniaNaona mmeiba wazo la WAHAYA kujenga BUKOBA UNIVERSITY OF TECHNOLOGY jiving Bukoba, Lakini hamtuwezi hate kidogo WAHAYA sisi in next level.
Naimani kwa Ujiji ni kule kwenye Plan ya EPZ maeneo ya Kagera kulee au Ndahiriwe.Tayari Tuna eneo maeneo ya ujiji, tutaanza na Bsc. African Medicine, Bsc. Electronics, Bsc. Marine Engineering na BA conflicts resolution
Hahah lingevutia Sana Mkuu.Hahahahah,aiseee
Maana ingekuwa kwa kiha wangeita jina la Mwanamwami wao,mtawala wa enzi hizo
ANNA NTARE University
tatizo lenu ni uchawi, mtasoma peke yenu. walimu wakija huko mnawalaza nje, sasa icho chuo mtapata professa gani kutoka kigoma atakayekubali kuishi huko? badilikeni tabia ndio mtajenga chuo.Sisi wanakigoma tunaoishi Dar, DODOMA na ughaibuni tunayo furaha kuufahamisha umma tuna mpango wa kuanzisha Chuo Kikuu mkoani kwetu ili Kutoa elimu kwa watanzania na raia wa nchi jirani. Tutazidi kutaarifiana muda wa usajili ukianza asanteni.