Kigogo TRA Kufukuzwa kazi

Kigogo TRA Kufukuzwa kazi

Maelekezo ya mwigulu hayo chezea mtoto wa mkulima wewe kamweleza live waziri mkuu kuwa ni lazima pesa zirudishwe na watu wapelekwe mahakamani hakuna kujiuzulu hapo.
 
Ndugu zangu napenda kuwajulisha kuwa, nimepokea simu muda huu saa 23:55 usiku huu toka kwa mwandani mmoja hapa chini kuwa Placidus Luhoga ambaye naye alimegewa mgao wake wa katika sakata la Escrow atafukuzwa kazi maramoja na Kamishna wa TRA kwa maelekezo ya Naibu waziri wa fedha Mh. Mwigulu Nchemba,mara baada ya kufukuzwa atakamatwa na Acc.zake kuzuiwa, kufilisiwa na kufikishwa mahakamani.

Aidha, nimeelezwa kuwa, Tibaijuka amekubali kuachia ngazi.

pia nimeambiwa kuwa, ni kweli zambi na werema walitaka kupigana ndani ya kikao cha mawaziri baada ya Zambi kuhoji kuwa, Tangu lini watu wa musoma wakawa wezi na ilikuwaje AG. aruhusu wizi wa fedha. za umma.

Naibu waziri wa fedha hana madaraka wala mamlaka ya kumuagiza kamisheni wa TRA amufukuze kazi Placidius Luoga let alone Waziri wa fedha, hao wote ni wateule wa RAIS.
 
Placidus John Luoga is a Lead Consultant in Luoga Tax and Financial Consultants in
Dar es Salaam.
Mr. Luoga had served as a board member of the Tanzania Audit Corporation and a board member of Mkombozi Commercial Bank.
He is now a non-executive Director of Enterprise Finance Limited.
 
Ndugu zangu napenda kuwajulisha kuwa, nimepokea simu muda huu saa 23:55 usiku huu toka kwa mwandani mmoja hapa chini kuwa Placidus Luhoga ambaye naye alimegewa mgao wake wa katika sakata la Escrow atafukuzwa kazi maramoja na Kamishna wa TRA kwa maelekezo ya Naibu waziri wa fedha Mh. Mwigulu Nchemba,mara baada ya kufukuzwa atakamatwa na Acc.zake kuzuiwa, kufilisiwa na kufikishwa mahakamani.

Aidha, nimeelezwa kuwa, Tibaijuka amekubali kuachia ngazi.

pia nimeambiwa kuwa, ni kweli zambi na werema walitaka kupigana ndani ya kikao cha mawaziri baada ya Zambi kuhoji kuwa, Tangu lini watu wa musoma wakawa wezi na ilikuwaje AG. aruhusu wizi wa fedha. za umma.

Hili ndilo tatizo la social media mtu katengeneza document kwa hulka yake binafsi kila mtu anaamini ni kweli. ..luoga alishastaafu toka 2011..anafukuzwaje kazi?
 
Luoga mna uhakika bado ni mwajiriwa wa tra...huyo ni mstaafu checking na tra wenyewe ....napita tu jamani.
Hata mimi kumbukumbu zangu zinaonyesha huyu Mwl.Si mwajiriwa wa TRA kwa takilibani mwaka mmoja uliopita.
 
Kwahiyo hii thread ndo zile za kutungwa ili kupima reaction ya watu?.
watu wanahangaika bure hapa jf.
kura ziko vijijini kule si humu jf ambako kila mtu anajua nini anataka.

Kuna watu wanakurupuka kuleta mada humu bila wao wenyewe kujiridhisha kwamba ni kweli,wakiambiwa tu wanakuja humu. Luoga alistaafu toka kama miaka 2 iliyopita na Bashe kuchukua nafasi yake kama kaimu kamishina wa TRA.

Niliposoma hata ile kaatasi ya mgao wa hela inaonyesha Luoga ni mfanyakazi wa TRA nikajua hapa kuna jambo.
 
This ESCROW disaster ni reflection ya how low serikali ya JK na Pinda imefikia, umekua mnara wa babeli, hakuna accountability wala nini, kuna shida tupu, wizi na kutukuzana mama

Imagine, Chenge, kila jambo baya yupo lakini ndio chief writer wa katiba pia.... that alone discredit efforts zote za JK regardless ana nia au dhamira gani kama kiongozi mtanzania (na JK husema anaipenda TAnzania... well how do you hurt someone you love sooooo much that the suffering becomes ni kitu cha kawaida??)

Mkuu una uhakika na hilo swali hapo kwenye red....?? Umeshapita kule ukonga ukaona mambo?

To be realistic hii inaonyesha jinsi system ya udhibiti wa fedha serikalini ilivyo imara kwani kama kungekuwa weakness kwenye mfumo wetu, kwa maana ya national audit office(CAG), PCCB, ACGEN na PMG hizo parliamentary oversight kama PAC na LAAC Wasingeweza ona chochote Hivyo ni vizuri wabunge wafanye wajibu wao bila kuingiza siasa maana imebaki kazi kwao sasa kuishauri na kuisimamia serikali kwa mujibu wa sheria si kwa mujibu wa uchamanism.
 
in a fair state ya governance, rais angekua vigumu kupona, lakini kwa nchi kama Tanzania, rais atapongezwa kwa chochote kitakachotokea kizuri au kibaya, wapo wapumbavu wanaandaa maandamano ya kumpongeza

Hivi hakuna uwezekano wa wabunge kumpigia kura ya kutokuwa na imani naye ?
 
