FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,881
- 109,192
ahh jamani...niunge tela nini faiza maana nakumisi sana ukipotea weye
Twende for 2 days, wageni wangu wanarudi kesho, nadhani InshaAllah tutaondoka na boat ya saa tisa na nusu, tunarudi Wednesday jioni. Naenda kujiachia Forodhani siku mbili. Lakini kaa BB kangu ntakuwa nacho ntaingia ingia humu kuchungulia. Maana nshakuwa teja la JF.