Kigogo TRA Kufukuzwa kazi

Kigogo TRA Kufukuzwa kazi

prof tezi nae wamuweke hadharan,hao ndugu zake mamj na mwana walimiliki sh ngap za iptl.
 
Huyu bwana mkubwa akipona tezi dume sitashangaa akiugua tezi ya jinsia nyingine...perhaps ni kutafuta sympathy kwa kushindwa kwake kuchukua responsibility!
 
Tatizo kubwa la Mhe. Nchemba ni kupenda sifa hasizositahili, anakera sana. Utafikiri yeye ni waziri kamili. Mbona naibu mwenzie Mhe Adam Malima hana kimbelembele kama Mwigulu! ?
 
Ndugu zangu napenda kuwajulisha kuwa, nimepokea simu muda huu saa 23:55 usiku huu toka kwa mwandani mmoja hapa chini kuwa Placidus Luhoga ambaye naye alimegewa mgao wake wa katika sakata la Escrow atafukuzwa kazi maramoja na Kamishna wa TRA kwa maelekezo ya Naibu waziri wa fedha Mh. Mwigulu Nchemba,mara baada ya kufukuzwa atakamatwa na Acc.zake kuzuiwa, kufilisiwa na kufikishwa mahakamani.

Aidha, nimeelezwa kuwa, Tibaijuka amekubali kuachia ngazi.

pia nimeambiwa kuwa, ni kweli zambi na werema walitaka kupigana ndani ya kikao cha mawaziri baada ya Zambi kuhoji kuwa, Tangu lini watu wa musoma wakawa wezi na ilikuwaje AG. aruhusu wizi wa fedha. za umma.
Anna Makinda angekuwepo hapo angesema..." wewe Kafulila ulim-provoku jaji Werema, na yeye aka-provokika matokeo yake ndio hayo..."
 
Tatizo kubwa la Mhe. Nchemba ni kupenda sifa hasizositahili, anakera sana. Utafikiri yeye ni waziri kamili. Mbona naibu mwenzie Mhe Adam Malima hana kimbelembele kama Mwigulu! ?

kila mtu na haiba yake,mwigulu ni mtoto Wa masikini,malima mtoto Wa waziri
 
Na sio tu kufilisiwa ila wafunge jera kama wezi wengine
 
Lakini, mbona kuna habari zinasema kuwa huyu bwana alishastaafu hata kabla ya hili sakata!? Wenye details tafadhali.
 
This ESCROW disaster ni reflection ya how low serikali ya JK na Pinda imefikia, umekua mnara wa babeli, hakuna accountability wala nini, kuna shida tupu, wizi na kutukuzana mama

Imagine, Chenge, kila jambo baya yupo lakini ndio chief writer wa katiba pia.... that alone discredit efforts zote za JK regardless ana nia au dhamira gani kama kiongozi mtanzania (na JK husema anaipenda TAnzania... well how do you hurt someone you love sooooo much that the suffering becomes ni kitu cha kawaida??)

Mkuu una uhakika na hilo swali hapo kwenye red....?? Umeshapita kule ukonga ukaona mambo?
mkuu vipi huko ukonga kuna nini? Mimi nina imani kama ya Zambi ya kwamba watu wa Musoma wamekuwa waaminifu sana si wezi kama wa sehemu zingine za nchi. Lakini hili sakata linawaweka pabaya watu hawa.
 
Tibaijuka hakishajiuzulu naye harudishe hela na afikishwe mahakamani na afillisiwe, kwa nini wanamtoa kafara kigogo wa TRA peke yake
 
Jambo liko bungeni mahakama inaingiaje wakati wabunge wamesema wasiingiliwe maamuzi yao.

Maccm bwana sasa unataka wasipelekwe mahakamani? Tayari waizi wanafahamika wengine wamekiri wazi kupokea hizi fedha kinachosubiriwa Ni mapendekezo ya kamati kwa Bunge Ili serikali iagizwe kuwachukulia hatua majambazi ya ccm yaliyohusika.
 
Kwani rais ni mhasibu wa iptl?tatizo mnaingiza siasa kwenye mambo ya msingi,na mnasahau kuwa sio nyie pekee mnaweza kuleta siasa humu.

We utakuwa gamba anaeingiza siasa kwenye mambo ya msingi Si profess Na majambazi wenzake?
 
Maccm bwana sasa unataka wasipelekwe mahakamani? Tayari waizi wanafahamika wengine wamekiri wazi kupokea hizi fedha kinachosubiriwa Ni mapendekezo ya kamati kwa Bunge Ili serikali iagizwe kuwachukulia hatua majambazi ya ccm yaliyohusika.
hao magamba kutwa ku support upumbav tu....
 
Mwigulu amesema wote wakamatwe,wafukuzwe kazi,washitakiwe mahakamani na pesa zote zirudishwe serikalini.haponi mtu hapo yeyeote anayehusika hatapona hii ni kutoka jikoni alfajiri hii
 
Kwa upuuzi ambao serikali hii ya Prof Busha inavyofanya yaani sio siri hata yeye mwenyewe kama ni nchi za wenzetu angebidi ang'oke toka kwenye ile kashfa ya EPA iliyomwingizia madarakani iala kwa kuwa nchi yetu hawa wanasiasa mchwara wapo juu ya sheria mambo yanawezwa kumalizwa kimya kimya

Like like like ×100
 
Mmemfunga jela yule mzee wa tbs kwa kuwa Hana hela huku mnawaacha wazee wa vijisenti wakiandika katiba. Yaani ccm basi Tu mungu atawahukumu kwa matendo yenu.
 
Mwigulu amesema wote wakamatwe,wafukuzwe kazi,washitakiwe mahakamani na pesa zote zirudishwe serikalini.haponi mtu hapo yeyeote anayehusika hatapona hii ni kutoka jikoni alfajiri hii
mkuu hivi ni nani anahusika hapo? Tunaambiwa Baraza la Mawaziri lilibariki kutolewa kwa pesa hizo. Tunaambiwa AG alimwambia PS wa Nishati azitoe pesa hizo kwani ni uamuzi wa mahakama na kama angekaidi ingekuwa contempt of the court. Kisha tunaaqmbiwa watu wakaanza kugawiwa hizo senti: majaji, mawaziri, makatibu wakuu, maaskofu, wabunge, makamishna, wafanyakazi wa banki, nk.

Kwa mlolongo huo ni nani atavisha paka kengele, ni nani atapona?

Hapa inabidi tuanze tu upya manake mihimili yote ya dola inahusika ama watu toka mihimili yote ya dola wanahusika
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom