Unajua kigogo ukimjua utacheka na kubaki kinywa wazi
TAL akishashika nchi itakuwa hakuna haja ya ma fake ID maana utekwaji na upotezwaji utakuwa historia kabla hajaapishwa.
Ma CCM yametuharibia nchi na sasa yanataka kuficha hadi mashahidi, mashtaka na hata washtakiwa.
Aambiwe binti kiziwi madaraka ni kwa ridhaa ya wapiga kura vinginevyo ni ubakaji kama wa bazazi jingine lolote!