Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,599
Nimetokea kupachukia sana Kigali, ingawa nasikia na Addis napo hapafai.....:lie::lie:
Bahati nzuri nimestaafu.... nasaidiana na Bibi kuitafuna pensheni yangu....lol!!
Ila Kigali ni mojawapo ya mahali ambapo sitapenda wajukuu zangu waende ende au wapazoee...!!
Cc: Kaizer, Asprin, CHUAKACHARA, KOKUTONA, Mwanyasi, gfsonwin, King'asti, Fixed Point, PakaJimmy, Filipo, Preta, Blaki Womani, marejesho....
Babu DC!!
Bahati nzuri nimestaafu.... nasaidiana na Bibi kuitafuna pensheni yangu....lol!!
Ila Kigali ni mojawapo ya mahali ambapo sitapenda wajukuu zangu waende ende au wapazoee...!!
Cc: Kaizer, Asprin, CHUAKACHARA, KOKUTONA, Mwanyasi, gfsonwin, King'asti, Fixed Point, PakaJimmy, Filipo, Preta, Blaki Womani, marejesho....
Babu DC!!