Kigogo TRA Kufukuzwa kazi

Kigogo TRA Kufukuzwa kazi

Jenerali Ambamba

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2014
Posts
3,344
Reaction score
2,537
Ndugu zangu napenda kuwajulisha kuwa, nimepokea simu muda huu saa 23:55 usiku huu toka kwa mwandani mmoja hapa chini kuwa Placidus Luhoga ambaye naye alimegewa mgao wake wa katika sakata la Escrow atafukuzwa kazi maramoja na Kamishna wa TRA kwa maelekezo ya Naibu waziri wa fedha Mh. Mwigulu Nchemba,mara baada ya kufukuzwa atakamatwa na Acc.zake kuzuiwa, kufilisiwa na kufikishwa mahakamani.

Aidha, nimeelezwa kuwa, Tibaijuka amekubali kuachia ngazi.

pia nimeambiwa kuwa, ni kweli zambi na werema walitaka kupigana ndani ya kikao cha mawaziri baada ya Zambi kuhoji kuwa, Tangu lini watu wa musoma wakawa wezi na ilikuwaje AG. aruhusu wizi wa fedha. za umma.
 
Ndugu zangu napenda kuwajulisha kuwa, nimepokea simu muda huu saa 23:55 usiku huu toka kwa mwandani mmoja hapa chini kuwa Placidus Luhoga ambaye naye alimegewa mgao wake wa katika sakata la Escrow atafukuzwa kazi maramoja na Kamishna wa TRA kwa maelekezo ya Naibu waziri wa fedha Mh. Mwigulu Nchemba,mara baada ya kufukuzwa atakamatwa na Acc.zake kuzuiwa, kufilisiwa na kufikishwa mahakamani.

Aidha, nimeelezwa kuwa, Tibaijuka amekubali kuachia ngazi.

pia nimeambiwa kuwa, ni kweli zambi na werema walitaka kupigana ndani ya kikao cha mawaziri baada ya Zambi kuhoji kuwa, Tangu lini watu wa musoma wakawa wezi na ilikuwaje AG. aruhusu wizi wa fedha. za umma.

This ESCROW disaster ni reflection ya how low serikali ya JK na Pinda imefikia, umekua mnara wa babeli, hakuna accountability wala nini, kuna shida tupu, wizi na kutukuzana mama

Imagine, Chenge, kila jambo baya yupo lakini ndio chief writer wa katiba pia.... that alone discredit efforts zote za JK regardless ana nia au dhamira gani kama kiongozi mtanzania (na JK husema anaipenda TAnzania... well how do you hurt someone you love sooooo much that the suffering becomes ni kitu cha kawaida??)

Mkuu una uhakika na hilo swali hapo kwenye red....?? Umeshapita kule ukonga ukaona mambo?
 
Ndugu zangu napenda kuwajulisha kuwa, nimepokea simu muda huu saa 23:55 usiku huu toka kwa mwandani mmoja hapa chini kuwa Placidus Luhoga ambaye naye alimegewa mgao wake wa katika sakata la Escrow atafukuzwa kazi maramoja na Kamishna wa TRA kwa maelekezo ya Naibu waziri wa fedha Mh. Mwigulu Nchemba,mara baada ya kufukuzwa atakamatwa na Acc.zake kuzuiwa, kufilisiwa na kufikishwa mahakamani.

Aidha, nimeelezwa kuwa, Tibaijuka amekubali kuachia ngazi.

pia nimeambiwa kuwa, ni kweli zambi na werema walitaka kupigana ndani ya kikao cha mawaziri baada ya Zambi kuhoji kuwa, Tangu lini watu wa musoma wakawa wezi na ilikuwaje AG. aruhusu wizi wa fedha. za umma.

Kama hayo yatafanyika kwa Bwana P. Luhoga, basi yafanyike pia kwa Anna Tibaijuka hasa kwa sababu amekiri lkn pia kwa wote waliohusika na mgao huo kutoka PAP kwa bwana Seith na VIP kwa yule bwana tajiriiiii wa kihaya!
 
