Sumba-Wanga
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 5,349
- 1,224
mimi naona labda katufundisha ngono,pombe na kutafuna kuku mishikaki na chips!
Hakuna kingine.
Ulimbukeni umetujaa tunashindwa hata kufanya kazi zetu za msingi,eti Kanumba Kanumba,Kanumba Kanumba,Kanumba Kanumba who was he?????????
We did not need Kanumba (RIP) to teach us any of these stuffs.
In several interviews, Kanumba (RIP) pointed out he was not using any kind of alcohol