Kama hayo yatafanyika kwa Bwana P. Luhoga, basi yafanyike pia kwa Anna Tibaijuka hasa kwa sababu amekiri lkn pia kwa wote waliohusika na mgao huo kutoka PAP kwa bwana Seith na VIP kwa yule bwana tajiriiiii wa kihaya!

Jamani lengo langu siyo kumtetea Tiba. Ila ninaomba msaada wa mawazo. Huyu mama alisema Ruge alimsaidia fedha kwa ajili ya shule anazosimamia. Sioni kosa lake. Kama amnavyo tayari imethibitika fedha ya escrow ninya umma.nadhani cha kufanya ni kumkamata Ruge na kumtask arudishe ile fedha na kuchukuliwa hatua nyingine kulingana na sheria. Sasa yeye litakuwa jukumu lake kupita kwa akina TIba, Kilaini.etc kuchukua ule mgawo. Tiba kwa nia safi alitangaza mwenyewe kupata mgawo. Hii inakaaje? Naomba msaada kutoka kwa watu wanaotumia vichwa vyao na siyo matumbo yao.
 
Ndugu zangu napenda kuwajulisha kuwa, nimepokea simu muda huu saa 23:55 usiku huu toka kwa mwandani mmoja hapa chini kuwa Placidus Luhoga ambaye naye alimegewa mgao wake wa katika sakata la Escrow atafukuzwa kazi maramoja na Kamishna wa TRA kwa maelekezo ya Naibu waziri wa fedha Mh. Mwigulu Nchemba,mara baada ya kufukuzwa atakamatwa na Acc.zake kuzuiwa, kufilisiwa na kufikishwa mahakamani.

Aidha, nimeelezwa kuwa, Tibaijuka amekubali kuachia ngazi.

pia nimeambiwa kuwa, ni kweli zambi na werema walitaka kupigana ndani ya kikao cha mawaziri baada ya Zambi kuhoji kuwa, Tangu lini watu wa musoma wakawa wezi na ilikuwaje AG. aruhusu wizi wa fedha. za umma.

mkuu . Unaweza kutuwekea ushahidi hapa ili tujiridhishe
 
watanzania tunaongea sana kuhusu 30% ya rugemalila na mgao unaonekana umetoka kwa ruge,vp mgao wa muhind70% haliwapa akina nani mgao
 
Hivi kwa nini JF siku hizi great thinkers wana-discuss tetesi? mtoa habari ye ni nani mpaka apate taarifa nyeti na nyingi kama hizi na kuaminiwa hapa JF just like that?
 
wewe unazungumza rais ata waziri mkuu ambaye ndie baba wa mawaziri hili ataepushwa nalo wataondoka madagaa tu

Wasiwasi wako wengi tunaozijua siasa za nchi hii na kulindana viongozi tunao kuwa kombe litafunikwa ila wapinzani wamesema safari hii mwanaharamu hapiti.
 
Hivi katika hiyo listi ya waliokwapua yupo mchaga kweli??? Naskia wakitajwa wahaya, mara tangu lini musoma pakawa na wezi!!! Hivi wezi wamezaliwa wapi??
 
Wanachama wa JF waliopo TRA napenda kujua P. Luoga bado yupo TRA au alishastaafu?
 
Hivi kwa nini JF siku hizi great thinkers wana-discuss tetesi? mtoa habari ye ni nani mpaka apate taarifa nyeti na nyingi kama hizi na kuaminiwa hapa JF just like that?

kupata taarifa sio kitu ngumu. kumbuka maamuzi hayafanywi na mtu mmoja. you should also know that a secret is for one person, not more!
 
Nasikia AG alimuita Zambi K.E.N.G.E... Huyu Jamaa anaonekana ni bingwa wa kuwaita viongozi wenzie majina ya wanyama na viumbe hai...Mwisho wa siku kitaeleweka tu!...
Ndugu zangu napenda kuwajulisha kuwa, nimepokea simu muda huu saa 23:55 usiku huu toka kwa mwandani mmoja hapa chini kuwa Placidus Luhoga ambaye naye alimegewa mgao wake wa katika sakata la Escrow atafukuzwa kazi maramoja na Kamishna wa TRA kwa maelekezo ya Naibu waziri wa fedha Mh. Mwigulu Nchemba,mara baada ya kufukuzwa atakamatwa na Acc.zake kuzuiwa, kufilisiwa na kufikishwa mahakamani.

Aidha, nimeelezwa kuwa, Tibaijuka amekubali kuachia ngazi.

pia nimeambiwa kuwa, ni kweli zambi na werema walitaka kupigana ndani ya kikao cha mawaziri baada ya Zambi kuhoji kuwa, Tangu lini watu wa musoma wakawa wezi na ilikuwaje AG. aruhusu wizi wa fedha. za umma.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom