dubu
JF-Expert Member
- Oct 18, 2011
- 3,496
- 3,461
Alikuwa na kiwanja Mbezi ambacho hakijajengwa. Akaja Mzungu fulani akajenga kwenye kile kiwanja,Mahinda akamuacha Mzungu akajenga nyumba ghorofa hadi ikaisha.
Baada ya nyumba kumaliza kujengwa, Mahinda akamwambia mzungu nipe funguo za nyumba yako sababu umejenga kwangu.
Baada ya kufuatilia wakaona ni kweli, Mzungu akaomba waongee Mahinda kakataa. Mzungu kapanda ndege kurudi kwao.
Mahinda alikuwa Mbunge na Naibu Waziri Viwanda na biashara kisha Naibu Waziri Maliasili na Utalii alipigwa risasi nyumbani kwake mwaka 1997.
Pia soma
- Nape Nnauye: Sheria ya vyama vya siasa nchini iangaliwe tena
Viongozi na Wanasiasa wengine waliowahi kupigwa riasasi
- Utata kifo cha hayati Abeid Karume
- DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali
- Wakili mtetezi wa ICTR Prof. Jwani Mwaikusa auawa Tanzania
- Simulizi: Kisa na Mkasa wa Mauaji ya Jenerali Imran Kombe (Mkurugenzi Mstaafu wa Idara ya Usalama wa Taifa-TISS)
- TANZIA - John Mwankenja auawa kwa risasi
- Dkt. Wilbert Kleruu - Utata wa kifo chake, historia na maisha yake
- TANZIA - Waziri Salome Mbatia afariki dunia, maswali yaibuka!
- Maandamano ya CHADEMA: Aqulina Akwilini Mwanafunzi wa mwaka wa kwanza NIT apigwa risasi na kufariki; Polisi wakiri kuhusika
- Mbunge wa Simanjiro, Christopher Ole Sendeka ashambuliwa kwa risasi na Watu wasiojulikana
- Askari polisi aliyepigwa risasi na majambazi Tanga afariki
Baada ya nyumba kumaliza kujengwa, Mahinda akamwambia mzungu nipe funguo za nyumba yako sababu umejenga kwangu.
Baada ya kufuatilia wakaona ni kweli, Mzungu akaomba waongee Mahinda kakataa. Mzungu kapanda ndege kurudi kwao.
Mahinda alikuwa Mbunge na Naibu Waziri Viwanda na biashara kisha Naibu Waziri Maliasili na Utalii alipigwa risasi nyumbani kwake mwaka 1997.
Pia soma
- Nape Nnauye: Sheria ya vyama vya siasa nchini iangaliwe tena
Viongozi na Wanasiasa wengine waliowahi kupigwa riasasi
- Utata kifo cha hayati Abeid Karume
- DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali
- Wakili mtetezi wa ICTR Prof. Jwani Mwaikusa auawa Tanzania
- Simulizi: Kisa na Mkasa wa Mauaji ya Jenerali Imran Kombe (Mkurugenzi Mstaafu wa Idara ya Usalama wa Taifa-TISS)
- TANZIA - John Mwankenja auawa kwa risasi
- Dkt. Wilbert Kleruu - Utata wa kifo chake, historia na maisha yake
- TANZIA - Waziri Salome Mbatia afariki dunia, maswali yaibuka!
- Maandamano ya CHADEMA: Aqulina Akwilini Mwanafunzi wa mwaka wa kwanza NIT apigwa risasi na kufariki; Polisi wakiri kuhusika
- Mbunge wa Simanjiro, Christopher Ole Sendeka ashambuliwa kwa risasi na Watu wasiojulikana
- Askari polisi aliyepigwa risasi na majambazi Tanga afariki