Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 55,030
- 59,682
Mbona acc yenyewe ishafutwa na ilikuwa verifiedAccount ya serikali ilitoa tangazo kwa makosa mengi sana.
Ndo wanahisi ndani ya serikali ndo kuna kigogo
Mbona acc yenyewe ishafutwa na ilikuwa verifiedAccount ya serikali ilitoa tangazo kwa makosa mengi sana.
Ndo wanahisi ndani ya serikali ndo kuna kigogo
Tatizo hio cyber kigogo anaijua nje ndani.
Waachane naye tu manake atawaumbua. Kwanza kaseam haogopi kufa
Serikali haipo serious kabisa.Unajua hii mitandao sio ya kuiamini hata kidogo,
Serikali haipo serious kabisa.
Kigogo si wakuwahangaisha kama wapo serious
Exactly kabisa kigogo yumo ndani ya Serikali.Serikali sio kwamba haipo serious bali tatizo linaweza kuwa adui yumo kwenye mfumo na hawamjui. Unajua ni rahisi kumjua adui wa nje kuliko adui wa ndani?
Exactly kabisa kigogo yumo ndani ya Serikali.
Tena si mmoja ni wengi
Good Profiling, Mkuu umejaribu.
Kwamba unawafundisha kazi TISS na TCRA?Pasiwe na kikao chochote kumjadili huyo kigogo kwani uwepo wa kikao ni kumualika Kigogo mwenyewe. Kuweka vikao ni kutengeza mazingira ya kumpa ushindi Kigogo na genge lake. Kisha kuwafitinisha ninyi kwa ninyi ilhali hamumjui adui yupo kona ipi
Yaani hapo ni kwa mujibu wa maandishi yake, ndio nimepata picha hiyo.
Kama wewe, unaonekana na mwanamke wa miaka 30 - 37
Umeajiriwa serikalini bila shaka sekta ya elimu
Mrefu wa futi tano
Maji ya kunde inayoenda nyeusi
Kama nimekosea kwako ndivyo nitakavyokuwa nimekosea kwa huyo Kigogo
Acha mchezo uendelee.Na hapa ndipo ulipo mtihani, maana hujui nani ni nani, yupi ni yupi.
Hata zawadi ikitolewa bado naona ugumu wa kazi
[emoji23]Anaingia kila kwenye magroup yao ya siri
Umempatia huyo, kwa kiasi kikubwa.
Acha mchezo uendelee.
Utafika mwisho tu
Kwamba unawafundisha kazi TISS na TCRA?
What if ni wao wenyewe wanacheza na akili za wengi?
Atupe dokezo la CDF basi.
Yeye mwenyewe kakataa Mkuu
Kigogo ni Jay zHiyo ni picha tuu, kama vile ukiambiwa umuelezee mtu usiyemjua kwa kusoma maandishi yake, mfano wewe naweza kukuelezea kwa jinsi ya unavyoandika