Mh nilikuwa nasubiri mtu aanzishe huu uzi maana kwenye twitter nafasi ni fupi sana ya kupost.
We are all not sure kama Lulu ndiye alimuua Kanumba. kuwa nae chumbani haimaanishi kuwa ndo muuaji. Biology nilisoma kidogo ila sijawahi kusikia eti ukigonga kichwa kwa kitu kigumu kama ukuta basi unatoa mapovu. Mapovu yanahusiana na kula au kunywa (Drs wanaweza kusaidia hapa kwa technical terms).
Kuna maswali ya msingi hapa.
1. Lulu aliletwa na nani kwa Kanumba
2. Lulu alikuwa anaongea na nani kwenye simu iliyoleta huo ''ugomvi'' na Kanumba?
3. Alipokimbia aliondoka na usafiri gani wakati yeye ndo alimwambia mdogo wake kanumba kuwa kaka yako kaanguka?
4. Ray alikuwa na bifu na kanumba la mda mrefu na alimuahidi eti watamalizana kiume, na sasa ray anasema alipopigiwa simu alikuwa jirani na muhimbili. alipigiwa simu na nani na alipigiwa simu kama nani wakati hawakuwa marafiki wa karibu tena?
kwa nchi yetu ambayo haki ya mtu inaweza ikauzwa ili apewe mwingine, Lulu lazima apate msaada wa kisheria ili aweze kufunguka katika kumtafuta muuaji halali wa Kanumba. Kuwa nae ndani haimaanishi ndo muuaji ila kwa kuwa alikuwa eneo la tukio lazima aisaidie polisi mpaka ukweli ujulikane.
Zitto na Halima wamefanya vizuri na nawaomba mama Bisimba na Usu malya nao wamsaidie huyu mtoto.
Anahitaji msaada wa kisaikolojia maana kampoteza mpenzi wake na hili tukioo ni kubwa sana kwa umri wake na mazingira yalivyotokea.
With a fair trial to Lulu, the truth will be revealed and it may surprise us all
Mnaomteteta huyu mtoto wote ni wapuuzi She deserves everything na kwanza natamani akae huko hata miaka miwili mitatu...Sio katoto kadogo kazi kuendekeza umalaya tu!
Umeona ehee!michael Jackson alivyokufa basi Obama aliendelea na shughuli za ujenzi wa Taifa na wala hakukanyaga msibani.
Laiti kwamba Michael na umaarufu wake ule angekuwa ni mtanzania basi tarehe aliyokufa kwenye kalenda zetu tungewekewa kidubwasha chekundu.
Pia tungeenda kuuaga mwili wake ktk viwanja vya ikulu.
Tusingeenda kazini mpaka tumzike.
Na mkulu wetu nadhani angelia hadharani kwa kweli.
mimi naona labda katufundisha ngono,pombe na kutafuna kuku mishikaki na chips!
Hakuna kingine.
Ulimbukeni umetujaa tunashindwa hata kufanya kazi zetu za msingi,eti Kanumba Kanumba,Kanumba Kanumba,Kanumba Kanumba who was he?????????
Tena msafara wa kumzika michael jackson ulikua na gari3 tuu.michael Jackson alivyokufa basi Obama aliendelea na shughuli za ujenzi wa Taifa na wala hakukanyaga msibani.
Laiti kwamba Michael na umaarufu wake ule angekuwa ni mtanzania basi tarehe aliyokufa kwenye kalenda zetu tungewekewa kidubwasha chekundu.
Pia tungeenda kuuaga mwili wake ktk viwanja vya ikulu.
Tusingeenda kazini mpaka tumzike.
Na mkulu wetu nadhani angelia hadharani kwa kweli.
madaktari waligoma then jamaa akakwea pipa na kusepa, ile hali huku nchini kuna wazalendo wanakufa tu bila kupatiwa huduma mahospitalini.
Eti kafa Kanumba jamaa na safari kaahirisha duh...
Tena si mnakumbuka juu ya mgomo wa madaktari kuna mwana jf mwenzetu alifiwa na mtoto wake?na tulicomment hapa juu ya upuuzi wa madaktari na serikali?mbona wahanga hawakupozwa chochote?na mkubwa akakwea zake pipa mamtoni???madaktari waligoma then jamaa akakwea pipa na kusepa, ile hali huku nchini kuna wazalendo wanakufa tu bila kupatiwa huduma mahospitalini.
Eti kafa Kanumba jamaa na safari kaahirisha duh...
Namuomba M/mungu leo kuanzia saa2.30 ashushe mvua ya mawe ili asipatikane mtz yeyote barabarani,leo j,4 watu wote tunatakiwa kua kazini ala!
Ebana we huwajui wabongo kwa kujishaua kujishughulisha na shughuli zisizo na msingi.
Tena wako radhi kujidumbukiza kwenye hiyo mvua ili mradi wafike na wamuage.