Kigoma airport aibu Waha mpoooo??

Kigoma airport aibu Waha mpoooo??

2.JPG
 
sijaelewa kitu hapo,kwa nini wasiandike tu kimuha.!!!kwanu airport ya beijing kuna kisawhili ?mbona tunaenda na tunarudi.nao watakuja tu

Kwahiyo wasilalamike hiyo nikingereza chakiha hivyo hakuna makosa!
 
Hapa ndugu zangu tuache mambo ya Ukabila hebu tuangalie ukweli wa mambo yenyewe ulivyo. Hivi kweli imekaa vizuri hii? Hapa sasa tusiangalie nani kaandika awe Muha au Mhaya ama Mkwere, ukweli unabaki pale pale kwamba huu ni ujinga usio kifani! Meneja upo hapo ofisini haujaona kilichoandikwa hapo? Au wewe kazi yako ni kutolea mafyuzi tu viti vyetu vya umma?

Hebu futeni haraka hapo! Na wewe uliyeleta hii thread kwa nini hukuwaonesha hao wachovu huo utumbo wao? Yaani unadiriki kupanda ndege na kuondoka bila kuwajulisha? Mungu akusamehe!!!!!!!

Kama kuna mwana-JF wa hapo Kigoma ameiona hii thread tunampa kazi kesho asubuhi uamkie huko na uwaambie kama hawajui Kiingereza si wangetafuta mtu yeyeote anayefanya kazi kwenye mashirika ya kimataifa yaliyojazana hapo Kigoma?

Kwaherini

Hii kweli aibu sana kuishi kwangu Kigoma na kupita hapo karibia kila mwezi sijawahi kuona haya maandishi ngoja nijaribu kuwasiliana na jamaa yangu anayefanya hapo Airport ili angalie hilo suala ni aibu kubwa sana.
 
Duuh! "Abiria to", "Fine = Fain". Hicho ni Kiswanglish.
 
Opsssss! Hii kali sana. Inanikumbusha CV moja nilowahi kuisoma, ilikuwa hivi:
Saa nem: Casio
Sex: Sijafanyapo
 
nI Uwanja wa ndege Kigoma hapo. Inauma sana Tanzania.
 
Huyo ni mdanganyika halisi, ukitaka kujua kila mmoja anapenda lugha hiyo hebu fungua hiyo attachment usome application letter ya security guard
 
Simlaumu mwandishi,
Ni kweli hajui ila imemlazimu aandike lugha zote 2
Tatizo kwa wahusika ina maana hawajaona hilo Tangazo
Na wameshindwa kulifanyia kazi?
 
hahaha hahaha duh u made ma day nimecheka mpaka nimelia jaman....
Huyo ni mdanganyika halisi, ukitaka kujua kila mmoja anapenda lugha hiyo hebu fungua hiyo attachment usome application letter ya security guard
 
Hii post inachosha, this is the third time nimeiona humu janvini. Tuepuka kurudufu threads.
 
Back
Top Bottom