LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,496
- 3,389
Mmmmhh!
Hapa pagumu!
Hv aliuawa mwaka gani?
Hapa pagumu!
Hv aliuawa mwaka gani?
inasemekana ishu ya kuuzwa Loliondo "akiwa waziri wa maliasili alikuwa ataki eneo hilo liuzwe.uenda nayo ilikuwa sababu"A former Tanzanian cabinet minister was gunned down at his home outside Dar es Salaam over the weekend, police said yesterday. Nicas Mahinda, a member of parliament and former natural resources and tourism minister, was showered with bullets on Sunday by a gang of about 30 thugs who jumped over the fence of his compound. Twenty-five people have been arrested in connection with the incident."Great Lakes: IRIN Update No.78, 01/14/97
"...following the murder of Professor Nicas Mahinda MP, are given below. Some mystery surrounds the death of Professor Mahinda. The police have been quoted as saying that the MP was probably killed by a bullet from his own shotgun fired by his mason, Mr Franco William, while some 30 armed bandits were raiding the professors beach house in Dar es Salaam. Mr William was arrested." Tanzanian Affairs » Issue 57
HAYA NIME GOOGLE
Tulikuwa tunaishi naye jirani kilakala morogoro msomi aliyesahau hata kukarabati nyumbani kwa wazazi wake alipokulia.
Alifariki miaka ya 1999 au 2000. Aliuwawa kwa kupigwa risasi na watu wasiofahamika.Mahnda?
Nicas?
sjawahi kumsikia!
alikuwa wizara gani?
ili kuishi salama hapa duniani inabidi usiingilie kijiwe cha mtu au mtu wa mtu ....Chemi BoyLakini kumbuka kuwa alikuwa na bifu na wahindi wa Morogoro kwa kuwa walidhani kuwa huwa anafunua chupi ya shamim Khan, kama hujui tuachie sie wazee wa muji kasoro bahari.
Wapo watu pepo yao ipo hapa duniani lakini kwa Mungu ni jehanamu(motoni)tu.Kila unachofanya duniani kutaka umaarufu isije ikawa ni chukizo kwa Mungu labda uamini kuwa hakuna Mungu.inasemekana ishu ya kuuzwa Loliondo "akiwa waziri wa maliasili alikuwa ataki eneo hilo liuzwe.uenda nayo ilikuwa sababu
inasemekana ishu ya kuuzwa Loliondo "akiwa waziri wa maliasili alikuwa ataki eneo hilo liuzwe.uenda nayo ilikuwa sababu
yes no ndo sababu mzee mwenzanguLakini kumbuka kuwa alikuwa na bifu na wahindi wa Morogoro kwa kuwa walidhani kuwa huwa anafunua chupi ya shamim Khan, kama hujui tuachie sie wazee wa muji kasoro bahari.
Duh mmenikumbusha
huyu mzee
nilisoma na mwnae
so sad!
Ila no idea nakumbuka
tu kuwa watu waliruka
ukuta na mambo machache ktk uzi
huu rip
Duh!
Hata mimi nilisoma na binti yake mmoja....alikuwa anaitwa Edith Mahinda.
Nilikuwa nampenda sana huyu mchuchu.
Sijui siku hizi yuko wapi tu.
The Boss unamnyaka huyo mchuchu?