Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 29,134
- 93,313
Daah
Mwaka 97 nilikua darasa la pili,sitaki hata kujua wala kuuliza"A former Tanzanian cabinet minister was gunned down at his home outside Dar es Salaam over the weekend, police said yesterday. Nicas Mahinda, a member of parliament and former natural resources and tourism minister, was showered with bullets on Sunday by a gang of about 30 thugs who jumped over the fence of his compound. Twenty-five people have been arrested in connection with the incident."Great Lakes: IRIN Update No.78, 01/14/97
"...following the murder of Professor Nicas Mahinda MP, are given below. Some mystery surrounds the death of Professor Mahinda. The police have been quoted as saying that the MP was probably killed by a bullet from his own shotgun fired by his mason, Mr Franco William, while some 30 armed bandits were raiding the professors beach house in Dar es Salaam. Mr William was arrested." Tanzanian Affairs » Issue 57
HAYA NIME GOOGLE
Marahaba ujambo,za siku ushamaliza shule.Mwaka 97 nilikua darasa la pili,sitaki hata kujua wala kuuliza
Kolimba aliitema CCM, aliingia White House anatembea kwa tabasamu ili ahojiwe na halmashauri kuu ya CCM, alitoka maiti.Alikuwa na kiwanja Mbezi ambacho hakijajengwa. Akaja Mzungu fulani akajenga kwenye kile kiwanja,Mahinda akamuacha Mzungu akajenga nyumba ghorofa hadi ikaisha.
Baada ya nyumba kumaliza kujengwa, Mahinda akamwambia mzungu nipe funguo za nyumba yako sababu umejenga kwangu.
Baada ya kufuatilia wakaona ni kweli, Mzungu akaomba waongee Mahinda kakataa.Mzungu kapanda ndege kurudi kwao.
Baada ya muda Mahinda akauawa. Je, hapo kuna uhusiano kati ya mzungu na kifo?
Mwenye details atusaidie.
Hahaha mkanda boy mwalimu wangu pia! Na suti zake zile hata jua lina waka vipi !!!Yea, yalikwa maneno ya mwalimu wangu wa A level Chemistry enzi hizo Mr Mkandawile
Ni kweli alikuwa naibu waziri viwandaKwa kumbukubu zangu Nikas Mahinda alikuwa NAIBU waziri. Ni muda mrefu huenda kumbukumbu zinapiga chenga.
Asante kwa ufafanuzi mkuu.Ni kweli Prof. Nicas Guido Mahinda alikuwa Naibu Waziri, si Waziri. Ilikuwa katika serikali ya Mwinyi mwishoni, lakini alivuka na kuingia awamu ya Ben ya kwanza.
Mauaji yalitajwa na serikali kuwa ni "Homicide" iliyosababishwa na vitendo vya ulipizaji visasi.
Aliyeleta mada atueleze ni orofa lipi huko Mbezi.
Naibu waziri viwanda na biashara na mbunge wa morogoro vijijiniAlikuwa waziri wa nini?
Huwezi kumfahamu wewe ni mtoto wa juzi!! Nicas Mahinda alikuwa professa wa UDSM faculty of science wakati huo;baadae akaja kuwa mbunge wa huko Morogoro na akateuliwa akawa naibu waziri, wizara ya viwanda na biashara mpaka hapo mauti yalipomfika!Mahnda?
Nicas?
sjawahi kumsikia!
alikuwa wizara gani
Duh class mate wangu kabisaMwaka 97 nilikua darasa la pili,sitaki hata kujua wala kuuliza
Kumbe watoto mko wengi humuDuh class mate wangu kabisa
97 la 2 sasa hivi wana miaka 30-32 sio watoto kuna watu wana miaka 21-24 humu.Kumbe watoto mko wengi humu
30'sKumbe watoto mko wengi humu
Ndo maana wakati mwingine JF ina bore.Kumbe watoto mko wengi humu
Mwenyewe yupo huko Kikaangoni sijui kashakuwa kuni,sisi twamjadili,Huwezi kumfahamu wewe ni mtoto wa juzi!! Nicas Mahinda alikuwa professa wa UDSM faculty of science wakati huo;baadae akaja kuwa mbunge wa huko Morogoro na akateuliwa akawa naibu waziri, wizara ya viwanda na biashara mpaka hapo mauti yalipomfika!
Kuhusu kısa cha kifo chake sidhani kuwa hii hadithi ni sahihi; Nicas kifo chake kilitokana na kupigwa risasi na majambazi nyumbani kwake na kwa wakati ule ilisemekana chanzo cha balaa hilo ni mambo yaliyohusu madini huko jimboni kwake alikokuwa anawakilisha mkoani Morogoro. Nicas hakudhurumu nyumba ya Mzungu sio kweli.!!