TUKUTUKU
JF-Expert Member
- Sep 14, 2010
- 11,763
- 4,046
Shehe uzalendo ulimshinda,yeye anapendaga wanene wanene tu,hao wembamba itokee tu!CC fazaa, Freshthinking, Nokia na Ally Kombo!
Last edited by a moderator:
Maskini mzungu wawatu sijui kama akipewa ataweza!!!!!!!! mwenyewe anamiliki kibamia!!!!!!!!!
Labda atumie shuper shaft, yaweza msaidia!!!!!!!!!
Bujibuji
Hayo mawaidha nimeyapata sawia...!
Ustaadh anasema "...Kuna wengine wanaitwa Miss Bantu, ile mizigo tunayopenda sisi Waafrika, mzigo mkubwa mkubwa...Mimi mwenyewe NAPENDA MISS BANTU Walahi...!"
Shehe uzalendo ulimshinda,yeye anapendaga wanene wanene tu,hao wembamba itokee tu!CC fazaa, Freshthinking, Nokia na Ally Kombo!
Mkuu hizo taratibu zote za uislamu nazijua,nilichotaka uisikilize youtube ili ujionee shehe alivyojisahau na kuanza kuongea hovyo hovyo bila kujua anatoka wapi na anakwenda wapi!.............Kwenye Uislaam hakuna useja, Sheikh anaruhusiwa kuoa kuanzia wawili, au watatu, au wanne tena anaowapenda ! ........ikiwa nguvu za mwili na uchumi hazimruhusu ........basi oa mmoja !
"...................basi oeni mnaowapenda katika wanawake, wawili, au watatu, au wanne, na mkiogopa kuwa hamuwezi kufanya uadilifu, basi mmoja........"
Qur'an: Al Nisaa:3.
Uislaam raha bana !:becky:
Kisha fika, hapo akipewa mauno fyucharing shanga na mapenzi ya Kitanga, basi kwisha habari yakeMzungu haamini aisee.....sidhani kama ataondoka AFRICA huyu...........
Kisha fika, hapo akipewa mauno fyucharing shanga na mapenzi ya Kitanga, basi kwisha habari yake
kwa staili hii hapa harudi mtu kwao!!!kwa sauti nilimsikia akisema......ohhh mamaaa
Ukweli waafrica wamebarikiwa,kwa maumbo hamna mzungu mwenye Nyonga kama hiyo!
Ni kweli kabisa mkuu,lakini mkojo wangu ni ule wa rangi nyeupe na ni mzito kama uji!!