bacha
JF-Expert Member
- Aug 19, 2010
- 4,282
- 797
Mwanaume kifua bana. Tena ukute kapigilia bodi suti yani lazima mkitembea mtaani wahuni wakuheshimu maana wanajua jamaa atawatembezea kichapo. Kweli fanyeni mazoezi ya kukaza misuli unakuta wengine vifua vipana lakini tumbo kule. Kifua kinapendeza kama na tumbo pia ni la pingili. Naona JF imeamua kuchambua wanaume.
habari yako big house......?
haya bana, wengine wanapenda kifua kipana, wengine wanataka mtalimbo wa haja, wengine ................kweli kazi ipo!