Mapema.mno wape nafasi ndo wanaandika proposal...Hicho chuo kitakuwepo Kigoma sehemu gani na kitatoa kozi zipi?
Kigoma kwa ubishi hamjambo umeshaanza ubishi wakati chuo chenyewe ni hewa hakipo kipo kwenye vichwa Kama chuo hewa kinachotarajiwa kujengwa!!!!!!!Mi ndo Mara ya kwanza nimeingia mkoa huu nipo Kasulu Jana nilifika Manyovu. Sasa kwanini chuo kisijengwe barabara ya Kigoma-Nyakanazi?
mmmmmmm acha utapeliTuna uhakika wa kukamata soko lote wanafunzi toka BURUNDI, CONGO DR, RWANDA, na jamhuri ya Afrika ya Kati.
Suremtafundisha uchawi na roho mbaya
Paundwe jopo la Maprofesa wabobezi toka Kigoma na SwangaTayari Tuna eneo maeneo ya ujiji, tutaanza na
1. Bsc. African Medicine & Witchcraft,
2. Bsc. Electronics,
3. BSc. Railway Engineering,
4. Bsc. Marine Engineering na
5. BA Conflicts Resolution,
6. BA in Opposition Politics.
Halafu?Paundwe jopo la Maprofesa wabobezi toka Kigoma na Swanga
Mkigoma mwenzetuSisi wanakigoma tunaoishi Dar, DODOMA na ughaibuni tunayo furaha kuufahamisha umma tuna mpango wa kuanzisha Chuo Kikuu mkoani kwetu ili Kutoa elimu kwa watanzania na raia wa nchi jirani. Tutazidi kutaarifiana muda wa usajili ukianza asanteni.
Juma lokole au baba levo hawaja ongea chochote kweli hao kigoma oneSisi wanakigoma tunaoishi Dar, DODOMA na ughaibuni tunayo furaha kuufahamisha umma tuna mpango wa kuanzisha Chuo Kikuu mkoani kwetu ili Kutoa elimu kwa watanzania na raia wa nchi jirani. Tutazidi kutaarifiana muda wa usajili ukianza asanteni.
International UniversityJuma lokole au baba levo hawaja ongea chochote kweli hao kigoma one
Sasa hiyo ya witchcraft itaisaidiaje jamii katika dunia ya Leo..Tayari Tuna eneo maeneo ya ujiji, tutaanza na
1. Bsc. African Medicine & Witchcraft,
2. Bsc. Electronics,
3. BSc. Railway Engineering,
4. Bsc. Marine Engineering na
5. BA Conflicts Resolution,
6. BA in Opposition Politics.
Acha ukabila uchwara. Elimu haina kabila mwanangu. Kila mtu ni next levelNaona mmeiba wazo la WAHAYA kujenga BUKOBA UNIVERSITY OF TECHNOLOGY jiving Bukoba, Lakini hamtuwezi hate kidogo WAHAYA sisi in next level.
Bsc. African Medicine & Witchcraft.hii nafasi zitakuwa chache sanaSisi wanakigoma tunaoishi Dar, DODOMA na ughaibuni tunayo furaha kuufahamisha umma tuna mpango wa kuanzisha Chuo Kikuu mkoani kwetu ili Kutoa elimu kwa watanzania na raia wa nchi jirani. Tutazidi kutaarifiana muda wa usajili ukianza asanteni.
Acha ukabila uchwara. Elimu haina kabila mwanangu. Kila mtu ni next level
Nilicheki movie moja Jana ya witchcraft mbaya mbaya Hawa wazungu haya mambo wanaigiza tuuu au ni kweli.. imenitisha sanaTayari Tuna eneo maeneo ya ujiji, tutaanza na
1. Bsc. African Medicine & Witchcraft,
2. Bsc. Electronics,
3. BSc. Railway Engineering,
4. Bsc. Marine Engineering na
5. BA Conflicts Resolution,
6. BA in Opposition Politics.
Ukiipiga hii utaheshimika ..maana wenye vi certificate tu wanatishaBsc. African Medicine & Witchcraft.hii nafasi zitakuwa chache sana
Nairobi university wanatoa hii maprofesa wanatoka TanzaniaUkiipiga hii utaheshimika ..maana wenye vi certificate tu wanatisha