Konda wa bodaboda
JF-Expert Member
- Jul 18, 2014
- 7,981
- 4,172
Wabishi university.
mlikaa lini kukubaliana?
au mawazo yako? ila wazo liko vizur
Hongereni sana!
Mrakoze
Hicho chuo kitakuwepo Kigoma sehemu gani na kitatoa kozi zipi?
very nice name. Yaani hata kama chuo kitakua kibaya ila jina litakiuza tu.University of Kigoma (UK) is better
Wewe ni mrundi?Imana ishimwe
Mulakoze chane chane
Hata kama bado
Ulicho kiuliza hakihudiani na madaWewe ni mrundi?
Umejuaje kama hakihusiani ikiwa hujui maana ya mrundi?Ulicho kiuliza hakihudiani na mada
Husika
Mrundi ndio nini!!!
he! burundi tena!Wewe ni mrundi?
Au hata Lake Tanganyika University.University of Kigoma (UK) is better
Haya bwanaUmejuaje kama hakihusiani ikiwa hujui maana ya mrundi?
Hicho chuo kitakuwepo Kigoma sehemu gani na kitatoa kozi zipi?
Naona mmeiba wazo la WAHAYA kujenga BUKOBA UNIVERSITY OF TECHNOLOGY jiving Bukoba, Lakini hamtuwezi hate kidogo WAHAYA sisi in next level.
Kigoma Great University?!
What a poor choice of name...........