Kifo chenye utata cha Waziri Nicas Mahinda

Kifo chenye utata cha Waziri Nicas Mahinda

bila chenga wala longo longo,aliuwawa sababu ya chupi ya mke wa mtu.njo kilakala matako bar ya zamani utpata ubyuyu wote fulu.na kaburi lipo hapo
Hii ndio ukweli, maana namkumbuka huyu mzee Mahinda tulikua tunapiga nae sana maji pale Georgis sie tukiwa vijana wadogo wa chuo, alikua mtu wa kupenda chini sana. Na hapo nyumbani kwake alikua anaishi mwenyewe tu hakua na mke. Yeye alikua anazalisha tu na kuacha, ugonjwa wake ulikua kinywaji chake na kuwavua chupi wanawake wazuri wa mjini. Nicas mahinda alikua mcheshi sana na rafiki wa vijana wengi wa enzi hizo., kifo chake kilikua cha utata ila nyepesi nyepesi wakati huo ni kua alikua akiiba mke wa mtu na akampa uja uzito.
 
Hii ndio ukweli, maana namkumbuka huyu mzee Mahinda tulikua tunapiga nae sana maji pale Georgis sie tukiwa vijana wadogo wa chuo, alikua mtu wa kupenda chini sana. Na hapo nyumbani kwake alikua anaishi mwenyewe tu hakua na mke. Yeye alikua anazalisha tu na kuacha, ugonjwa wake ulikua kinywaji chake na kuwavua chupi wanawake wazuri wa mjini. Nicas mahinda alikua mcheshi sana na rafiki wa vijana wengi wa enzi hizo., kifo chake kilikua cha utata sana ila nyepesi nyepesi wakati huo ni kua alikua akiiba mke wa mtu na akampa uja uzito.
POMBE+WANAWAKE=KIFO
 
Kifo cha mainda hakina tofauti sana na kifo cha somebody kasamara
Aliyekuwaga boss wa BIMA enzi hizo!

Ova
 
Nchi hii mauzauza yameanza siku nyingi sana,Kuna waziri alikuwa anaitwa Diria nae alikuwa na kashfa ya kuuza mapoda huko mbele
Ahmed Hassan Diria, mzee wa moustache. Sikuwahi kusikia kama alikua na kashfa ya namna hiyo.
 
Alikuwa na kiwanja Mbezi ambacho hakijajengwa. Akaja Mzungu fulani akajenga kwenye kile kiwanja,Mahinda akamuacha Mzungu akajenga nyumba ghorofa hadi ikaisha.

Baada ya nyumba kumaliza kujengwa, Mahinda akamwambia mzungu nipe funguo za nyumba yako sababu umejenga kwangu.

Baada ya kufuatilia wakaona ni kweli, Mzungu akaomba waongee Mahinda kakataa.Mzungu kapanda ndege kurudi kwao.

Baada ya muda Mahinda akauawa. Je, hapo kuna uhusiano kati ya mzungu na kifo?

Mwenye details atusaidie.

[/QUO tamaa mbaya
 
Back
Top Bottom