Kifo cha Steven Kanumba na hatma ya Elizabeth Michael (Lulu)

Kutokana na msiba wa Kanumba,inasemekana kuwa kwa sasa baadh ya maeneo ya jiji la Dar es Salaam yapo busy kutokana na Shopping zinazofanywa na wadau ambao wanajipanga na mazish!.
Moja ya bidhaa ambazo zipo kwenye soko kwa sasa,kutokana na demand kuwa kubwa ni miwan myeusi hasa ile mikubwa.
SOSI:GAZET LA BINGWA
10/04/2012

Miwani myeusi maana yake nini?
 
LULU: That Girl! Kasichana Kale!

By Jacqueline Mgumia

Dear TGNP members, young feminists and those in support of our sisters, I think we have a role to play in understanding Lulu's case, its context and her future charges in relation to Kanumba’s death. This portrays a classic relationship between private and public life.

I think it is a platform for expanding and demanding for women’s right issues in our current context - the media space. We should follow up the tragedy to understand what is at stake in relation to women’s rights, images and representations on the media and legal spaces, specifically how domestic spaces make life so vulnerable.

Thus far, Lulu is in rumande, accused, suspected, or associated with Kanumba's death. Unfortunately, public opinion is against Lulu as she is condemned and demonized for her loose sexual conducts, a fact which could easily forge her rights in regard to the accusations or, if found innocent, her security in the public domain will be threatened.

I am not saying she is innocent, but I always wonder why only young superstar women are labeled as loose or malaya! And, yes, if she has been malaya or bad, so what? Is this only bounded/confined to a moral question? Is this about good girls and bad girls? Does this mean she deserves to be accused without being listened too? Does this justify one being declared guilty without a fair trial or being understood?

Some people say YES! Kaache kasote rumande ama kaende jela, maana, asiyefunzwa na mamaye atafunzwa na ulimwengu! I say NO, mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni!

This is not a claim for being guiltless, rather it is a call to allow police and medical practices as well as procedures to rule the investigations, not the hyped media opinion of kale kasichana.

Justice is for everyone, those good and bad, those present and absent. If the investigation finds any association or relation of her conducts to be incriminating that will be a different question of the law and lawyers will choose positions.

Human right activists, feminists and the media, how do we associate ourselves with those labeled bad or indeed bad on culture lenses? Do we choose to remain in silence on whose lenses we are trading?

I speak not because she is a woman and young, as that could be doing injustice to our late Kanumba and being biased on a purely gender stance, rather it is to engage with the notion of good and bad girls in the media and its implication on women representation in general, and especially in our digital generation.

Lulu is still in rumande, maybe a quick and quiet visit will help us understand what is happening to her and perhaps make a decision if it is a case we might want to follow. We should start by getting facts right by acknowledging that Lulu is prejudged because of her character, and that can never be right or fair.

This is not about Lulu, it is about Wema, Ray C, Yasinta, and many young women like her in the movie and music industry; the platform is rough and tough, providing different experiences to female artists, of which we know very little about.

We need to start engaging with these spaces, as these young women define the good and bad girls in subtle but very important ways!

This is not about that girl! It is about understanding what is happening in domestic spaces, where both men and women rights could easily be abused in silence. It is about engaging with misunderstood women using our lenses to make sense of their stories and realities so as to inform ourselves on diverse issues facing women. It is about understanding the perceptions and cultures that influence practices and outcomes of laws.

I pray for Kanumba the Great that he may rest in peace and, at this point, I should declare that he was one of the Tanzanian actors that I gave respect to for his achievements; however, his latest movie MOSES, which is centered on hate on women, left me wishing to meet him and chat about impacts of such contents on women. Indeed he has left us very young. He will be greatly missed.

As he rest in peace tomorrow and justice is found for his sudden death, let Lulu - before the law and public - be judged and treated with fairness regardless of being that girl - kasichana kale!
udadisi blog-chanzo cha hii
 
Monday, 09 April 2012 21:06
0digg
NI BAADA YA JOPO LA MADAKTARI MUHIMBILI KUMFANYIA UCHUNGUZI, BABA YAKE AZUNGUMZA, WABUNGE WAANGUA KILIO
Florence Majani na Suzzy Butondo
MSANII nyota wa filamu nchini, Steven Kanumba amefariki dunia kutokana na tatizo la mtikisiko wa ubongo linalojulikana kitalaamu kama Brain Concussion, taarifa za kitabibu zimeeleza.
Taarifa hizo za ndani, zilizopatikana jana baada ya jopo la madaktari bingwa watano wa Hospitali ya Taifa Muhimbili kuufanyia uchunguzi mwili wa marehemu huyo, zimeeleza kuwa tatizo hilo linaweza kumfanya mtu apoteze maisha mara moja au baada ya siku kadhaa. Mmoja wa madaktari hao ambaye aliomba jina lake lisitajwe gazetini alisema waligundua tatizo hilo baada ya kumfanyia uchunguzi huo kwa zaidi ya saa mbili.