This ESCROW disaster ni reflection ya how low serikali ya JK na Pinda imefikia, umekua mnara wa babeli, hakuna accountability wala nini, kuna shida tupu, wizi na kutukuzana mama

Imagine, Chenge, kila jambo baya yupo lakini ndio chief writer wa katiba pia.... that alone discredit efforts zote za JK regardless ana nia au dhamira gani kama kiongozi mtanzania (na JK husema anaipenda TAnzania... well how do you hurt someone you love sooooo much that the suffering becomes ni kitu cha kawaida??)

Mkuu una uhakika na hilo swali hapo kwenye red....?? Umeshapita kule ukonga ukaona mambo?


Kwa upuuzi ambao serikali hii ya Prof Busha inavyofanya yaani sio siri hata yeye mwenyewe kama ni nchi za wenzetu angebidi ang'oke toka kwenye ile kashfa ya EPA iliyomwingizia madarakani iala kwa kuwa nchi yetu hawa wanasiasa mchwara wapo juu ya sheria mambo yanawezwa kumalizwa kimya kimya
 
hivi hii ishu kwa nini mkulu wa nchi anawekwa kando...???


Madaraka aliyo nayo ni mengi sn kiasi ni kz kumuingiza ktk maswala km haya...! Lazima ujizatiti kweli kweli!
 
Ndugu zangu napenda kuwajulisha kuwa, nimepokea simu muda huu saa 23:55 usiku huu toka kwa mwandani mmoja hapa chini kuwa Placidus Luhoga ambaye naye alimegewa mgao wake wa katika sakata la Escrow atafukuzwa kazi maramoja na Kamishna wa TRA kwa maelekezo ya Naibu waziri wa fedha Mh. Mwigulu Nchemba,mara baada ya kufukuzwa atakamatwa na Acc.zake kuzuiwa, kufilisiwa na kufikishwa mahakamani.

Aidha, nimeelezwa kuwa, Tibaijuka amekubali kuachia ngazi.

pia nimeambiwa kuwa, ni kweli zambi na werema walitaka kupigana ndani ya kikao cha mawaziri baada ya Zambi kuhoji kuwa, Tangu lini watu wa musoma wakawa wezi na ilikuwaje AG. aruhusu wizi wa fedha. za umma.

Vipi kuhusu na yule meneja wa Ilala aliyevuta 1.6b naye atashughulikiwa? Kama kweli mwigulu atafanya hivyo for the first time nitamvulia kofia.
 
ngoja wajikaange kwa mafuta yao (ufisadi),2015 nawaweka meza ya chakula,nawatafuna taraatibuuuu bila kuacha hata mfupaa halafu nakandamiza na juisi bariidii huku napitia Neno la Mungu.
 
Wezi wote hawapaswi kufukuzwa kazi au kujiuzulu tu bali wanapaswa pia kufikishwa mahakamani na kufilisiwa!
Jambo liko bungeni mahakama inaingiaje wakati wabunge wamesema wasiingiliwe maamuzi yao.
 
hivi hii ishu kwa nini mkulu wa nchi anawekwa kando...???
Ajawekwa kando ila ameugua na ugonjwa wenyewe umesababishwa na ESCROW na kwa sasa yupo katika HOTEL MAALUM isiyo na jina.
 
Luoga mna uhakika bado ni mwajiriwa wa tra...huyo ni mstaafu checking na tra wenyewe ....napita tu jamani.
 
Hawa watakuwa ni wahuni na mafisadi ndani ya chama cha Maintarahamwe.

in a fair state ya governance, rais angekua vigumu kupona, lakini kwa nchi kama Tanzania, rais atapongezwa kwa chochote kitakachotokea kizuri au kibaya, wapo wapumbavu wanaandaa maandamano ya kumpongeza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom