CHUAKACHARA
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 12,358
- 6,422
Kutokana na msiba wa Kanumba,inasemekana kuwa kwa sasa baadh ya maeneo ya jiji la Dar es Salaam yapo busy kutokana na Shopping zinazofanywa na wadau ambao wanajipanga na mazish!.
Moja ya bidhaa ambazo zipo kwenye soko kwa sasa,kutokana na demand kuwa kubwa ni miwan myeusi hasa ile mikubwa.
SOSI:GAZET LA BINGWA
10/04/2012
Miwani myeusi maana yake nini?