"Tulianza kuufanyia uchunguzi mwili wa marehemu kuanzia saa 4:00 asubuhi hadi saa 6:45 mchana na tukagundua kuwa marehemu alifariki kutokana na mtikisiko wa ubongo kwa kitaalamu, Brain Concussion," alisema daktari huyo. Alisema Kanumba alipata mtikisiko wa ubongo ambao husababisha kufeli kwa mfumo wa upumuaji (cardio-respiratory failure) "Kilichomuua hasa ni mtikisiko wa ubongo, ambao endapo unatokea katika sehemu ya nyuma ya ubongo (cerebrum), huua kwa haraka" alisema daktari huyo na kuongeza kuwa mtikisiko wa ubongo wa nyuma, husababisha matatizo ya mfumo wa upumuaji na hilo limeonekana katika mwili wake.

"Baada ya ubongo wake kutikiswa kwa nguvu, mfumo wa upumuaji ulifeli na ndiyo maana tumekuta kucha za Kanumba zikiwa na rangi ya bluu, huku mapafu yake yakiwa yamevilia damu na kubadilika kuwa kama maini, hizo ndizo dalili za kufeli kwa mfumo wa upumuaji."

"Mtu aliyepata mtikisiko wa ubongo huweza kutokwa na mapovu mdomoni na hukoroma kabla ya kukata roho na ndivyo ilivyokuwa kwa Kanumba kabla hajafariki."

Daktari mwingine aliyeshiriki katika uchunguzi huo ambaye pia aliomba jina lake lisitajwe alisema ubongo wa mwigizaji huyo ulikuwa umevimba na kushuka karibu na uti wa mgongo na hivyo kuathiri mfumo wa upumuaji.
Alisema sehemu ya maini na majimaji ya machoni ya marehemu, vimepelekwa kwa Mkemia Mkuu wa Serikali ili kubaini endapo kuna sumu au kitu kingine katika mwili huo.

Baba mzazi azungumza Baba mzazi wa mwigizaji huyo, Charles Musekwa Kanumba alisema kwamba alipata taarifa za kifo cha mwanawe Jumamosi saa 10:00 alfajiri baada ya kupigiwa simu na dada wa marehemu, Sara Kanumba. "Sara aliniuliza: ‘Una taarifa yoyote kuhusu mwanao Kanumba?' Nikamjibu kuwa sina taarifa yoyote, ndipo aliponieleza habari za kifo hicho. Aliniambia Kanumba hatupo naye tena amefariki kwa kuanguka, amekorofishana na mpenzi wake." alisema taarifa hizo zilimsababisha aishiwe nguvu kwa kuwa kilikuwa kifo cha ghafla… "Basi kuanzia hapo, nilianza kupigiwa simu za kupewa pole, ndipo nilipoamini kumbe mwanangu amefariki."

Akizungumzia kuchelewa kufika msibani, alisema kumetokana na tatizo la mawasiliano. Awali, alikuwa amepanga mtoto wake Kanumba akazikiwe Mwanza kwa babu yake ndiyo maana hakufika mapema msibani. "Nilikuwa nimepanga apitishwe hapa kwangu Shinyanga aagwe, halafu tumpeleke Mwanza kwa babu yake kumzika huko lakini alipokuja mama yake alinishauri kuwa huko kutakuwa na nafasi ndogo kwa sababu watu ni wengi pia alikuwa na marafiki wengi, wengine wa kutoka nje ya nchi kwa hiyo alinishawishi na tukakubaliana kumzika Dar es Salaam," alisema.

Pia alikanusha uvumi kuwa hajafika msibani kwa kuwa walikuwa na ugomvi na marehemu akisema walishamaliza tofauti zao. Alisema anatarajia kufika leo usiku tayari kushiriki mazishi hayo.

Wabunge kilio Jana, baadhi ya wabunge waliofika nyumbani kwa marehemu Kanumba waliangua vilio wakati walipotoa salamu zao za rambirambi.
Mbunge wa Viti Maalumu, Martha Mlata hakuzungumza na badala yake aliimba kipande cha wimbo uliozungumzia kifo na maneno ya wimbo huo yalionekana kuwagusa wafiwa na kusababisha vilio kuanza upya huku baadhi wakipoteza fahamu.
Mbunge mwingine, Neema Mwinyimgaya aliongeza majonzi masibani hapo alipounganisha msiba huo na wa mama yake… "Mama yangu amefariki miezi mitatu iliyopita, huko uliko mama, nakuomba umpokee kijana mwenzetu," alisema mbunge huyo na kushindwa kuendelea.

Wabunge wengine waliohudhuria msiba huo ni Ismail Aden Rage (Tabora Mjini), Aboud Juma (Kibaha Vijijini), Mussa Azan Zungu (Ilala), Abbas Mtemvu (Temeke), Peter Serukamba (Kigoma Mjini) na Ritha Kabati (Viti Maalumu).
Kova na mchango wa Kanumba Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman Kova alisema anakumbuka mchango wa Kanumba katika kuzuia uhalifu jijini.

"Tulishirikiana naye pamoja na wasanii wengine kuandaa bonanza maalumu ambalo lilidhamiria kukabiliana na uhalifu hapa jijini na kwa kweli mchakato ule ulifanikiwa kwani uhalifu ulipungua kwa kiasi kikubwa" alisema Kova.
"Kifo chake kimekuwa cha ghafla mno na nafikiri kujiweka tayari (kiimani) ni jambo ambalo kila mmoja anatakiwa kuwa makini nalo katika maisha yake," alisema Kova.

Ratiba ya mazishi
2:30 - Msafara kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili kupitia Barabara ya Umoja wa Mataifa na Ali Hassan Mwinyi hadi Viwanja vya Leaders Club.
3:30 - Misa ya kumuombea na salamu mbalimbali.
6:00 – Kuaga
9:00 - Kuelekea Makaburi ya Kinondoni kupitia Barabara ya Tunisia

SAHIHISHO
Rais Jakaya Kikwete jana alilazimika kubadili ratiba yake ya safari za ndani ya nchi ili kwenda kujumuika na waombolezaji wengine katika msiba wa msanii nguli, Steven Kanumba na hakuwa na safari nje ya nchi kama ilivyoripotiwa na gazeti hili jana. Mhariri.

NA HIKI NDICHO CHANZO CHA HIYO KITU ILIYOTAJWA NA MADAKTARI
[h=3]Concussion Causes[/h]
A concussion can be caused by any significant blunt force trauma to the head such as a fall, a car accident, sports injury, or being struck on the head with an object.
 
Kanumba aliokota jamii ya watu wasio wasomi.Watu wanaoshindwa
Kuangalia movie za kizungu kwa sababu hawaelewi.Mimi binafsi sijui
Hata title ya muvi yake yoyote,na yoyote ya kibongo.Nikijaribu
Kuangalia nashindwa,upuuzi mtupu na aibu.I can do better if I have to act.
Wanaompenda kwa usanii ni hao ambao shule yao haitoshi kuelewa dunia
Inaendaje,Kanumba ndi role modal wao,Mkombozi kwenye burudani.
 
Mnaomteteta huyu mtoto wote ni wapuuzi She deserves everything na kwanza natamani akae huko hata miaka miwili mitatu...Sio katoto kadogo kazi kuendekeza umalaya tu!

Sentesi ya mwisho naigongea like mbili
 
michael Jackson alivyokufa basi Obama aliendelea na shughuli za ujenzi wa Taifa na wala hakukanyaga msibani.

Laiti kwamba Michael na umaarufu wake ule angekuwa ni mtanzania basi tarehe aliyokufa kwenye kalenda zetu tungewekewa kidubwasha chekundu.
Pia tungeenda kuuaga mwili wake ktk viwanja vya ikulu.
Tusingeenda kazini mpaka tumzike.
Na mkulu wetu nadhani angelia hadharani kwa kweli.
kulinganisha Marekani na Tanzania ni neno nalo....!!!
 
R.I.P Kanumba

Watu wanakufa na magonjwa ya ajabu ajabu ckuhizi
hasa yale ambayo hatujawahi kuyasikia eh mungu tuepushe na hili balaa!
 
There are two kind of Lawyers, those who knows the laws and those who knows the Judges
 
Sasa huo mtikisiko wa Ubongo ulikujakujaje, na huwa kawaida unasababishwa na nini?
Je hakuna dalili za kugongwa kichwani?...mbona bado maelezo ni vague?

REST IN PEACE KANUMBA STEVE!
 
Back
Top Bottom